Kweli kabisaWatu mbona mnazungumza kama mmepagawa? Huyu Mo anaelipa mishahara laki na 50 ..?amsaidie mama kwenye nini.?
Huyu Mo ambae mpaka Leo Simba wanauliza bilioni 20 ziko wapi?
Mo huyu anae kopi bidhaa za wenzake Hadi anashtakiwa na kushindwa Kesi mahakamani??
Mo ni mchuuuzi Tu kama sio dalalali...
Mpigieni debe aendelee kuwachuuza..
utajiri wake unatuhusu nn ikiwa yy na familia yake wanatajirika? huyu anatufanya ngozi nyeusi kuwa watumwa kwenye maviwanda yake kwa ujira wa5000 kwa siku na unafanya kaz kutwa nzima huyo n mnyonyaji wa jasho la wanyonge wenye dhiki.sheria za kazi n masaa nane ila kwake utahenyeshwa masaa 12.Wanabodi,
Mo Dewji if not yet, then probably is going to be the richest man in Tanzania!. Has 150 products, he is going to knock down Coca Cola and Pepsi Cola!, ametupaisha kimataifa, ila pia ametubagaza kuwa "we have got tons of arable land that can feed Africa, but he is surprised why are we still importing food, edible oil?!, akapiga na nyundo "unfortunately we don't have the right framework and policies to deal with large investment in agriculture" . Wito kwa serikali yetu, tusisubiri tuu kuwa reactive, sometimes we have to be pro active, Bashe aisikilize hii interview, amuite Dewji na kumpeleka kwa Mama, Dewji amsaidie Bashe, Mama na Watanzania, to formulate hizo "the right framework and policies to deal with large investment in agriculture", halafu tukishindwa ku implement, ndipo awaite CNN na kuwaeleza hayo!.
Huyu jamaa apewe kila aina ya ushirikiano na serikali yetu, ili afanikishe ndoto zake, na zikikamilika, atakuwa ndio tajiri No. 1 Tanzania na No. 2 Africa nyuma ya Aliko Dangote!.
Hongera Sana Mo Dewji!
Paskali
Out of Chuki.....Paskali, Mudy is not a real investor in agri-business and he had not been be a right person in transformation of agri-sector which led to leave a landmark in agri-economy in Tanzania settings.
Amewahi kupewa mashamba ya mkonge ili alone zaidi na kuweka machinery za kuchakata nyuzi za katani (sisal fibres); alitumia mashamba yale kama dhamana ya kukopa na kuzungushia fedha za mkopo kwenye trading badala ya kuendeleza shamba la katani. Toka enzi ya Mpaka mpaka akaja kunyang'anywa enzi ya Mwamba.
Haaminiki kama mkulima wa kibiashara ndio maana hakupewa shamba kubwa alime kama Bakhresa alivyopewa shamba na Mwamba alime miwa ili azalishe sukari.
Mudy ni tajiri ila ana (janja-janja) sana. Hata akiajiri professionals ana mazongezonge kwenye kuwalipa, rejea alishindwana na Senzo, mpaka Zenzo akatimkia Jangwani.
Kuna watu waafrika/wazungu wamewekeza kwenye mashamba kibiashara ikiwa ni chai, maua, vegetables, kahawa, cocoa na more huko Mudy hayupo.
Mudy ni mfanyabiashara/mwanasihasa ambae anahubiri fuateni maneno yangu na sio matendo yangu.
Yesu anasema matendo yanazungumza kuliko maneno,...(Kama hamuamini, mimi ni Mwana wa Mungu, ziaminini KAZI, ninazozifanya).
Mudy hana intensive agri-investment ili aweze kuwa na moral authority ku-challenge policy na framework. Kama ipo pahala, naomba ioneshwe.
Japo suala la framework na policy ina shida na ilitakiwa tumwone akiwa kwenye groundwork aseme kwa facts kinachoendelea kwenye agri-investments.
