MR. IBU
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 1,380
- 2,965
Kwani umekufa wewe acharoho mbaya,kufa wewe uwone kama utaagwa.Wakisema ataenda msibani eti ndo iwehuruma ya kutokamatwa.
wenye msiba hawataki aende.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani umekufa wewe acharoho mbaya,kufa wewe uwone kama utaagwa.Wakisema ataenda msibani eti ndo iwehuruma ya kutokamatwa.
wenye msiba hawataki aende.
Usisahau kwamba CDM wamenyimwa kutumia vyombo vya habari na dikteta wenu.Duh, mkiambiwa Chadema ni SACCOS muwe mnaelewa. Yaani taarifa za kiofisi inatolewa kwa njia ya twiter
Hofu uso wao waovu watauweka wapiHivi watanzania mnataka aende wapi ? Hapa ndio kwao na acheni aje. Mbona mnateseka sana na ujio wa jamaa ?
Alieshindwa vibayaMsaliti wa taifa.
Ni nyeti kwa upinzani pekee.Mbona wasanii wachezaji ulakiwa airport na usikii madhara.Siku zote polisi ndio huwa chanzo cha vurugu zoote nchini kwa kutii maagizo ya wanasiasa chunguza uone.Yaliwapata segerea na bado hamjifunzi! Pamoja na sehemu nyeti za kiusalama wa taifa airport ni mmojawapo. Kuna sehemu za kufanya mkusanyiko ya mihemko ya kisiasa lakini siyo airport hasa kwa mazingira ya msiba wa kitaifa. Naamini safari hii kipigo siyo tu cha jeshi la police, lakini pia majeshi mengine pia halali yao. Sisi wengeni ni kuonya ili msije mkasema hatukuambiwa. SHAURI YENU.
Jukwaani hapa Jamii forum ni sawaLissu amefanikiwa sana kuwayumbisha ccm, amefanikiwa kuteka vyombo vya habari.msiba Wa mkapa umeanza kufunikwa taratibu..
Wasanii,wacheza mpira upokelewa airport na hakuna madhara waacheni wafuasi wake wampokee bullet survivor.Mkuu Zanzibar ni inje ya inchi..
Lakini sipingi Lissu kupokelewa.
Anaenda kwenye Msiba wa Nani??
Msituchanganye na huyo mnyoa kiduku wenu.taifa linamajonzi makubwa kwa sasa.Kwani umekufa wewe acharoho mbaya,kufa wewe uwone kama utaagwa.
Kwani watu huwa wanaenda msibani kufanya nini?Ataenda msibani kufanya nini? Anatafuta kiki tu huyo.
Serikali ilishatoa mwongozo kuwa hakuna mtu kukaa karantiniWakikwambia katoka nje ya nchi anatakiwa awe karantini siku 14 kabla ya kuwasalimia wananchi utasemaje?
Jukwaani hapa Jamii forum ni sawa
Tatizo watakumbuka kama walitoa muongozo? Wewe umewastua ungekaa kimya ha ha haSerikali ilishatoa mwongozo kuwa hakuna mtu kukaa karantini
iko hivyo na itakuwa hivyoHayo yamesewa na Mhe. Mnyika kupitia mtandao wa twitter
Wewe ni ngumbaru. Ofisi ya rais wa Marekani inatumika tweeter kuhabarisha raia wake sembuse CDM!.Duh, mkiambiwa Chadema ni SACCOS muwe mnaelewa. Yaani taarifa za kiofisi inatolewa kwa njia ya twiter