MO alishatia Bilioni 20 kitambo na bado anaendelea kugharamika kwa mapenzi ya timu, ni wajinga pekee wanahoji nami nawaelimisha kuwatoa ujinga

MO alishatia Bilioni 20 kitambo na bado anaendelea kugharamika kwa mapenzi ya timu, ni wajinga pekee wanahoji nami nawaelimisha kuwatoa ujinga

Kwa huu mgogoro unaoendelea sina imani kama simba itafanya vzuri msimu ujao tena. ILA mbali ya yote hata kama mo ni tapeli au viongozi wanahujumu kwa timu zetu za kitanzania hazina uwezo wa kujiendesha zenyewe kwa mapato yake yenyewe
Timu zinaweza kujiendesha ila upigaji ni mkubwa sana, kila anaeingia anataka apige asepe.
 
Timu zinaweza kujiendesha ila upigaji ni mkubwa sana, kila anaeingia anataka apige asepe.
Mkuu mimi sijui sana ila Embu nipe roughly estimation kwamba nature ya Tanzania mpira kujaza mpaka simba na yanga au kununuliwa kwa jezi. Hivi unafikiri unaweza kuendesha timu kama simba na yanga kwa gharama zote kuanzia wachezaji, watumishi, safari ,maradhi, marupurupu unafikiri ni rahisi hivyo mkuu?
 
Mkuu mimi sijui sana ila Embu nipe roughly estimation kwamba nature ya Tanzania mpira kujaza mpaka simba na yanga au kununuliwa kwa jezi. Hivi unafikiri unaweza kuendesha timu kama simba na yanga kwa gharama zote kuanzia wachezaji, watumishi, safari ,maradhi, marupurupu unafikiri ni rahisi hivyo mkuu?
Sio rahisi ila hizi timu zinahujumiwa sana na wanaopewa mamlaka ya kuziongoza.
 
Kupitia haya maelezo yako, hivyo vyanzo vya mapato havina tija, na ndiyo maana mwekezaji wenu anadai mpaka hela aliyonunulia mchicha siyo!
Sasa kama kilichotokea ilikuwa ni makubaliano yaliyoafikiwa na pande zote mbili, kwanini uanze kuleta tamaa?

Kama terms walizokubaliana ili pesa ziingie moja kwa moja kwenye Club bila MO kuzidai ilikuwa ni kukamilisha hiyo transformation na nyie ndio mnaokwamisha hiyo transformation kwanini tena muanze kulalamika mkidaiwa?
 
Well said. Hivi km kuna watu wanafikiria matangazo kwenye jezi na udhamini Wa Azam, Mbet au Sportpesa vinaweza kuendesha timu kwann Yanga haikutoka kwenye dhiki hadi alipoingia GSM? Au bado anafanya nn pale Yanga kama mapato hayo yanatosha? Watu hawajui wanachokiongea. Akitoka Mo ndo watajua walikuwa hawajui. Biashara ya uwekezaji katika hizi timu za Nchi km Tanzania bado hazitoi faida yoyote ya kuweza kuwavutia wawekezaji. Hawa tulio nao/ tuliye naye si muwekezaji hasa, bali ni kama mfadhili tu mwenye mapenzi na timu. Ht Mo mwenyewe najua anajua kuwa hatarajii faida yoyote ya kifedha kutokana na huo uwekezaji wake any time sooneri. Ndo mana huku kwetu hatujawekewa ile Sheria ya FIFA ya financial fair play ambayo inavilazimisha vilabu kutumia kile tu kinachopata kutokana na biashara ya mpira. Sisi bado tunajiendesha kwa ufadhili wa matajiri wenye fedha, wawe wamiliki au wapenzi Wa vilabu hivyo.
Kumtoa Mo mnaweza kuona ni ushindi lkn huyo mnayemfikiria atawatoa hapo mlipokwama, hawezi kuwa Kigwangwala wala huyo CPA Massoud. Hawana uwezo huo.
Wanasema huwezi ukajua value ya ulichonacho mpaka pale utapokipoteza.

Pale Simba wanaosema Mo aondoke wengi wameahidiwa hongo na huyo mwekezaji kivuli.

Lakini kitu ambacho nimeshangaa wanasimba wengi hawakifikirii ni kwanini wachezaji, makocha wamenyooshea vidole uongozi na bado mashabiki wamejipumbaza na kumvamia MO?

Pale Simba kuna skendo nyingi za viongozi wanaofanya kazi ya udalali kwa wachezaji hivi ni kweli hili hatulioni kuwa ni tatizo na badala yake tatizo tunaona ni MO?