FM
Manara kaingiaje hapa tena ?Mo ni mooooh tapeli kama matapeli wengine nasubilia hoja ya Haji manara
USSR
yeye si mfanyabiashara kwa nini asiwekeze huko kwenye kilimo?pia la kusema we do'nt have framework and policies sio kweli.we have framework and policies ndo maana unaona watu wamewekeza kwenye kilimo cha miwa,mpunga,ngano nk.labda hajasoma sera za kilimo.tatizo la huyu jamaa ni showcaseman na anapenda sana kucheza na media ili aonekane kuwa ana mpunga sana.labda nitakubaliana naye kama angesema au angeishauri serikali iongeze nguvu kupromote large scale agriculture hasa kwa waekezaji kutoka nje ya nchi.halafu aishauri basi serikali ifanye nn kwenye kilimo badala ya kuongea general issues,aseme nn kifanyike pamoja na kuwa na ardhi nzuri na kubwa kwa ajili ya kilimo.aseme serikali ifanye nini ili wawekezaji wakubwa waje kuwekeza kwenye mashamba makubwa ya kilimo hasa cha mazao ya chakula.Wanabodi,
Mo Dewji if not yet, then probably is going to be the richest man in Tanzania!. Has 150 products, he is going to knock down Coca Cola and Pepsi Cola!, ametupaisha kimataifa, ila pia ametubagaza kuwa "we have got tons of arable land that can feed Africa, but he is surprised why are we still importing food, edible oil?!, akapiga na nyundo "unfortunately we don't have the right framework and policies to deal with large investment in agriculture" . Wito kwa serikali yetu, tusisubiri tuu kuwa reactive, sometimes we have to be pro active, Bashe aisikilize hii interview, amuite Dewji na kumpeleka kwa Mama, Dewji amsaidie Bashe, Mama na Watanzania, to formulate hizo "the right framework and policies to deal with large investment in agriculture", halafu tukishindwa ku implement, ndipo awaite CNN na kuwaeleza hayo!.
Huyu jamaa apewe kila aina ya ushirikiano na serikali yetu, ili afanikishe ndoto zake, na zikikamilika, atakuwa ndio tajiri No. 1 Tanzania na No. 2 Africa nyuma ya Aliko Dangote!.
Hongera Sana Mo Dewji!
Paskali
Adui wa mtu mweusi ni mtu mweusi mwenyewe kamandautajiri wake unatuhusu nn ikiwa yy na familia yake wanatajirika? huyu anatufanya ngozi nyeusi kuwa watumwa kwenye maviwanda yake kwa ujira wa5000 kwa siku na unafanya kaz kutwa nzima huyo n mnyonyaji wa jasho la wanyonge wenye dhiki.sheria za kazi n masaa nane ila kwake utahenyeshwa masaa 12.
aliporwa sababu alikuwa hayaendelezi.unajua wahindi wengi hawawekezi kwenye kilimo bali wao wanataka kulangua tu kwa bei ndogo kutoka kwa wakulima wadogo.wanapenda sana kuwadhulumu wakulima wadogo lkn wao hawawekezi huko kwenye kilimo.Out of Chuki.....
Huna mifano mengine mpaka utumie Ya simba na Yanga?
Hayupo? Sikulijua hili....
Kumbe aliporwa mashamba? Sikulijua hili.
Hana mashamba makubwa? Sikulijua hili
Hata yale ya chai sio makubwa? Sikujua hili pia.
Ila jambo ambalo nna uhakika nalo ni kuwa unamchukia. Kumchukia hakuta kusaidia chochote.
Unamchukiaje mtu ambae hamjawahi kuonana au kugombania common interest??Out of Chuki.....
Huna mifano mengine mpaka utumie Ya simba na Yanga?
Hayupo? Sikulijua hili....
Kumbe aliporwa mashamba? Sikulijua hili.
Hana mashamba makubwa? Sikulijua hili
Hata yale ya chai sio makubwa? Sikujua hili pia.
Ila jambo ambalo nna uhakika nalo ni kuwa unamchukia. Kumchukia hakuta kusaidia chochote.
