Huyo mwigulu mbona mara nyingi hukutana na wafanyabiashara na kuongea akitoka hapo habadiliki kitu ni kama zile tozo zake za simu zilizoleta hasara na watu kuacha kutumia sana hzo njia especially in digital errorWa chini wanatekeleza wajibu wao Kwa mujibu wa sheria na kanuni,kama kuna Changamoto zingine pelekeni Kwa utatuzi au karipoti.kwa vyombo.
Huo uchumi ungeshakuwa umekufa kitambo ndio kwanza unapata Sasa sijui mnaongea nini hasa..
Rais kamuondoa Makala Kwa sababu za kushindwa kusimamia Changamoto kwenye Mkoa wake ,hiyo sio kazi ya Mwigulu.
Mama hafanyii kazi majungu,angekuwa anafanyia kazi majungu au chuki zenu binafsi wafuatao wangekuwa hawapo ofisi Ili awafurahishe nyie..KERO ni nyingi sana, Tena huyu anamchafulia mama CV ya uongozi wake kabisa, imagine wafanyabiashara wakigoma nchi nzima siitaonekana mama ndio kafeli kabisa na uchumi kufa.
Hafu wafanyabiashara wametoa hoja zenye mashiko zikifanyiwa kazi zitaondoa urasimu na kuweka mazingira mazuri kiuchumi
Kazi za waziri ni zipi na wizara yake?La prove kuwa failure Kwa lipi hasa?
Hayo masuala ya upuuzi wa TRA Wala hayamhusu Waziri unless hamuelewi kazi za Waziri.
Hiki anachoongea Chalamila ndio kazi hasa ya Mkuu wa Mkoa,Mkuu wa TRA ,Takukutu na Polisi sio issue ya Mwigulu..
Angekuwa ame prove failure.kama.uchumi ungekuwa unaanguka nk ila sio blaa blaa zenu Kwa sababu za chuki za Kisiasa..
Kwanza hawezi badili sheria ya Bunge,hili amewahi lizungumza mara nyingi tuu,kama jambo Hilo au sheria ilipitishwa na Ngazi zote haliwi la Mwigulu Bali la Serikali yote Ili libadiloke ni lazima Rais aingilie kati..Huyo mwigulu mbona mara nyingi hukutana na wafanyabiashara na kuongea akitoka hapo habadiliki kitu ni kama zile tozo zake za simu zilizoleta hasara na watu kuacha kutumia sana hzo njia especially in digital error
Kazi kubwa ya Wizara ni kutunga na kusimamia sera na miongozo ila utekelezaji hufanyika kwingine na watu wengine,Sasa hao watu wakiboronga Waziri hatakiwi kulaumiwa Bali walaumiwe wao na kama hiyo sheria ndio mbaya Bado sio swala la Waziri Bali ni la Serikali,kumbuka Waziri unaweza kuwa umesomea Kiswahili na ukawa Waziri wa sheria Sasa msidhani kwamba ni kazi ya Waziri Kupitia vifungu vya sheria ,hapana..Kazi za waziri ni zipi na wizara yake?
😂😂😂😂😂Mtu ana PhD ya business administration huku hajawahi kuwa na biashara yoyote hajui hata changamoto za watu then una mpa wizara aongoze [emoji28][emoji28] matokeo yake ni Kuja na theory zinazofeli.
Kuna muongeaji mmoja alisema wastaafu wa TRA hufungua frame kariakoo mwisho hushindwa biashara kabisa na kula corner, Sasa wakute wanakomoa wafanyabiashara
Nimemsikia Majaliwa akimtaja kuwa wanalifanyia kazi.Unamjua mfanya biashara kwa jina la Ramadhan Nhtuzwe...🤔
Huyu jamaa alikua mfanya biashara hapo kariakoo, na kwakifupi alikamatiwa mizigo yake na TRA.
Jamaa amefilisika na juzi nikimuona wilayani Urambo mkoa wa Tabora, amefungua duka la kawaida na anauza bidhaa za nyumbani kwa rejareja kama duka la mangi.
NonsenseWakuu Salam,
Naomba nitangaze maslah, mimi ni mfanyabiashara, nipo Kariakoo, nje ya kariakoo na mkoa wa Pwani.
