LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Huu ndo utanzania wetu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndo utanzania wetu...
Tundu Lissu ni mpakwa Mafuta. Hata DAUDI Mafuta yake yalimsumbua Sana Saul, mara kadhaa alijaribu kumuua DAUDI, lakini Mungu alimuokoa na akatawazwa kuwa MfalmeThey call him Lissu and i call him muujiza(Miracle)....huu ni muujiza unaotembea
Utamsikia na utaachana na ya kuambiwa na akina PolepoleKwa hiyo, ndo mgeni mashuhuri wa CHADEMA? Yaani anategemewa kupata kura za kutosha kuongoza nchi?
Haya! Tutamwona. Labda atasema ana ajenda gani ya kitaifa zaidi ya kutueleza haki za binadamu na sheria inasema hivi na vile maana sijawahi kusikia akiongelea maendeleo ya nchi.
hivi nyie mnaoshabikia lissu kufikia korokoloni mnajua madhala yake ?kwanza sidhani vyombo dola makin wanaweza fanya upuuzi kama huo naamini wanajitambua aijalishi mzee anashaurika au la taifa kwanza mengine badaeAcha kujidanganya, atafikia korokoloni!
tatizo mkuu chama dola wanakuza swala la lisu bila sababu .mtu anafika mnaachana nae basi but kadri mtakavyo mbuguzi lissu ndo mnamuongezea umarufu mara kumi hivi ccm washauri wameisha na kitengo cha propaganda kimekwisha au tupeni kazi tuwashauri sio mnakaa na wakina polepole tumieni njia 4 7 ccm vipi bwana sasa wkizitumia chadema hamchomoki nawambia maana mpaka mda huu chadema wako vizurisa sana mwafaa ccmTwende ni kumpokea shujaa wetu. Twendeni kwa amani, twendeni huku tukionyesha kuwa sie ni watu wa amani, si watu wa fujo.
Kama fujo waanzishe polisi, kama kuua waue polisi. Tuone kama wanaweza kutupiga risasi watu 1000 au 2000 tutakaokuwa tumeenda kumpokea shujaa wetu
tatizo mkuu chama dola wanakuza swala la lisu bila sababu .mtu anafika mnaachana nae basi but kadri mtakavyo mbuguzi lissu ndo mnamuongezea umarufu mara kumi hivi ccm washauri wameisha na kitengo cha propaganda kimekwisha au tupeni kazi tuwashauri sio mnakaa na wakina polepole tumieni njia 4 7 ccm vipi bwana sasa wkizitumia chadema hamchomoki nawambia maana mpaka mda huu chadema wako vizurisa sana mwafaa ccmTwende ni kumpokea shujaa wetu. Twendeni kwa amani, twendeni huku tukionyesha kuwa sie ni watu wa amani, si watu wa fujo.
Kama fujo waanzishe polisi, kama kuua waue polisi. Tuone kama wanaweza kutupiga risasi watu 1000 au 2000 tutakaokuwa tumeenda kumpokea shujaa wetu
Mungu ana mpango na Lissu kuhusiana na Tanzania.Kila nikimtafakari Mungu namshangaa sana,hasa kila nikisikia au kuona picha ya bwana Lissu ,kiukweli ni kama mzimu au ndoto,karibu sana Bwana Lissu tunatofautiana itikadi lkn nafsi yangu inanisuta Welcome Brother japo sitakuja kukupokea lkn nakukaribisha kwa moyo mmoja
Kwn kumpokea mgeni kwa kuhamasisha ndg zake wakampokee airport ni kosa kisheria au ni kosa tu kifikra?Ahaaa,,,basi sawa aje kwa utulivu,tatizo nyinyi wa mitandao mnamuharibia kwa kuhamasisha maandamano.
Soma vzur sms kabla yakuleta majibu yakichocheziKwani nani anahusika na shambulio la Lisu ?
Wasalaam .......!
Karibuni kwenye mkesha ramsi hapa Jf wa kumpokea Mkombozi wa Taifa Tundu Lissu.
Leo tutakesha hapa tukiweka mikakati ya kesho pamoja na kufanya dua na sala mahali hapa kwa ajili ya siku ya kesho.
Peoples..........
Wasiojulikana wanatamani wairoge hata ndege ipotee njia,uzuri ndumba zimeshaexpire nguvu zimeisha Sasa ni wakati wa Mungu kulitawala anga lake.Wasalaam .......!
Karibuni kwenye mkesha ramsi hapa Jf wa kumpokea Mkombozi wa Taifa Tundu Lissu.
Leo tutakesha hapa tukiweka mikakati ya kesho pamoja na kufanya dua na sala mahali hapa kwa ajili ya siku ya kesho.
Peoples..........