Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
- #81
Hakika mkuu.iko hivyo na itakuwa hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuu.iko hivyo na itakuwa hivyo
Utamuona kesho kutwa tukiwa tunamuaga ndugu yako..Msituchanganye na huyo mnyoa kiduku wenu.taifa linamajonzi makubwa kwa sasa.
Wajumbe washatuvuruga na huyo jamaa nae atuvuruge!!.atukubali.Utamuona kesho kutwa tukiwa tunamuaga ndugu yako..
Kwa hiyo, ndo mgeni mashuhuri wa CHADEMA? Yaani anategemewa kupata kura za kutosha kuongoza nchi?Hayo yamesewa na Mhe. Mnyika kupitia mtandao wa twitter
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Wajumbe washatuvuruga na huyo jamaa nae atuvuruge!!.atukubali.
Na wakilianzisha sisi tunalimalizia!Chadema na watanzania ni watu wa amani. Kama fujo na matatizo wataleta polisi na ubabe wao
Nashangaa!🙄😏😐Anaenda kwenye Msiba wa Nani??
Aaaa wapi.kuropoka na kutenda ni tofauti.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jiwe atapata tabu sana kwa huyu jamaa,itabidi apate msaada mara mbili wa uchaguzi uliopita bila hivyo jiwe atagaragara jukwaani.
Naakitumia nguvu ya dola basi imekula kwake.
Wajumbe sio watuwazuri.
Kila kitu kinamuda wake.kama angetaka angegombea kama urasi aliutaka na amegombea.Aaaa wapi.kuropoka na kutenda ni tofauti.
Lissu ni hodari wa kupayuka ila kwenye utendaji ni Zero.
angekuwa mtendaji wangempa ukatibu au uwenyekiti kwa hadhi aliyonayo huko ufipa.
Sio muda bali sema fedha.Kama huna fedha Chadema huna nafasi ya kugombea Urais.labda uwe wa kaskazini.Kila kitu kinamuda wake.kama angetaka angegombea kama urasi aliutaka na amegombea.
Salamu zimfikie mzee wa chatto kuwa asiyempenda kaja [emoji23][emoji23][emoji23]Hayo yamesewa na Mhe. Mnyika kupitia mtandao wa twitter
MaguKwani nani anahusika na shambulio la Lisu ?
MagufuriAnaitwa nani ?
Si mlisema hawezi kurudi ?? Kwnn mnajinyea nyea??Wakisema ataenda msibani eti ndo iwehuruma ya kutokamatwa.
wenye msiba hawataki aende.
Mkuu kwa Twitter yupo sahihiDuh, mkiambiwa Chadema ni SACCOS muwe mnaelewa. Yaani taarifa za kiofisi inatolewa kwa njia ya twiter
Acheni kuweweseka bc mkuu...jaribuni kuficha upimbi wenu ... airport ni nyeti ya serikali au nyeti ya yesu wa chatto??Yaliwapata segerea na bado hamjifunzi! Pamoja na sehemu nyeti za kiusalama wa taifa airport ni mmojawapo. Kuna sehemu za kufanya mkusanyiko ya mihemko ya kisiasa lakini siyo airport hasa kwa mazingira ya msiba wa kitaifa. Naamini safari hii kipigo siyo tu cha jeshi la police, lakini pia majeshi mengine pia halali yao. Sisi wengeni ni kuonya ili msije mkasema hatukuambiwa. SHAURI YENU.
Mkuu hata ww unateseka ujio wa mhe.lissu?Ataenda msibani kufanya nini? Anatafuta kiki tu huyo.