n mtazamo wako tu.Adui wa mtu mweusi ni mtu mweusi mwenyewe kamanda
Ova
Mimi huwa nakumbuka alivyotekwa na Makonda siku ile 'alipopatikana' polisi wakaenda nyumbani kwake na Azim Dewji akawa anamshukuru Magu kurudi kwa Mo wakati tunaambiwa aliibuka tu akajikuta yuko viwanja vya Gymkhana.Wanabodi,
Mo Dewji if not yet, then probably is going to be the richest man in Tanzania!. Has 150 products, he is going to knock down Coca Cola and Pepsi Cola!, ametupaisha kimataifa, ila pia ametubagaza kuwa "we have got tons of arable land that can feed Africa, but he is surprised why are we still importing food, edible oil?!, akapiga na nyundo "unfortunately we don't have the right framework and policies to deal with large investment in agriculture" . Wito kwa serikali yetu, tusisubiri tuu kuwa reactive, sometimes we have to be pro active, Bashe aisikilize hii interview, amuite Dewji na kumpeleka kwa Mama, Dewji amsaidie Bashe, Mama na Watanzania, to formulate hizo "the right framework and policies to deal with large investment in agriculture", halafu tukishindwa ku implement, ndipo awaite CNN na kuwaeleza hayo!.
Huyu jamaa apewe kila aina ya ushirikiano na serikali yetu, ili afanikishe ndoto zake, na zikikamilika, atakuwa ndio tajiri No. 1 Tanzania na No. 2 Africa nyuma ya Aliko Dangote!.
Hongera Sana Mo Dewji!
Paskali
Nielewe nini. Can you expound?Sikiliza interview uelewe.
Muulize mo dewj atakuambiaUnajitaji uwe na bilions ngapi kumhonga Ramadhani Kayoka akupe tuta la mchongo??
Yaan kama hiyo match box ndio ovyo kabisa, njiti hazina uimara sijui wanatumia miti gani, yaan hadi Kenya wanatupita. Njiti unaiwasha hata haijawaka kimeshavunjika yaan ovyo tuTatizo products zake ni za kiwango cha chini sana na photocopy ya ubunifu wa makampuni mengine.
Kwa mfano MO matchbox hamna viberiti pale na photocopy ya Tinga matchbox made in Kenya, MO B29 hamna sabuni pale na ni photocopy ya B29 halisi, Mo energy drink amekopy toka azam, Safi cooking oil, Taifa powder soap ameiga toka NETAX na mbaya zaidi anaiga hadi vifungashio na rangi
Wewe unaongozwa na chuki.Watu mbona mnazungumza kama mmepagawa? Huyu Mo anaelipa mishahara laki na 50 ..?amsaidie mama kwenye nini.?
Huyu Mo ambae mpaka Leo Simba wanauliza bilioni 20 ziko wapi?
Mo huyu anae kopi bidhaa za wenzake Hadi anashtakiwa na kushindwa Kesi mahakamani??
Mo ni mchuuuzi Tu kama sio dalalali...
Mpigieni debe aendelee kuwachuuza..
Mtanzania ni yeyote aliyezaliwa au kuchukua uraia wa Tanzania.But he doesnt look like 98% ya Watanzania, …
Kina GSM wana makando kando mengiGSM naye alifanyiwa mahojiano na Mpenja TV siku ya birthday yake
Kiwango kilichowekwa ni kiwango ambacho serikali imekiweka. Tatizo ni serikaliAnayoyafanya Mo yote ndio haswa maisha na tabia za matajiri wakubwa.
Nitajie tajiri mmoja anayelipa mishahara mizuri lakini asiwe MZUNGU.
Na mashamba ya chai aliporwa?aliporwa sababu alikuwa hayaendelezi.unajua wahindi wengi hawawekezi kwenye kilimo bali wao wanataka kulangua tu kwa bei ndogo kutoka kwa wakulima wadogo.wanapenda sana kuwadhulumu wakulima wadogo lkn wao hawawekezi huko kwenye kilimo.
Wapo wanagawa pesa kwa machawa, kutomba pisi kali,kushindana kulewaMO is very smart no doubt.
Sema matajiri weusi wako wapi?
Waafrica weusi wanapotezwa na weusi wenzao..so sad.
Kuiga hakuna ubaya wowote ule.Tatizo products zake ni za kiwango cha chini sana na photocopy ya ubunifu wa makampuni mengine.
Kwa mfano MO matchbox hamna viberiti pale na photocopy ya Tinga matchbox made in Kenya, MO B29 hamna sabuni pale na ni photocopy ya B29 halisi, Mo energy drink amekopy toka azam, Safi cooking oil, Taifa powder soap ameiga toka NETAX na mbaya zaidi anaiga hadi vifungashio na rangi