Mwanangu ukaanzisha na uzi kabisa??Habari za majukumu wapendwa? Huyu MO ni tajiri mkubwa Tanzania na Afrika Mashariki na Kati, lakini amezidi mno kulalamika, na kujielezaeleza kila anapofanya kitu fulani kwaajili ya Club yetu ya Simba.
Wewe ni bosi, na ukimya ni hulka ya mabosi, punguza kusema sema sana kwenye media, mambo hayo tuachie sisi akina yakhe tuliozoea maisha hayo ya maneno maneno.
View attachment 2713728
View attachment 2713729
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Hii account sio yake moWanasimba nawapenda sana, ila naomba kulalamika, nimeomba ticket ya VVIP kuajili ya mtoto wangu: kamati ya Salim Mk wa board na pamoja na Mk wa simba Mwangungu na CEO Imani wamekataa. :- Je hii ni haki? je hi ni zhulma?
View attachment 2713708
Kwani wapi umewahi kuona Bacca, PSG au Madrid wanatembeza bakuli?Inasaidia nini kwenye Football ? umewahi kuona Barca ,Real Madrid au PSG wakifanya harakati kama hizo ?
Msichukulie vitu serious sometimes anachangamsha genge tu!Boss wetu tunampenda sana ila manung'uniko yamezidi, masimango ndio usiseme, kila siku ni kuandikiwa tweet za mipasho na masimango.
Safari ya matumaini sidhani kama tutafika na kama tutafika basi tutafika tumechoka mnooo!
Hii ni muda mfupi uliopita leo kuelekea match ya ngao ya hisani mjini Tanga.
The don't see that wayAnawapumbaza timu pinzani.
Ila tumekuwa wadhaifu sana wakuu.
Kibwengo huyoKajamaa kanapenda kutrend sana....
Kaongelewage kenyewe....
Kwani huyo aliyeandika ni Hersi au MoHizi ndio habari Gongowazi wanapenda kuzisikia
Mmeambiwa muombe msamaha kwa kukashifu walemavu. Badala yake mnalilia ticket!Kuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
Aliposema ametoa bilioni 3 za usajili na akamalizia yale maneno yake, tunaojua tayari tulishajua.Wanasimba nawapenda sana, ila naomba kulalamika, nimeomba ticket ya VVIP kuajili ya mtoto wangu: kamati ya Salim Mk wa board na pamoja na Mk wa simba Mwangungu na CEO Imani wamekataa. :- Je hii ni haki? je hi ni zhulma?
View attachment 2713708
Wale sio walemavu, kuendelea kuwaita walemavu ndio unazidi kuwafanya waonekane inferiorMmeambiwa muombe msamaha kwa kukashifu walemavu. Badala yake mnalilia ticket!
[emoji28][emoji28][emoji28]
Ina maana hadi sasa GENTAMYCINE atakua hajakijua hicho? Au ndiyo kile alisema kuna kitu kikubwa kunaendelea ila hatasema ni kipi?Kuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
unatumia vizuri sana knowledge yako ya short course uliyosomea havana, cuba.Kuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
Ni walemavu wa ngozi. Ombeni msamaha.Wale sio walemavu, kuendelea kuwaita walemavu ndio unazidi kuwafanya waonekane inferior
Kamsikilize Zungu utamuelewaNi walemavu wa ngozi. Ombeni msamaha.
Ila Mudi anapenda sana kutrend. Hana tofauti na akina Paula!