Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,326
- Thread starter
-
- #101
Mo billion 20 ilikuwa ndio ofa yake, kabla ajapata changamoto ya billion 25 kutoka kwa bakhresa nae, wote wakiitaka Simba mkuu.Mkuu wewe Ni kichwa maji sio??
Hebu soma huo uzi Na uniambie offa ya mo imetajwa wapi!!
Acha ushoga
We utakuwa upande wa pili wazee wa kutembeza bakuriAzam abak na timu yake hizo pesa si angewatupia wachezaj wake haina maana
Vipi Mbekeko Malinzi humpelekei?mimi niko assigned kumpelekea Aveva chukula na maji huko magereza.
Tuheshimiane kazini.
Sheria za fifa zina apply kwny michuano yao kwamba timu moja yenye mdhamini au mmiliki mmoja haiwezi kushiriki mashindano sawa pamoja hii kwa afrika haiwezekani maana bingwa mmoja anaenda caf mwingine shirikishoSheria za FIFA sijui kama Bakhresa atakuwa Salama.
kumiliki sio tatizo tatizo lipo kwny ushiriki tu kwa africa haiwezi tokea simba na azam zote zishiriki mashindano sawa ya fifaSheria haziruhusu mmiliki mmoja kuwa na timu zaidi ya moja
Hii itakuwa ngumu sana zaidi ya kuchukuliwa na Mo tu
Bharesa ni mtu wa vitendo kuliko maneno. Ila kwa vyovyote vile lazima kuwepo za wawekezaji zaidi wa mmoja maana wahindi siwaamini hata kidogo.Nafikiri niliisikia mipango ya mo
Ila kwa baresa sijasikia mipango yake kwamba hizo bilioni 25 zitwekwa wapi ili zizidi kuongezeka na kufanya vitu vya maendeleo
Hii ikifanikiwa jezi za simba zitakuwa adimu mtaani
We utakuwa upande wa pili wazee wa kutembeza bakuri
Mbona Bongo matimu ya Polisi yanamilikiwa na PolisiKuna sheria inayo kataza timu mbili kumilikiwa na MTU mmoja kwenye leage moja.
Kwahiyo JKT Ruvu akipanda ligi kuu Ruvu Shooting atashushwa?Sheria za TFF zilikuwa kimyaa ila juzi kaat walisema tasisi hailusiw kuwa na tim mbili kweny ligi.
Kwenye kisu Kirefu ndio apewe timuTajiri kijana barani africa Bw, Mo dewji amepata changamoto kwa mfanyabiashara, mwenzake. Katika ununuzi wa hisa za club ya Simba Bw, Said Salim Bakhresa, ameweka dau la shillings za kitanzania Billion 25 huku Bw, Mo akidhani yupo peke yake.
Kwenye huo mchakato wa kuinunua Simba, vigezo vya kuinunua timu ya simba uwe mwanachama hai wa Club, sasa Bw, Bakhresa vigezo vyote anavyo Simba inauza asilimia 50 ya hisa kwa wadau wake, wakati huo huo wanachama wanaona bora timu akabidhiwe Bw, Mo kwa kigezo alishatoa pesa zake, karibu billion moja.
Kwa ajili ya kuisaidia timu. Wakati huo Bakhresa alikuwa wapi wanachama Wakihoji, na wengine wakimtaka Bw, Mo aongeze mpunga kumzidi Bakhresa. Msimamizi wa mchakato huo Jaji mihaya anasema mchakato bado unaendelea.
Mkuu JKT zote ni zipo chini yaJWTZWee mbuzi unachokiongea unakijua? Hebu zitaje timu za JWTZ? timu za JWTZ unazozungumzia ni timu za kambi husika mfano mgambo jkt ni ya tanga... jkt ruvu ya pwani means zinamilikiwa na makambi husika na sio JWTZ sijui unaelewa? Ukija polisi utakuta kuna polisi Dodoma polisi morogoro... unaiona prison mbeya ile ni timu ya magereza mbeya so hata dsm wangeweza kuwa na prison dsm sjui unaelewa? Nachomaanisha nisawa na azamu aanzishe timu nyingne mmiliki akiwa mwenye na ishiriki ligi kuu bara kama azam fc.. mfano mwingine Mmiliki wa chelsea hawezi miliki timu nyingne pale england we mbuzi umeelewa