Mo Dewji Aipaisha Tanzania Kimataifa on CNN "Unfortunately We Don't Have The Right Framework & Policies to Deal With Large Investment in Agricalture!"

Kweli kabisa
 
utajiri wake unatuhusu nn ikiwa yy na familia yake wanatajirika? huyu anatufanya ngozi nyeusi kuwa watumwa kwenye maviwanda yake kwa ujira wa5000 kwa siku na unafanya kaz kutwa nzima huyo n mnyonyaji wa jasho la wanyonge wenye dhiki.sheria za kazi n masaa nane ila kwake utahenyeshwa masaa 12.
 
Out of Chuki.....
Huna mifano mengine mpaka utumie Ya simba na Yanga?
Hayupo? Sikulijua hili....
Kumbe aliporwa mashamba? Sikulijua hili.
Hana mashamba makubwa? Sikulijua hili
Hata yale ya chai sio makubwa? Sikujua hili pia.

Ila jambo ambalo nna uhakika nalo ni kuwa unamchukia. Kumchukia hakuta kusaidia chochote.
 
yeye si mfanyabiashara kwa nini asiwekeze huko kwenye kilimo?pia la kusema we do'nt have framework and policies sio kweli.we have framework and policies ndo maana unaona watu wamewekeza kwenye kilimo cha miwa,mpunga,ngano nk.labda hajasoma sera za kilimo.tatizo la huyu jamaa ni showcaseman na anapenda sana kucheza na media ili aonekane kuwa ana mpunga sana.labda nitakubaliana naye kama angesema au angeishauri serikali iongeze nguvu kupromote large scale agriculture hasa kwa waekezaji kutoka nje ya nchi.halafu aishauri basi serikali ifanye nn kwenye kilimo badala ya kuongea general issues,aseme nn kifanyike pamoja na kuwa na ardhi nzuri na kubwa kwa ajili ya kilimo.aseme serikali ifanye nini ili wawekezaji wakubwa waje kuwekeza kwenye mashamba makubwa ya kilimo hasa cha mazao ya chakula.
 
Adui wa mtu mweusi ni mtu mweusi mwenyewe kamanda

Ova
 
aliporwa sababu alikuwa hayaendelezi.unajua wahindi wengi hawawekezi kwenye kilimo bali wao wanataka kulangua tu kwa bei ndogo kutoka kwa wakulima wadogo.wanapenda sana kuwadhulumu wakulima wadogo lkn wao hawawekezi huko kwenye kilimo.
 
Unamchukiaje mtu ambae hamjawahi kuonana au kugombania common interest??

Chuki ni hisia. Kama una facts dhidi ya hoja nilizotoa, weka jukwaani usomeke. Ila unapoweka hoja za chuki au kupendwa, hiyo ni hisia.
JF ni jukwaa la great thinkers.

Nikukumbushe, wakati mmoja Mudy alimkaribisha JPM kuzindua plant yake ya kuchakata ngano, akapewa challenge, kwanini asiombe apewe shamba la kulima ngano Manyara na badala ya kutegemea imported wheat?
 
Mimi huwa nakumbuka alivyotekwa na Makonda siku ile 'alipopatikana' polisi wakaenda nyumbani kwake na Azim Dewji akawa anamshukuru Magu kurudi kwa Mo wakati tunaambiwa aliibuka tu akajikuta yuko viwanja vya Gymkhana.
Wonders shall never end.
 
Yaan kama hiyo match box ndio ovyo kabisa, njiti hazina uimara sijui wanatumia miti gani, yaan hadi Kenya wanatupita. Njiti unaiwasha hata haijawaka kimeshavunjika yaan ovyo tu
 
Wewe unaongozwa na chuki.

Sasa ulitaka waajiriwe na nani hao watu 38,000?
Kwani umezuiwa kuwa dalali?
 
Anayoyafanya Mo yote ndio haswa maisha na tabia za matajiri wakubwa.
Nitajie tajiri mmoja anayelipa mishahara mizuri lakini asiwe MZUNGU.
Kiwango kilichowekwa ni kiwango ambacho serikali imekiweka. Tatizo ni serikali
 
aliporwa sababu alikuwa hayaendelezi.unajua wahindi wengi hawawekezi kwenye kilimo bali wao wanataka kulangua tu kwa bei ndogo kutoka kwa wakulima wadogo.wanapenda sana kuwadhulumu wakulima wadogo lkn wao hawawekezi huko kwenye kilimo.
Na mashamba ya chai aliporwa?
 
Kuiga hakuna ubaya wowote ule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…