Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni: Katika Mgomo wa wafanyabiashara, kosa la Mwigulu Nchemba ni lipi?

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni: Katika Mgomo wa wafanyabiashara, kosa la Mwigulu Nchemba ni lipi?

Mwigulu mhusika number moja angetakiwa ajiuzulu ka prove kuwa failure why aendelee na hyo nafasi huku inputs yake zero Hadi kumetokea mgomo. He must show responsibility na ku step down.
Ka prove kuwa failure Kwa lipi hasa? Makusanyo.sasa ni 2T Kwa mwezi kutoa 1.3T unasema ka prove failure? Acha majungu.
Hayo masuala ya upuuzi wa TRA Wala hayamhusu Waziri unless hamuelewi kazi za Waziri.

Hiki anachoongea Chalamila ndio kazi hasa ya Mkuu wa Mkoa,Mkuu wa TRA ,Takukutu na Polisi sio issue ya Mwigulu..

Angekuwa ame prove failure.kama.uchumi ungekuwa unaanguka nk ila sio blaa blaa zenu Kwa sababu za chuki za Kisiasa..
 
Ndio maana nasema elimu ya makaratasi tunayoina Bora na mtu aliyeko field, ni heri huyo wa field, maana PhD inashindwa kutatua changamoto za kutumia common sense za kawaida. At least naye madilu kapewa shombo zake ka anavojibugi watu mara waende Burundi, mara bungeni ni waganga na yeye ni PhD holder.
So PhD isiwe sifa ya title iweze kutatua changamoto
Wazee kwa kucremisha

Toka ameshika wizara,kero kwa wananchinzimezidi.


Naunga mkono hoja,wapewe watu wenye uwezo na si wenye makaratasi ya PhD.
 
Mkuu haya mambo nakuelewa sana, hoja yangu hapa ni kwamba Mwigulu amekosea nini?
Tumelia na haya masheria mabovu kwa miaka hata kabla ya Mwigulu, leo nashangqq kishabiki kabisa anabebeshwa zigo lote.
Mwigulu ndio waziri mwenye dhamana, hivyo hakuna namna atakwepa lawama hizi.
Kwanza angekua muadilifu na kulinda heshma ndogo aliyo baki nayo, alipaswa awe amejiuzulu.
 
Wazee kwa kucremisha

Toka ameshika wizara,kero kwa wananchinzimezidi.


Naunga mkono hoja,wapewe watu wenye uwezo na si wenye makaratasi ya PhD.
Kama watu gani hao? Kama.kero zipi hizo?

Ndio maana wakati mwingine Huwa namuunga Mwendazake mkono,ukitaka kuleta maendelea Kwenye Taifa la wajinga don't debate nao vinginevyo watakuwa wanakuja na hoja za kijinga jinga na vile ni wengi wataaminishana upuuzi..

The only way ni kutumia Nguvu
 
Waja husema malipo ni hapa hapa duniani na yeye kayapata. Shida ya mwigulu Huwa ni kiburi na ana amini as long as ni waziri ana power anaweza kufanya chochote Kwa kiburi bila kujua athari zake kiuchumi. Akiwa Rais huyu atakuwa hatari mno.
Yule Ashatu hajachambwa sana vile Huwa hatemi shombo hovyo hovyo
Siku akitumbuliwa sipatii picha furaha ya wafanyabiashara [emoji23],,hata wananchi wa kawaida.


Kwa kweli malipo ni hapahapa duniani..
Ilitakiwa achambwe hata wiki nzima.


Sisapoti janjajanja za wafanyabiashara ila nimefurahi jamaa naye kachambwa maana anajidai yeye pekee ndo anayejua kuchamba.
 
Siku akitumbuliwa sipatii picha furaha ya wafanyabiashara [emoji23],,hata wananchi wa kawaida.


Kwa kweli malipo ni hapahapa duniani..
Ilitakiwa achambwe hata wiki nzima.


Sisapoti janjajanja za wafanyabiashara ila nimefurahi jamaa naye kachambwa maana anajidai yeye pekee ndo anayejua kuchamba.
Kwani akitumbuliwa mtaacha kulipa Kodi? Kodi ziko pale pale
 
Au mwenzetu upo pluto haupo duniani?
Au ndo chawa wake?


Kachambwaaaa
Kama vipi kamsaidie mchambwe wote.
Kuchambwa hajaanza Leo Wala Jana ,Kama Rais mwenyewe anachambwa sembuse Waziri wa Fedha?

Rais anafahamu kwamba Uchumi unasonga na unafanya vizuri Kwa sababu Mwigulu is strong,Ukiwa na Kiongozi wa mihemko Wizara ya Fedha hakuna utakachofanya..

Mwisho kuchambwa hakuui mtu Wala hakumbadili msimamo,hata ningekuwa Mimi Niko tayarimkuchamvwa ila nikasimama nachoona kinafaa full stop.
 
La prove kuwa failure Kwa lipi hasa?
Hayo masuala ya upuuzi wa TRA Wala hayamhusu Waziri unless hamuelewi kazi za Waziri.

Hiki anachoongea Chalamila ndio kazi hasa ya Mkuu wa Mkoa,Mkuu wa TRA ,Takukutu na Polisi sio issue ya Mwigulu..

