Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni: Katika Mgomo wa wafanyabiashara, kosa la Mwigulu Nchemba ni lipi?

Huyo mwigulu mbona mara nyingi hukutana na wafanyabiashara na kuongea akitoka hapo habadiliki kitu ni kama zile tozo zake za simu zilizoleta hasara na watu kuacha kutumia sana hzo njia especially in digital error
 
Mama hafanyii kazi majungu,angekuwa anafanyia kazi majungu au chuki zenu binafsi wafuatao wangekuwa hawapo ofisi Ili awafurahishe nyie..

Mwigulu
January
Nape
Kijaji,
Mbarawa,
Bashe
 
Kazi za waziri ni zipi na wizara yake?
 
Mwigulu ilimpasa ajiuzulu coz malalamiko ya wafanyabiashara ni ya kweli na ni dhidi ya chombo kilicho chini ya wizara yake. So, kwakuwa yeye ndio boss wa wizara ilibidi aresign kiroho safi, wenzetu whites are very accountable.
 
Huyo mwigulu mbona mara nyingi hukutana na wafanyabiashara na kuongea akitoka hapo habadiliki kitu ni kama zile tozo zake za simu zilizoleta hasara na watu kuacha kutumia sana hzo njia especially in digital error
Kwanza hawezi badili sheria ya Bunge,hili amewahi lizungumza mara nyingi tuu,kama jambo Hilo au sheria ilipitishwa na Ngazi zote haliwi la Mwigulu Bali la Serikali yote Ili libadiloke ni lazima Rais aingilie kati..

Ujue watu wengi hamjielewinna sijui nyie mnafanya kazi zipi, Mwigulu hatungia sheria Wala kupendekeza sheria ,hayo yote hufanywa na Wataalamu wa Fedha, uchumi na Kodi baada ya kujiridhisha..

Waziri anaenda ku act kama.msemaji na mjenga hoja ya hicho kilichopendekwzwa na anaanzia kwenye Baraza la Mawaziri ndio linaenda Bungeni,wote hao wakipitisha na Rais kusaini haliwi suala la Mwigulu,sheria inaipa Wizara mamlaka ya kutunguia kanuni na miongozo kwenye sheria mama.

Kwa hiyo Mwigulu hawezi kulaumiwa kwenye sheria za Bunge,mara ooh utitiri wa Kodi Sasa hizo ni Kodi za Mwigulu au za Serikali? 🤣🤣🤣
 
Kazi za waziri ni zipi na wizara yake?
Kazi kubwa ya Wizara ni kutunga na kusimamia sera na miongozo ila utekelezaji hufanyika kwingine na watu wengine,Sasa hao watu wakiboronga Waziri hatakiwi kulaumiwa Bali walaumiwe wao na kama hiyo sheria ndio mbaya Bado sio swala la Waziri Bali ni la Serikali,kumbuka Waziri unaweza kuwa umesomea Kiswahili na ukawa Waziri wa sheria Sasa msidhani kwamba ni kazi ya Waziri Kupitia vifungu vya sheria ,hapana..

Shida ambayo Mwigulu Huwa anapata ni kwamba yeye amesoma uchumi Yuko kwenye field Sasa unakuta mtu hata hajasomea hiyo fani anapayuka tuu Sasa mtu anapata jazba anamjibu vibaya..

Yaani ukute Mimi Mhandisi nime design kitu vizuri kabisa harafu layman wa Kiswahili ananikosoa as if anajua hapo unakasirika unamuona mpuuzi mmja hivi ndio maana mnaitwa waganga harafu mnachukia 😂😂
 
😂😂😂😂😂
 
Nimemsikia Majaliwa akimtaja kuwa wanalifanyia kazi.
Magufuli alishindwa kumsaidia Majaliwa ataweza?
Kwanini huyo Muha ameteswa kiasi hicho?
 
Nonsense
 
Mwigulu, mchengerwa, na huyu Kijaji ndio mawaziri wanaongozwa kuchukiwa ndani ya Bunge mpaka nje ya Bunge

Kwanza Wana majibu ya shombo Sana

Pili hata ukifanya nao mkutano wa mambo serious hakuna kinachotokea
Mchengerwa una mwonea.
Jamaa ni msikivu sana anasikiliza hata watu wa chini kabisa.
Mchengerwa ni mbunifu na mtendaji mzuri, kote alikopita alianza kuzisuka wizara vizuri sana.
Bado sijamsikia wizara ya utalii labda bado anajipanga
 
Mwigulu hana kosa lolote ni fitina za kisiasa na chuki binafs
 
Ila nimependa wamemnanga sana kwa maneno ya kejeli maana yeye huwa anajidai bingwa wa maneno ya kukararisha.

Kuna mwamba anasema,unajitia Dokta,Dokta wa wapi wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani wamejua kunifurahisha. Wamempa yake Leo na hakuwa na Chakuwafanya
 
Mchengerwa una mwonea.
Jamaa ni msikivu sana anasikiliza hata watu wa chini kabisa.
Mchengerwa ni mbunifu na mtendaji mzuri, kote alikopita alianza kuzisuka wizara vizuri sana.
Bado sijamsikia wizara ya utalii labda bado anajipanga


Ujajua show zake kwa wabunge wenzake

Ni balaa

Hao watatu ndio mawaziri ambao hata Mbunge akiwa na shida asumbuki kupiga simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…