El Roi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 297
- 537
Nilishangaa Jana kuona baadhi ya wanachama wa chadema baadhi wakijiapiza kuhama chama na wengine kuchoma bendera. Kwangu Mimi inanionyesha vile ambavyo wanafuata siasa za kuwafuata watu( politics of personalities) na siyo siasa za masuala( politics of issues) au instutionalized politics ukitaka.
Suala la watu kuasi alikuanza leo. Watu ni waasi kwa asili hivyo ukifuata watu badala ya kufuata itikadi au masuala utakuwa hujitendei haki...
Mdee na wenzake siyo waasi wa Kwanza. Au niseme siyo wasaliti wa Kwanza (Betrayers) kutokea duniani na hata kwenye vyama. Kama Mitume Kama Yesu na wengine walisalitiwa na bado wengine wakaendelea na itikadi zao,why kuona ajabu wakati huu.
Tuanze kufuata siasa za masuala tafadhali maana A natural human being is to greater extent susceptible to rebellion.
Rudini kwenye chama chenu maana taasisi bado ipo. Watu huja na kupita!!
Suala la watu kuasi alikuanza leo. Watu ni waasi kwa asili hivyo ukifuata watu badala ya kufuata itikadi au masuala utakuwa hujitendei haki...
Mdee na wenzake siyo waasi wa Kwanza. Au niseme siyo wasaliti wa Kwanza (Betrayers) kutokea duniani na hata kwenye vyama. Kama Mitume Kama Yesu na wengine walisalitiwa na bado wengine wakaendelea na itikadi zao,why kuona ajabu wakati huu.
Tuanze kufuata siasa za masuala tafadhali maana A natural human being is to greater extent susceptible to rebellion.
Rudini kwenye chama chenu maana taasisi bado ipo. Watu huja na kupita!!