Chama sio biashara binafsi. Huwezi kufukuza watu kwenye chama kwa kigezo cha hisia tu....
Tumia akili yako hata kidogo basi. Umeambiwa utaratibu wa chama haukufuatwa kama ndivyo uhalali huo unataka wapi? Hapa ni ile haki ya kusikilizwa ndio inayofuatwa tu.
Kwa swala lilivyo wahusika baadhi au wote ni kufukuzwa tu kwani wanahusika kwa asilimia mia kuhujumu misimamo ya chama chao. Huwezi kwenda kuapa bila kujua kama chama kimebadilisha msimamo. Wote wamehusika
Sasa hivi siasa za Tanzania zimeingiliwa na watu washamba kweli na wasio na aibu hata chembe. Uchaguzi wa serikali za mitaa haukufanyika, uchaguzi mkuu haukufanyika yote ni mambo ya kishamba shamba tu. Haya sasa dola nzima inafanya jinai ya kugushi na kuingilia utendaji wa kamati kuu ya chama cha chadema kufanya uteuzi wa wabunge viti maalumu aibu.
Dola hii ingekuwa imeundwa na watu kama waliopo nje ya dola(serikali) ingerazimishwa kuachia ngazi. Kwakuwa imeundwa na wachumia tumbo wasijari hadhi zao watapongezana