kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Asipofukuzwa wajue chadema inafariki mara moja kwani sasa ipo ICU hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atasalia chadema kwenye upumbavu wa kiasi hichoHalima Mdee siyo sawa na Zitto Kabwe, hafukuzwi mtu!
Wanawake wanaojitoa Rumande?
Hii ni mpya kabisa
Dawa ni moja tu wafukuzwe chadema na endapo chadema haitawafukuza wajue chadema inaenda kufariki moja kwa moja kwani hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atasalia chadema yenye upumbavu wa kiwango hichoAnatimiza vipi wajibu wake wa kikatiba wakati Katibu Mkuu ndiye anabidi apeleke majina, sasa kama hajayapeleka hao wametoka wapi? Ina maana basi mtu yoyote anaweza kujitokeza na kundi lake wakasema wametumwa na chama wakaapishwa? Huu ni uvunjifu mkubwa wa sheria.
Twende Mahakama gani na kufanya nini...Makosa gani.Hivi nyie chadema mngeibiwa kura mngeshindwa kwenda mahakamani. Acheni kujifariji
Chadema ipo ICU mda wowote inafarikiThubutuuuuuu, nani mwenye ubavu wa kumgusa Mbowe??
Hata mimi ndilo naloona, kama wengine wote huko nyuma kama akina Zitto walifukuzwa, kama huu uasi tena wa kiwango cha juu wasipowafukuza hawa basi kwakweli ni doa kubwa.Dawa ni moja tu wafukuzwe chadema na endapo chadema haitawafukuza wajue chadema inaenda kufariki moja kwa moja kwani hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atasalia chadema yenye upumbavu wa kiwango hicho
Mahakamaccm hakuna haki kunako kesi ya chademaTwende Mahakama gani na kufanya nini...
yan kesi ya gendele tumpelekee Tumbili kwel?🤭
Haya maswali ya kawaida sana na yashajibiwa kwenye hoja zaoMaswali yafuatayo yanapaswa kujibiwa na Mbowe/ Mnyika:
1. Nani amepeleka Orodha ya Majina ya Wabunge wa Viti Maalum NEC?
2. Orodha hiyo imepelekwa kwa njia gani?
3. Kama msimamo wa chama na wa Katibu Mkuu ni kuwa Orodha haikupelekwa, walioapishwa jana walipatikanaje?
4. Hatua gani zinachukuliwa na CHADEMA ikiwa usaliti umetokea?
5. Ilikuwaje Nusrat Hanje aachiwe tu kutoka mahabusu na asubuhi yake aapishwe kuwa Mbunge wa Viti Maalum?
6. Nani yuko nyuma ya suitafahamu hii nzima ndani ya CHADEMA na anashughulikiwaje?
bungeni marufuku kuvaa sare za chama, huwezi kuapishwa ubunge na sare za chamaKulikuwa hamna umuhimu wa wao kufanya hivyo. Kitu cha kujiuliza ni kuwa kama kweli walipata baraka za chama chao kwa nini walienda peke yao kwa kujificha? Kwa nini wavaa magwanda maarufu kama wakina Halima, Esther wawili hawakuvaa nguo yeyote ya chama chao kuonyesha kuwa wanajivunia kuteuliwa na chama chao? Katika watu 19 ni watatu tu ndio waliovaa kitu kinachofanana na vazi rasmi la chama chao. Wengine waliona aibu kufanya hivyo.
Amandla...
Yes hapa jf kelele nyingiiiiiiii Leo wambie hapo wanataka michango ya kuendesha chama na hawatotoa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bila kuwafukuza hao chadema inakufa kifo kibudu na kuonekana ni chama cha hovyo mnoHata mimi ndilo naloona, kama wengine wote huko nyuma kama akina Zitto walifukuzwa, kama huu uasi tena wa kiwango cha juu wasipowafukuza hawa basi kwakweli ni doa kubwa.
Mbowe hajakanusha kauli ya Mdee. Mnyika naye hajakanusha ushiriki wa Mbowe.