We mbumbumbu una niniTp mazembe inamilikiwa na Moise katumbi na ndio timu yenye mafanikio Africa kuliko timu yoyote ile ya watu weusi ukiwatoa waarabu na wanamtegemea Moise katumbi kwa kila kitu? Azam ya juzi tu INA viwanja viwili wewe yanga una nini? Si ndo wewe ulipitisha bakuli uchangiwe?
Simba kama timu tumeingiza kiasi gani..
Mo ni mwana siasa mnyonyaji kama wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Gharama za uendeshaji, timu inaingiza milion500 kwa mwaka wakati yeye kwa mwaka anatumia bilion5 hii si biashara kichaa? Kwanini asikimbie?MO ni tapeli tu kama matapeli wa Ubungo aseme sababu ya msingi ya kujiuzulu asijifiche kwenye kichaka cha Mapinduzi cup.
Moise katumbi hajawa congo kwa karibia miaka 4 akiishi ubelgiji lakin TP mazembe iliendelea kuwasha moto.Azam bila Bakhresa inaenda vizuri tu kwa sababu Mzee salim mali zake zipo kistaarabu.Ninyi bila Mo mtapitisha bakuli kama sisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe tumia akiliBado ni investor , all is well.
Muda mfupi baada ya Simba kupoteza fainali ya kombe la mapinduzi dhidi ya mtibwa, mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Simba ametangaza kujiuzulu ktk nafasi hiyo na kubaki kuwa mwekezaji tu.View attachment 1322358
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Laana za kuchukua mke wa stamina zinaitafuna Simba.
Sio kukosa tu, timu haionyeshi matumaini yoyote.Heheh kama ni kweli basi Mo ni mbabaishaji naye...
Yaani ukose kombe la mapinduzi ndio utoke povu hadi kukimbia uongozi...
Simba ipo kabla hata hajazaliwa na ilichukua makombe kabla hata hajazaliwa
Kama kachoka aiache timu yetu
Sawa mwenye akili.Wewe tumia akili
Timu inamilikiwa na familia, Kwa hiyo Jamaa mke akigoma kutoa pesa simba ndio basi
Zile pesa ni za familia sio za simba
Mjifunze kwa wajinga wenu yanga, Manji chali na Timu chali
GSMKwa jinsi watakavyochimbana kwa hii tafulani Yanga anaenda kuchukua ubingwa this time.
Mambo ya kumtegemea mtu mmoja alete pesa kwenye timu wakati timu ina watu milion 20+ ujinga huu bongo sijui utaisha lini.
Huu ujumbe maana yake wakina kagere na wachezaji kibao wa kigeni wanaolipwa pesa ndefu safari hiyo.
Kweli kutesa kwa zamu ndio mpira wa bongo.
Huna unachokijua kuhusu mpira Gsm(Ghalib said Mohammed) anayewapa hela yanga,anayewalipa wachezaji wa yanga mishahara na kuwasaidia kusajili sio mwanaume ni mwanamke yule?We mbumbumbu una nini
Mwanamke mchawi kama nini unachamba kama nini
Kazi kujivunia pesa za mwanaume moo tu tafuta zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili la kulipa bilioni nne na la kutoshinda Kombe la Mapinduzi yanahusianaje? Kadhalika hii kulipa bilioni nne na kujiondoa uenyekiti wa Bodi vinahusianaje? Yaani hatakuwa analipa tena? Lakini Bongo ndiyo Bongo. Usishangae kesho akakana yote hayo kwa kusema akaunti yake imedukuliwa. Si unawajuwa hawa nanihii kwa kupenda kunyenyekewa? Kinachotakiwa hapo ni ujumbe tu wa kumpigia magoli.Bakuli lao linaanza lini hawa mbumbumbu?View attachment 1322401
Kama ni hivyo, punguza munkari na Mo apunguze munkari. Mtaelewana tu.
Kwani kuna habari gani?MO anatumia uwezo wake vibaya kuwanyanyasa wasio nacho.
Anajimwambafai eti kalipa 4B mishahara kwa mwaka.. ivi unataka kusema simba ni kubwa kuliko serikali ya zanzibar.
Serikali ya Muungano yenyewe kwa 4B inalipa miezi 4 hadi 5.
Nilipo soma tangazo la kujiondoa nikajiuliza , kulikua na umuhimu gaji wa kutaja fedha ulizo toa.
Ipo siku utavuna unacho panda kwa kuwaihia wananchi maskini.
Sent using Jamii Forums mobile app