saidi kindole
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 310
- 792
Utavumilia kwenda The Hague au ndio utajinyea nyea na kulia lia kama Lijualikali mwana CCM snitchNi jambo jema!
Wakati viwanda vikivyoachwa na JK tu vimeshakufaNategemea ujenzi wa viwanda vya vingine elf4 fake vitakamilika kutokana na hii sheria?
Jiwe nchi anapoipeleka anapajuwa mwenyewe tu!
Unajua Mwenyekiti wa NEC na mkurugenzi wake wanateuliwa na nani?!Utavumilia kwenda The Hague au ndio utajinyea nyea na kulia lia kama Lijualikali mwana CCM snitch
mimi kanisa langu nilishaachana nalo baada ya kuruhusu viongozi wa ccm kuingia humo , huwezi kuruhusu shetani aingie mazabauni na siye waumini tukakaa kimyaAlafu utawasikia wakisema,"tumtangulize Mungu"!
Uko sahihi na Mungu ni shahidi wa hili usemalo.mimi kanisa langu nilishaachana nalo baada ya kuruhusu viongozi wa ccm kuingia humo , huwezi kuruhusu shetani aingie mazabauni na siye waumini tukakaa kimya
AminaUko sahihi na Mungu ni shahidi wa hili usemalo.
Yohane Mbatizaji,Ni jambo jema Wakala kutopewa fomu ya Matokeo?Ni jambo jema!
Salary SlipAlafu utawasikia wakisema,"tumtangulize Mungu"!
CCM ni chama cha mashetani, na wewe ni kapepo kachafu ndio maana unafurahia vitendo hivi vya dhulumaNi jambo jema!
ccm imeshagoma kuondoka madarakani kwa njia ya kura ni upuuzi kuendelea kuwapotezea wananchi muda kuwa wakapige kura kuondoa ccm.Hakuna kukubaliana na hizo kanuni, na inatakiwa iwekwe wazi wananchi wote wajue. Huo ni ushahidi kuwa ccm imechoka kushindana.