Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
Majibu
1. Simba ya wanachama wa Simba. Hii club inamilikiwa katika zama za Mwl wetu JK Nyerere japo tupo kwenye digial world. Anayeuza ni wanachama wa Simba ambao wao ndio wamiliki. Faida atakayopa itaonekana baada ya mahesabu ya mwaka kufanyika
2. Hio 20bln ni kununua maamuzi yaani kumiliki Simba kwa 51%. Kwa maneo mengine kuiendesha na kuisimamia Simba iwe kwa kutumia hizo 20bln pamoja na hela zingine na Assets zingine Simba walizonazo
3 & 4. 49% wanaendelea kumiliki wanachama wa Simba. Hizo hisa so far bado wanamiliki wanachama, lkn baadaye wakiamua kuuza watajua wenyewe huko. Ila kitakachobadilika kikubwa sana ni kuwa Mo ndio mwenye last say kama Ibra alivyo Chelsea. Akiamua kula sahani moja na Kocha anakula, na wanachama hawatakiwi kufungua mdomo.
Akiamua mchezaji fulani asisajiliwe ndo inakuwa hivyo na wanachama wanatakiwa ku shut up!
Asante mkuu, ninadhani nakuelewa kwa mbali kidogo.
Lakini wewe unaona ni sahihi Mo kuinunua Simba kwa 20bln halafu aje aindeshe kwa kutumia hela hizo hizo?
Yaani awe na control juu ya matumizi ya hiyo hela?