Mo apata changamoto, Bakhresa atoa dau bilioni 25 kuinunua Simba SC

Status
Not open for further replies.
Ndugu yangu Bakhresa sawa wewe ni mjasiria mali lakini hizi sasa ni sifa

1.unga wewe
2.Maji wewe
3.ice cream wewe
4.azam media wewe
5.azam marine
6.keki wewe
7.chapati wewe
8.maandazi wewe
9.mkate wewe

Sawa umewavuruga hadi mama Ntilie,na ving'amuzi vingi umewavuruga. saizi umeingia simba unataka kumvuruga Dewji kwenye mchakato wa Hisa kwa kutoa mtonyo mkubwa uliotukuka sio poa jamani kuwa na huruma
 
kuna uwezekano mkubwa sana kuwa mtoto wake abuu ndio anaitaka simba
 
Mo alinunua Mbagala market akaitosa, kama kigezo chako ni hicho MO hafai!
 
Hata jf akiitaka ataimiliki tu cha muhimu mpunga uwekwe mezani kwisha!
 
Animiliki hata mimi nishachoka mie na maisha ya kichovu!!!πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
MO anastahili....Bakhresa akichukua Simba mchezo kati ya Azam na Simba hautakuwa wa kuvutia...............
 
Tumuuzie hata nchi kama inawezekana! Maana duuu, sina hata hela ya kiingilio cha mechi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…