Mnyika: Ratiba ya Tundu Lissu kurudi ni ile ile na tarehe 28 atakwenda msibani

Mnyika: Ratiba ya Tundu Lissu kurudi ni ile ile na tarehe 28 atakwenda msibani

Yani kama li movie la Deadly Prey,komando kipensi

watu wote kimyaa,kila mtu na swali lake moyoni mwake..
 
Leo Jumapili umesha hata wapigia Wazazi wako simu kuwasalimia na kuwaambia unawapenda? Tundu Lisu hakujui na wala akikuona hawezi hata kukusalimia, ongea na Wazazi wako angalau upate hata baraka, ...
Pole ndugu, kama mafarisayo, ulichopungukiwa mwako ni upendo.
 
Wasalaam .......!

Karibuni kwenye mkesha rasmi hapa Jf wa kumpokea Mkombozi wa Taifa Tundu Lissu.

Leo tutakesha hapa tukiweka mikakati ya kesho pamoja na kufanya dua na sala mahali hapa kwa ajili ya siku ya kesho.


Peoples..........
Kwa hali hii msishangae kukutana na rungu la jemedali MUTUNGI Msajili wa vyama.Endelezeni utaahira wenu mkidhani mko huru kiiiiiivyo.hiiiiiiiiiiiiii
 
Wasalaam .......!

Karibuni kwenye mkesha rasmi hapa Jf wa kumpokea Mkombozi wa Taifa Tundu Lissu.

Leo tutakesha hapa tukiweka mikakati ya kesho pamoja na kufanya dua na sala mahali hapa kwa ajili ya siku ya kesho.


Peoples..........
Punguzeni mbwenbwe vijana,
 
Chadema mtahangaika sana
Of course maisha ni kuhangaika tu, kila mtu anahangaika as long as anaishi ndio maana kufa kunaitwa pumziko la milele. Kwani waliosema wao wanakula raha kuliko mwingine yeyote wako wapi? Waliokimbia 'mahangaiko' kwenye vyama vyao wakaenda kwingine wamepumzika?
 
Wasalaam .......!

Karibuni kwenye mkesha rasmi hapa Jf wa kumpokea Mkombozi wa Taifa Tundu Lissu.

Leo tutakesha hapa tukiweka mikakati ya kesho pamoja na kufanya dua na sala mahali hapa kwa ajili ya siku ya kesho.

CHADEMA na siasa za MAIGIZO.....
CHADEMA na siasa za MATUKIO....

YENU YA HOVYO hamuyaoni....

Rushwa ya NGONO katika teuzi za WABUNGE WA VITI MAALUM.....

CHAMA KUHODHIWA na wateule wachache....

Kudhibitiwa kwa KILA mwenye mawazo mbadala....
Kufanya siasa za harakati ya chuki na KUCHAFUANA......

Siasa za UKANDA.....

Kukumbatia VIONGOZI WA JUU wenye PERSONALITY DISORDERS na wagonjwa wa AKILI wafungwao mpaka KAMBA pale kinapowapanda......


MNAPOKESHA TAFAKARINI HAYO....

Peoples..........
 
Kimi nakesha Micasa ya Tabata nikitoka hapa saa 12 asubuh naenda geto majumba sita kunawa uso na kula supu saa 3 najivuta mdogomdogo kwa miguu tu hadi JNIA. Nasubiri 7.20 jembe atue.
Ni vzr sana kumpokea ila kwa hio ratiba yako wewe umejiajiri au umeajiriwa mkuu??,,,au umeomba kabisa ruhusa kazin?
 
CHADEMA media watuweke LIVE muda wote wa mapokezi, maana hatutegemei TV station yeyote nchini itarusha!
... au mnaonaje mkaiomba BBC ikatuletea vitu LIVE?
 
Back
Top Bottom