Mnyika: Ratiba ya Tundu Lissu kurudi ni ile ile na tarehe 28 atakwenda msibani

Mnyika: Ratiba ya Tundu Lissu kurudi ni ile ile na tarehe 28 atakwenda msibani

Kwa hiyo, ndo mgeni mashuhuri wa CHADEMA? Yaani anategemewa kupata kura za kutosha kuongoza nchi?
Haya! Tutamwona. Labda atasema ana ajenda gani ya kitaifa zaidi ya kutueleza haki za binadamu na sheria inasema hivi na vile maana sijawahi kusikia akiongelea maendeleo ya nchi.
Utamsikia na utaachana na ya kuambiwa na akina Polepole
 
Acha kujidanganya, atafikia korokoloni!
hivi nyie mnaoshabikia lissu kufikia korokoloni mnajua madhala yake ?kwanza sidhani vyombo dola makin wanaweza fanya upuuzi kama huo naamini wanajitambua aijalishi mzee anashaurika au la taifa kwanza mengine badae
 
Twende ni kumpokea shujaa wetu. Twendeni kwa amani, twendeni huku tukionyesha kuwa sie ni watu wa amani, si watu wa fujo.

Kama fujo waanzishe polisi, kama kuua waue polisi. Tuone kama wanaweza kutupiga risasi watu 1000 au 2000 tutakaokuwa tumeenda kumpokea shujaa wetu
tatizo mkuu chama dola wanakuza swala la lisu bila sababu .mtu anafika mnaachana nae basi but kadri mtakavyo mbuguzi lissu ndo mnamuongezea umarufu mara kumi hivi ccm washauri wameisha na kitengo cha propaganda kimekwisha au tupeni kazi tuwashauri sio mnakaa na wakina polepole tumieni njia 4 7 ccm vipi bwana sasa wkizitumia chadema hamchomoki nawambia maana mpaka mda huu chadema wako vizurisa sana mwafaa ccm
 
Twende ni kumpokea shujaa wetu. Twendeni kwa amani, twendeni huku tukionyesha kuwa sie ni watu wa amani, si watu wa fujo.

Kama fujo waanzishe polisi, kama kuua waue polisi. Tuone kama wanaweza kutupiga risasi watu 1000 au 2000 tutakaokuwa tumeenda kumpokea shujaa wetu
tatizo mkuu chama dola wanakuza swala la lisu bila sababu .mtu anafika mnaachana nae basi but kadri mtakavyo mbuguzi lissu ndo mnamuongezea umarufu mara kumi hivi ccm washauri wameisha na kitengo cha propaganda kimekwisha au tupeni kazi tuwashauri sio mnakaa na wakina polepole tumieni njia 4 7 ccm vipi bwana sasa wkizitumia chadema hamchomoki nawambia maana mpaka mda huu chadema wako vizurisa sana mwafaa ccm
 
Kila nikimtafakari Mungu namshangaa sana,hasa kila nikisikia au kuona picha ya bwana Lissu ,kiukweli ni kama mzimu au ndoto,karibu sana Bwana Lissu tunatofautiana itikadi lkn nafsi yangu inanisuta Welcome Brother japo sitakuja kukupokea lkn nakukaribisha kwa moyo mmoja
Mungu ana mpango na Lissu kuhusiana na Tanzania.
 
Ahaaa,,,basi sawa aje kwa utulivu,tatizo nyinyi wa mitandao mnamuharibia kwa kuhamasisha maandamano.
Kwn kumpokea mgeni kwa kuhamasisha ndg zake wakampokee airport ni kosa kisheria au ni kosa tu kifikra?
 
Mlioko eaput mtupe mrejesho kama huyu loffa kashatia timu au lah!
 
Wasalaam .......!

Karibuni kwenye mkesha ramsi hapa Jf wa kumpokea Mkombozi wa Taifa Tundu Lissu.

Leo tutakesha hapa tukiweka mikakati ya kesho pamoja na kufanya dua na sala mahali hapa kwa ajili ya siku ya kesho.


Peoples..........
Wasiojulikana wanatamani wairoge hata ndege ipotee njia,uzuri ndumba zimeshaexpire nguvu zimeisha Sasa ni wakati wa Mungu kulitawala anga lake.
 
Kwa akili hizi ukiitwa Nyumbu utakuja kuwatolewa povu waliokuitwa kweli?

Sasa hapa ndo naanza kupata picha yakwanini Watu wanaoitwa wajumbe waliwafyekelea mbali wahamiaji karbia wote kutoka upande wa pili.

Note; Kwa akili hizi Wajumbe wasilaumiwe wapo sahihi kabisa.
 
Back
Top Bottom