Kuna interview ya MO aliwahi kuhojiwa akiulizwa kama imewahi kutokea akiombwa milion 200 za kumsajili mchezaji na badala yake akaletewa mchezaji wa milioni 90.

MO alisema hilo linawezekana ila sina uwezo wa kulithibitisha.

Sababu kubwa ya Kibu kuwakomalia Simba usajili kwa kutaka pesa ndefu ilikuwa ni kwasababu ya middle man aliyemsajili kutoka Mbeya City alikuwa anachukua percent kadhaa kwenye signing fee ya Kibu.

MO alipogundua na kuamua kuwaambia wajiuzulu wote ili kuijenga upya Simba ndio hapo mjadala wa MO aondoke ulipoanzishwa.
 
Mwamedi mhuni Sana,

Zikiingiaga tu zile pesa za caf ndo utaskia zile kauli zake jinsi gani Simba sc inavomtia hasara

Lengo tu zisihojiwe, kisingizio Ni alitoa pesa za usajili na mishahara ya wachezaji.

Simba ingekua inamtia hasara angeiachia Tu.
Hakuna mhindi wa hivyo yani, afanye kitu kwa hasara? Hajazaliwa.
 
Unajua kitu ambacho watanzania tuko nacho vizuri ni kuongea na hasa kwemye criticism.

Kuongea ni kitu rahisi sana ambacho kinaweza kufanywa na mtu yeyote ila linapokuja swala la utendaji ni watu wachache sana wenye kuweza.

Kama matangazo yanalipa kiasi cha kuifanya timu iweze kujiendesha bila mwekezaji kwanini hatukuprint jezi zenye nembo ya Simba ili tupate hela ambazo zingeingia direct kwenye Account ya Simba kuliko kumtafuta mwekezaji ambaye anaenda kunufaikia kupitia brand ya timu?

Kama wewe una amini mwekezaji akiweka matangazo kwenye jezi ya timu yako anaenda kunufaika kwanini usitumie hiyo fursa kujiendesha mwenyewe kwa kuweka matangazo ya Club yako ili uwe unanufaika mwenyewe?

Mpaka unamuachia mtu aweke matangazo yake kwenye jezi yako ili wewe uweze kuendesha timu kupitia hela zake maana yake ni kwamba wewe umeshindwa kupata hiyo faida ambayo saizi unaiona.

Sasa kwanini uwe obsessed na mtu anayepata faida kupitia rotaion ya hela zake?

Vipi wanaomiliki 51% ambayo ni kubwa wao wametoa bei gani mpaka sasa?

Au sisi wenye 51% kazi yetu ni kuchambua faida anazopata mwekezaji kupitia ads?

Kabla ya MO Dewj Simba ilikuwa katika hali gani?

Naskia chinichini kuna mwekezaji ambaye anatajwa kuwa yupo tayari kuichukua Simba, na huyo mwekezaji yupo nyuma ya hao wanaopiga kampeni za Mo atoke

Alikuwa wapi kipindi hicho ambacho Simba ilikuwa inataabika?

So ni wazi kuwa ameanza kuiona value ya Simba kutokana na hela za MO.

No offense lakini namuona kama shangingi wa bar anayefuata meza yenye bia nyingi.

Ni kama Zubeda mke wa Profesa Jay aliyemtoa kijijini sitimbi akila magimbi akijipaka mafuta ya kupikia lakini alipomleta mjini na kuanza kumgharamia demu akaamza kushoboka na mataita wa mjini.

Some spazz gotta say "Ooh MO unajua anapata sana faida halafu anasingizia Simba inampa hasara"

Mimi na wewe kama mashabiki hatufaidiki na chochote kwenye Simba zaidi ya furaha (labda kama kuna wenzangu mpo kwenye payyrol) ni Furaha ambayo tunaipata kupitia matokeo mazuri tu ndio malipo yetu.

Kama MO anapata faida ni non of our business just like Man U au Man City ambazo tunazishabikia kwa mapenzi yetu kwa lengo la kupata furaha.
Hakika umenena✔️
 
Hivi kulikuwa na makubaliano ya maandishi (mkataba) uliokuwa unasema MO alipe Bilioni ishirini kwa namna hiyo? Au hili limekuja baadaye?
 
Sasa kama kilichotokea ilikuwa ni makubaliano yaliyoafikiwa na pande zote mbili, kwanini uanze kuleta tamaa?

Kama terms walizokubaliana ili pesa ziingie moja kwa moja kwenye Club bila MO kuzidai ilikuwa ni kukamilisha hiyo transformation na nyie ndio mnaokwamisha hiyo transformation kwanini tena muanze kulalamika mkidaiwa?
Kha!! Mimi nahusika vipi sasa kwenye hayo madai!!
 
Back
Top Bottom