Angekuwa ame prove failure.kama.uchumi ungekuwa unaanguka nk ila sio blaa blaa zenu Kwa sababu za chuki za Kisiasa..
Yeye ka waziri ajiuzulu maana wachini hawafanyi maelezo ya wizara tayari ni uzembe, huoni akiachwa ataua uchumi mazima maana hoja nyingi alipelekewa akagoma kubadili
 
Yeye ka waziri ajiuzulu maana wachini hawafanyi maelezo ya wizara tayari ni uzembe, huoni akiachwa ataua uchumi mazima maana hoja nyingi alipelekewa akagoma kubadili
Wa chini wanatekeleza wajibu wao Kwa mujibu wa sheria na kanuni,kama kuna Changamoto zingine pelekeni Kwa utatuzi au karipoti.kwa vyombo.

Huo uchumi ungeshakuwa umekufa kitambo ndio kwanza unapaa Sasa sijui mnaongea nini hasa..

Rais kamuondoa Makala Kwa sababu za kushindwa kusimamia Changamoto kwenye Mkoa wake ,hiyo sio kazi ya Mwigulu.
 
Siku akitumbuliwa sipatii picha furaha ya wafanyabiashara [emoji23],,hata wananchi wa kawaida.


Kwa kweli malipo ni hapahapa duniani..
Ilitakiwa achambwe hata wiki nzima.


Sisapoti janjajanja za wafanyabiashara ila nimefurahi jamaa naye kachambwa maana anajidai yeye pekee ndo anayejua kuchamba.
Mwigulu maneno yake ya shombo ndio yanayo mfanyaga ashambuliwe vile vile Huwa hashauriki flani hata tozo ya online transactions alishauriwa akawa mgumu matokeo yake watu wakaacha kutumia huduma.
Waweza kuwa msomi ila sililiza watu walioko field ili kuwe na win win situations, Sasa misheria mibovu ndio inasababisha watu wakwepe Kodi, kariakoo imeshakimbiwa na wafanyabiashara kisa ujinga tu wa Sheria za hovyo, hivi nchi ambazo hazina bandari bidhaa zao ni Bei nafuu kuliko wenye bandari na waziri bado anajiona ana fit na ni PhD [emoji28][emoji28] ati.
 
Majukumu na wajibu wake kama waziri na wizara yake ni yapi tuanzie hapo.
#Blackviewbv9300
#Cubotkingkongpower
 
Wazee kwa kucremisha

Toka ameshika wizara,kero kwa wananchinzimezidi.


Naunga mkono hoja,wapewe watu wenye uwezo na si wenye makaratasi ya PhD.
Mtu ana PhD ya business administration huku hajawahi kuwa na biashara yoyote hajui hata changamoto za watu then una mpa wizara aongoze [emoji28][emoji28] matokeo yake ni Kuja na theory zinazofeli.
Kuna muongeaji mmoja alisema wastaafu wa TRA hufungua frame kariakoo mwisho hushindwa biashara kabisa na kula corner, Sasa wakute wanakomoa wafanyabiashara
 
Mwigulu maneno yake ya shombo ndio yanayo mfanyaga ashambuliwe vile vile Huwa hashauriki flani hata tozo ya online transactions alishauriwa akawa mgumu matokeo yake watu wakaacha kutumia huduma.
Waweza kuwa msomi ila sililiza watu walioko field ili kuwe na win win situations, Sasa misheria mibovu ndio inasababisha watu wakwepe Kodi, kariakoo imeshakimbiwa na wafanyabiashara kisa ujinga tu wa Sheria za hovyo, hivi nchi ambazo hazina bandari bidhaa zao ni Bei nafuu kuliko wenye bandari na waziri bado anajiona ana fit na ni PhD [emoji28][emoji28] ati.
🤣🤣🤣🤣 Kumbe shida ni maneno ila hizo kero zake mnamsingizia 😁😁

Mpaka hapo Rais hafanyii kazi majungu ,kama.Mwendazake alivyokataa kumtoa RC Makonda sitegemei Rais Samia kumtoa Mwigulu Kwa sababu za chuki binafsi .
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kumbe shida ni maneno ila hizo kero zake mnamsingizia [emoji16][emoji16]

Mpaka hapo Rais hafanyii kazi majungu ,kama.Mwendazake alivyokataa kumtoa RC Makonda sitegemei Rais Samia kumtoa Mwigulu Kwa sababu za chuki binafsi .
KERO ni nyingi sana, Tena huyu anamchafulia mama CV ya uongozi wake kabisa, imagine wafanyabiashara wakigoma nchi nzima siitaonekana mama ndio kafeli kabisa na uchumi kufa.
Hafu wafanyabiashara wametoa hoja zenye mashiko zikifanyiwa kazi zitaondoa urasimu na kuweka mazingira mazuri kiuchumi
 
Majukumu na wajibu wake kama waziri na wizara yake ni yapi tuanzie hapo.
#Blackviewbv9300
#Cubotkingkongpower
Hawana hoja na Wala hawatakujibu wataishia kusema ana maneno ya shombo 😁😁.

Waziri aache kutafuta pesa za serikali,kusimamia mikopo,kusimamia malipo,na kusimamia malengo ya TRA aje mtaani kusikiliza afisa gani wa TRA anapokea Rushwa nk..

RC,Polisi ,Takukuru nk watakuwa wanafanya kazi gani? Hiyo Haina tofauti na kumuuliza Rais vyoo vya Stand wakati Kuna maofisa kibao huko chini.
 
Back
Top Bottom