theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
simba walifanya kosa kubwa sana kumfukuza Uchebe, ni bora wangemuacha maana alikuwa tayari amezoea ligi ya Tanzania. Kwa huyu kocha mpya sidhani kama atamaliza msimu mmoja bila kufukuzwa, kocha hana mbinu kabisa na mwisho kuna wachezaji pale wanakula pesa ya bure simba iangalie namna ya kuachana nao msimu ujao..