Hakuna umbali ,unaweza kwenda kugongea sigara buseresere na ukaludi kuvutia katoro,Hivi zina umbali gani kama km ngapi
Hakuna umbali kwa kifupi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna umbali ,unaweza kwenda kugongea sigara buseresere na ukaludi kuvutia katoro,Hivi zina umbali gani kama km ngapi
Ahsante President Bill ClintonKaribu Katoro mimi ni mwenyeji aiseee kwetu hapa ukitaka kuishi vizuri usijihusishe na siasa vilevile maisha ni simple sana yaani nitofauti na maeneo mengi hapa Tz kwani gharama ziko chini sana karibu sana
Huijui katoroNaam katoro naifahamu inakua jiwe aliimega kimapato yaani Kuna sehemu mbili hapo hapo katoro(buseresere na katoro) jiwe akaiweka buse iwe chato ili apate mapato,infact ni mji unaokua
AiseeeeehhKuanzia elf 50-70 kwa mwezi
Kijfupi katoro wenyeji wa pale wanaiita kariakoo ya upande wa kuleKwa miaka ya karibuni, kuna miji imeshika kasi katika ukuaji wa kiuchumi, fursa na population kupelekea hadi uhitaji mkubwa wa miundobinu. Miji kama Tnduma, Njombe, Kahama na Dodoma imeonesha viashiria vya ukuaji wa kasi.
Lakini hivi karibuni kumetokea mji mwingine unaozungumuzwa sana, Katoro. Natumaini wengi humu hatujafamika ila kuna wana JF ni wakazi wa Katoro au wanaoufahamu mji wenyewe.
Tungependa tupate review ya ule mji. Hali yake kiuchumi, utamaduni wa watu pale, fursa zinazochangamkiwa, kasi ya ukuaji, nini kilipekea mji ukaamka kwa kasi na mengine mengi ..
Karibuni
Aisee..Kijfupi katoro wenyeji wa pale wanaiita kariakoo ya upande wa kule
Nipo Katoro,. Kuhusu hardware inalipa maaana kunakasi ya ujenzi kulingana na ongezeko la watu kusiko kawaidaVp mtu akiinvest katika hardware
Sawa sawa mkuu ahsante..Nipo Katoro,. Kuhusu hardware inalipa maaana kunakasi ya ujenzi kulingana na ongezeko la watu kusiko kawaida
Karibu sana katoro, mji wa kibiasharaKwa miaka ya karibuni, kuna miji imeshika kasi katika ukuaji wa kiuchumi, fursa na population kupelekea hadi uhitaji mkubwa wa miundobinu. Miji kama Tnduma, Njombe, Kahama na Dodoma imeonesha viashiria vya ukuaji wa kasi.
Lakini hivi karibuni kumetokea mji mwingine unaozungumuzwa sana, Katoro. Natumaini wengi humu hatujafamika ila kuna wana JF ni wakazi wa Katoro au wanaoufahamu mji wenyewe.
Tungependa tupate review ya ule mji. Hali yake kiuchumi, utamaduni wa watu pale, fursa zinazochangamkiwa, kasi ya ukuaji, nini kilipekea mji ukaamka kwa kasi na mengine mengi ..
Karibuni
Ahsnte mkuuKaribu sana katoro, mji wa kibiashara
Nashukuru MkuuNyamigita kwenda mjini nauli ni 500 kwa bajaji. Hakuna umbali mrefu.
Nashukuru sana Mkuu.Umbali wake ni takribani km 2 inaweza chukua dk10
Kutoka mjini kwa pikipiki ni Tsh 1000/=
Nimaeneo yapembezoni yanayokua sana..
Nunua mkuu
Chato ilikua biharamulo kabla kuzaliwa kwa mkoa wa geitaKatoro iko wilaya ya Geita, mkoani Geita, Buselesele ilikuwa wilaya ya Biharamulo, mkoa wa Kagera, baadaye ikawa wilaya ya Chato mkoa wa Geita mpaka sasa. Lakini zimeungana kwa sasa.
Hivyo ni vitisho tu kwa hisani ya watu wa Marekani.Kuna eneo moja kama unaelekea Tinde kutokea kahama aisee! Wameandika kabisa bango eneo hili lina maambukizi makubwa sana ya mdudu...hilo eneo nimepasahau sijui ni mbele ya isaka kama unaenda Tinde.
Inalipa kimtindoVp mtu akiinvest katika hardware
Kama mtaa wa Kongo KariakooVp movement za watu ni kubwa na za kuongezeka?
Ni hatua 15 tuHivi zina umbali gani kama km ngapi
Kumbe pale REA ni nje nje?Kuna ukimwi wa hatari ila pesa ipo
Kwahyo hapo ni ngoma iliyokithiri?Panaitwa Luhumbo njia panda ya kwenda Didia.