Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Tena walivyomvua wakampaka kilainishiMo ndio maana alivishwa khanga. Huyu jamaa ni mpuuzi sana, mimi sifuatilii mambo ya mpira so hii issue yao sikuwa naichangia sana lakini kwa comment hii aliyoitoa ni bora Haji ana akili kuliko Mo
Sasa hapo mbona kama anaingilia uhuru wa wachezaji na anataka kujifanya yeye ndio kila kitu hadi kwenye maisha ya watu
Kabisa aisee sijawahi muona akijitoa kwenye jambo lolote la kijamiiSana. Ni mswahili sana huyo jamaa. Kuna watu walipinga zile Hustle za freeMo wakati ule ametekwa, walidai Mo ana roho mbaya na ni mnyonyaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuliokuwa tunatetea tuhuma za Haji tukaonekana utopolo
Mo hamna kitu kichwani + na Babara yai viza = majuto
Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Simba, Mohamed Dewji "Mo Dewji' leo Ijumaa 06 Agosti 2021, alionekana kukerwa na kitendo cha mchezaji nyota wa Simba Clatous Chama kumsifia aliyekuwa msemaji wa klabu ya Simba ndugu Haji Manara katika instagram live aliyokuwa akiifanya na mashabiki wake.
Mo Dewji alivamia instagram live feed ya Chama na kumuuliza ni nani aliyelipia hela ya usajili wako ni Haji aliyelipia ? na kuondoka mara moja. Kitendo hicho kimeonekana kuwakera baadhi ya mashabiki wa Simba.
View attachment 1883140View attachment 1883141View attachment 1883142View attachment 1883143
[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]No ni aina dukani ya watu wanaopenda umaarufu sana,bahati mbaya umaarufu haujawahi kumtaka.Hana kabisa personality kama walionayo matajiri wengine hapa Tz na huko duniani,nafikiri ni kwasababu hajahangaika kuzitafuta ndomaana hafanani kitabia na self-made billionaires.
Sasa kulikuwa na haja gani ya boss wa club kwenda kucomment shombo kama zile kwenye live ya CHAMA? Aiseeeh[emoji23]
Laporta said the club could not agree to this deal because of the impact it could have on Barca for the next 50 years.
Barca had to agree to an operation that would affect the club for the next 50 years in terms of TV rights. I cannot make a decision that will affect the club for the next 50 years," he said.
"The club is over 100 years old and above everyone - coaches, players, presidents - including the best player in the world."
[emoji23][emoji23][emoji23]Napata picha yule sheikh anayemiliki Mancity akichambana na Rahim sterling insta.
Sana na inatia hasira na inaleta panic balaaAnachopitia MO kila mtu anaweza pitia.....
Ufanye jambo, uwabebe watu mgongoni afu kitokee kiumbe kibeze uliyoyafanya, utukanwe mitandaoni. Alafu ukija kuangalia mpaka wale unaowalipa mshahara nao wapo upande wa anayekubeza kwa namna moja au nyingine......inauma sana.
Walio karibu na MO wamshauri akae pembeni na mitandao ya kijamii kwasasa, atakayoyaona yatamchoma sana.
Anasomesha watanzania mzee vingine tuache uongo aisee anatoa misada kwa wenye magonjwa ya sarataniKabisa aisee sijawahi muona akijitoa kwenye jambo lolote la kijamii
Ajiandae Barbara anaweza kumshughulikia, ataanza kulala kwenye makochi wakienda nje ya nchi[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]chama naye kakosa busara mtu sio msemaji na hajaondoka vizuri why aandike shomboHaji alikua analazwa kwenye makochi huyu atalazwa nje kabisa mvua ikiwa inanyesha