Malalamiko yetu wafanyabiashara mengi ni justifiable.. lakini hili la kumlaumu Mwigulu Nchemba bila supporting evidence is ungrounded.
Kuna watu wanatumia udhaifu wa migogoro ya sheria zilizopo kumgandamiza bila sababu.
Mfano.
1. Hoja ya fine ya kutokutoa EFD recept sio ya leo, na hii ilipingwa sana na aliekuwa mbunge wa Muleba Anna Tibaijuka, nilishangaa saana yale mapendekezo, kama kawaida ya bunge letu.. papatu papatu hoja ikapita ikawa sheria, Kipindi hicho Mwigulu ni Wazir wa mambo ya ndani.
2. Hoja ya ushuru wa malori, Ndugu Chuki anaweza kuwa ana issues personal na Mwigulu na siwez kuwaingilia , ila kodi ya 2.7M sio kubwa kama anavyodai, kumbuka kubeba tonneau 10 had mwanza ni zaid ya 1.5M na hiyo ni non negotiable.... kutaka hiyo gharama iingizwe kwenye diesel ni ku shift tax burden to non beneficiaries, ambayo ni unfair taxing.
3. Hoja za registration of warehouse sio kitu kipya na wengi tumesajili nikiwemo, hoja za umiliki ni jambo jingine, labda tuseme issue ya With holding Tax ndio haijakaa Sawa, lakini kulalamika kwamba tusisajili sio Sawa kabisa.
Kwenye ethical business ni lazima usajili store na ulipie usimamiz wake, ikiwa na vigezo vyote.... hii ni excuse ambayo kumlaumu nayo Mwigulu ni ku choose easy victim.
4. Hoja za task force zilikuwepo toka kipind cha mwendazake... kwamba tunasumbuliwa hili ni kweli na ni sualq la kuweka utaratibu tu wa namna ya ku control, ambayo sikuona sabab ya kumzodoa mwamba vile.
5.Utitiri wa kodi kwenye biashara na mamlaka nyingi zinazosimamia jambo moja ni suala la kurith na Mwigulu sidhan kama ni wa kulaumiwa 100% , issue hapo ni CCM kuweka na kuunda hizi taasisi kutafutia washkaj wao ulaji.
Kuna kila sabab ya kuunganisha taasisi nyingi sana ili kuondoa usumbufu.
Ni hayo tu... tumuhukumu Mwigulu kwa mengine lakini sio moja kwa moja kwa baadhi ya sheria ambazo amezikuta.
Anatetea maslahi 😀Hakuna mfanyabiashara bogus kama wewe.
Wafanyabiadhara halisi kina Freddy Vunjabei tumewasikia wenyewe leo na hata mama Bonge tumemsikia, wewe ni chawa tu wa Mwigulu.
Mchengerwa una mwonea.Mwigulu, mchengerwa, na huyu Kijaji ndio mawaziri wanaongozwa kuchukiwa ndani ya Bunge mpaka nje ya Bunge
Kwanza Wana majibu ya shombo Sana
Pili hata ukifanya nao mkutano wa mambo serious hakuna kinachotokea
Kosa lako wewe ni ufinyu wa fikraMimi nimezaliwa nauza, naweza kukuuza hata wewe.
Nimesema I'm not here to validate au ku prove chochote kuhusu mimi, wewe niambie kosa la Mwigulu.
Mwigulu hana kosa lolote ni fitina za kisiasa na chuki binafs
Ilikuwa ni lugha ya utani tu mkuuUliposema ambae hataki kuulipa kodi akaishi Burundi ulisikia au haaaukisia
Yaani wamejua kunifurahisha. Wamempa yake Leo na hakuwa na ChakuwafanyaIla nimependa wamemnanga sana kwa maneno ya kejeli maana yeye huwa anajidai bingwa wa maneno ya kukararisha.
Kuna mwamba anasema,unajitia Dokta,Dokta wa wapi wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchengerwa una mwonea.
Jamaa ni msikivu sana anasikiliza hata watu wa chini kabisa.
Mchengerwa ni mbunifu na mtendaji mzuri, kote alikopita alianza kuzisuka wizara vizuri sana.
Bado sijamsikia wizara ya utalii labda bado anajipanga