Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Yeye ndio Top official kwenye hio sekta ya Kodi.Hujajibu swali,kosa la Mwigulu ni lipi?
Akome kujidai anatumia maneno ya shombo.Na hii ndio inamfanyq watu wamchukie personally.. hadi kumbandika vitu[emoji23]
Matokeo ya sheria za mwendokasi zilizo asisiwa na mwenda kwake,na washirika wake ambao ni miongoni mwao mchora mawe Mtukuka🤔.Wewe ni CHAWA, siyo mfanyabiashara
Ns majibu yake anayowaambia watu hamia BurundiMadilu na PhD yake wafanyabiashara wamemwacha mbali kiufikiri, I think hizi wizara sijui uchumi, au biashara wawe wanateuliwa watu walio wazoefu na hizo biashara kuliko kuteua watu walio cremisha madesa na hawajui Hali halisi
Unaweza kuthibitisha haya madai Yako?Yeye ndio Top official kwenye hio sekta ya Kodi.
Ana impose na kufacilitate Kodi uchwara na tozo Kausha damu.
Ana wagroom TRA wafanya ukandamizi huo.
Badala kuwasikiliza wafanyabiashara sidhani kama anafanya hivyo maana ana madharau. Hadi aje kiranja wake kusovu hio ishu huoni kama mtu huyo kaharibu sana au gamemshindwa.
Mtu wa kukaa kwenge huo mkutano alipaswa awe rais wa mawe sio PM ila .
Wafanyabiashara wameona hawasikilizwi ndio maana wameomba PM waongee nae.
Never trust this dude huyu MAGU 2.0
Ndio maana nasema elimu ya makaratasi tunayoina Bora na mtu aliyeko field, ni heri huyo wa field, maana PhD inashindwa kutatua changamoto za kutumia common sense za kawaida. At least naye madilu kapewa shombo zake ka anavojibugi watu mara waende Burundi, mara bungeni ni waganga na yeye ni PhD holder.Ila nimependa wamemnanga sana kwa maneno ya kejeli maana yeye huwa anajidai bingwa wa maneno ya kukararisha.
Kuna mwamba anasema,unajitia Dokta,Dokta wa wapi wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
AiseeYaani kama hujui kosa la Mwigulu ni lipi basi una tatizo kubwa sana. Hujasikia kuwa alikaa nao vikao na hajatakeleza chochote?
Huu ni upuuzi,hizo Kauli aliongea Bungeni baada ya kumjibu mpuuzi mmja hivi ambae hata Mimi ningemjibu .Au hajasikia wafanyabiashara wanavyomnanga
Wanasema wakilalamika anamwambia sijadiliani na waganga wa kienyeji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema wafanyabiashara wamejua kumchamba jamaa bila kupepesa macho.
Nitolee upuuziUnaweza kuthibitisha haya madai Yako?
Hayo unayiyasema TRA wameanza kuyafanya Waziri akiwa Mwigulu?
Lini hao Wafanyabiashara wamesema waliomba kikao na Waziri akafanga dharau? Au wewe Kwa shida zako binafsi ndio unasema hayo?
Kumbe TRA hakuna shida ila mlikuwa mnatafuta Chaka la kumjibu Mwigulu 😁😁Ndio maana nasema elimu ya makaratasi tunayoina Bora na mtu aliyeko field, ni heri huyo wa field, maana PhD inashindwa kutatua changamoto za kutumia common sense za kawaida. At least naye madilu kapewa shombo zake ka anavojibugi watu mara waende Burundi, mara bungeni ni waganga na yeye ni PhD holder.
So PhD isiwe sifa ya title iweze kutatua changamoto
Wewe ndio mpuuzi umeshindwa kuthibitisha uhusika wa Waziri na mgomo wenu,hii ilikuwa ni ushawishi wa siasa uchwara Ili mpate pa kumsemea Mwigulu Kwa vile aliwajibu shombo huko Bungeni au?Nitolee upuuzi
Waja husema malipo ni hapa hapa duniani na yeye kayapata. Shida ya mwigulu Huwa ni kiburi na ana amini as long as ni waziri ana power anaweza kufanya chochote Kwa kiburi bila kujua athari zake kiuchumi. Akiwa Rais huyu atakuwa hatari mno.Ns majibu yake anayowaambia watu hamia Burundi
Leo Cha moto amekiona[emoji1787]
Nimefurahi hadi nikapiga makofi.
Mwigulu mhusika number moja angetakiwa ajiuzulu ka prove kuwa failure why aendelee na hyo nafasi huku inputs yake zero Hadi kumetokea mgomo. He must show responsibility na ku step down.Kumbe TRA hakuna shida ila mlikuwa mnatafuta Chaka la kumjibu Mwigulu [emoji16][emoji16]
Mpaka hapo hakuna.aliyeainisha uhusika wa Mwigulu na mgomo wa Wafanyabiashara
Hata kabla ya mgomo mwigulu ana makosa tayari.Wakuu Salam,
Naomba nitangaze maslah, mimi ni mfanyabiashara, nipo Kariakoo, nje ya kariakoo na mkoa wa Pwani.
Malalamiko yetu wafanyabiashara mengi ni justifiable.. lakini hili la kumlaumu Mwigulu Nchemba bila supporting evidence is ungrounded.
Kuna watu wanatumia udhaifu wa migogoro ya sheria zilizopo kumgandamiza bila sababu.
Mfano.
1. Hoja ya fine ya kutokutoa EFD recept sio ya leo, na hii ilipingwa sana na aliekuwa mbunge wa Muleba Anna Tibaijuka, nilishangaa saana yale mapendekezo, kama kawaida ya bunge letu.. papatu papatu hoja ikapita ikawa sheria, Kipindi hicho Mwigulu ni Wazir wa mambo ya ndani.
2. Hoja ya ushuru wa malori, Ndugu Chuki anaweza kuwa ana issues personal na Mwigulu na siwez kuwaingilia , ila kodi ya 2.7M sio kubwa kama anavyodai, kumbuka kubeba tonneau 10 had mwanza ni zaid ya 1.5M na hiyo ni non negotiable.... kutaka hiyo gharama iingizwe kwenye diesel ni ku shift tax burden to non beneficiaries, ambayo ni unfair taxing.
3. Hoja za registration of warehouse sio kitu kipya na wengi tumesajili nikiwemo, hoja za umiliki ni jambo jingine, labda tuseme issue ya With holding Tax ndio haijakaa Sawa, lakini kulalamika kwamba tusisajili sio Sawa kabisa.
Kwenye ethical business ni lazima usajili store na ulipie usimamiz wake, ikiwa na vigezo vyote.... hii ni excuse ambayo kumlaumu nayo Mwigulu ni ku choose easy victim.
4. Hoja za task force zilikuwepo toka kipind cha mwendazake... kwamba tunasumbuliwa hili ni kweli na ni sualq la kuweka utaratibu tu wa namna ya ku control, ambayo sikuona sabab ya kumzodoa mwamba vile.
5.Utitiri wa kodi kwenye biashara na mamlaka nyingi zinazosimamia jambo moja ni suala la kurith na Mwigulu sidhan kama ni wa kulaumiwa 100% , issue hapo ni CCM kuweka na kuunda hizi taasisi kutafutia washkaj wao ulaji.
Kuna kila sabab ya kuunganisha taasisi nyingi sana ili kuondoa usumbufu.
Ni hayo tu... tumuhukumu Mwigulu kwa mengine lakini sio moja kwa moja kwa baadhi ya sheria ambazo amezikuta.