Mnyika: Ratiba ya Tundu Lissu kurudi ni ile ile na tarehe 28 atakwenda msibani

Mnyika: Ratiba ya Tundu Lissu kurudi ni ile ile na tarehe 28 atakwenda msibani

Mnyika kasema akishatua anapitiliza moja kwa moja viwanja vya uhuru kuaga
 
Yaliwapata segerea na bado hamjifunzi! Pamoja na sehemu nyeti za kiusalama wa taifa airport ni mmojawapo. Kuna sehemu za kufanya mkusanyiko ya mihemko ya kisiasa lakini siyo airport hasa kwa mazingira ya msiba wa kitaifa. Naamini safari hii kipigo siyo tu cha jeshi la police, lakini pia majeshi mengine pia halali yao. Sisi wengeni ni kuonya ili msije mkasema hatukuambiwa. SHAURI YENU.
Ni nyeti kwa upinzani pekee.Mbona wasanii wachezaji ulakiwa airport na usikii madhara.Siku zote polisi ndio huwa chanzo cha vurugu zoote nchini kwa kutii maagizo ya wanasiasa chunguza uone.
 
Jukwaani hapa Jamii forum ni sawa

Huku mitandaoni ndio sehemu watu wenye uelewa wa mambo hujipatia taarifa zilizo balanced. Huko nje kwenye vyombo vya habari, watu wanalishwa habari za upande mmoja. Huku mitandaoni ndio tumejua kuwa kwenye kitabu cha Mkapa, kawataja wazazi wake wote kwa majina, na mke wake lakini hajataja jina la hata mtoto wake mmoja!
 
Duh, mkiambiwa Chadema ni SACCOS muwe mnaelewa. Yaani taarifa za kiofisi inatolewa kwa njia ya twiter
Wewe ni ngumbaru. Ofisi ya rais wa Marekani inatumika tweeter kuhabarisha raia wake sembuse CDM!.
 
Back
Top Bottom