Msafirishaji
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,693
- 2,641
Utakuta huyo Jamaa ni mchambuzi WA radio station Fulani hapa mjiniMbona kama umepaniki hivi
Kwani kazi ya CEO ni nini?
CEO ndio msimamizi wa kila kitu...... ndio boss
Amepewa malengo hajatimiza wewe unatatizika na lipi? Unaujua mkataba wake ulikua unasemaje?
Unajua malengo ya club kuliko wahusika wenyewe?
Hayo uliotaja ni yakwako na sio ya club
Mwisho sitaki kuamini kama unaamini kati ya watanzania wote hakuna anayeweza kuwa kama setho
Simba na Yanga zikiwa well organized ni timu zenye potential ya kuleta faida tena kubwa sana. Alichosema MO leo ambacho kitairusha Simba mbali sana ni uanzishwaji wa Academy ya maana.Tuwe wakweli hapa MO na GSM wamekuwa wakombozi wakubwa sana kwa vilabu vyetu pendwa hivi,kiufupi Simba na Yanga hazina uwezo wa kujiendesha kabisa,kabla ya MO na GSM hizi timu zilikuwa na hali mbaya kwelikweli.Binafsi naamini hawa matajiri wawili wananufaika na matangazo yao ktk jezi za Simba na Yanga tu basi,Ila ktk suala la uwekezaji wao siamini kama wanaambulia chochote,gharama na pesa wanazotoa kuendesha hivi vilabu ni kubwa sana tofauti na tunavyofikiria.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] Vipi tena yakhe? Kwani bwin wasipokuwepo enzi hizo pale madrid wangefirisika?
Ndio ujue kuwa watu wenye makampuni moo na GSM hawategemei biashara zao ziendeshwe na hizo timu.wanaweza wakajitoa kusaidia na biashara zao zikawa kama kawaida
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Wewe bwana asikudanganye mtu they need those teams kuteka soko zaidi...kama ingekuwa kweli anasaidia tuu sii angeenda saidia singida united....charity starts at home.
Ila kusema kweli nimemkubali Senzo Mazingisa kuwa ana Professionalism. Yaani Simba wanaongea wee, yeye yupo kimya tu amejikita kwenye masuala yake yajayo. Mo ameongea kiasi kwamba huwezi kumtofautisha yeye na Manara. Au ameambukizwa na Manara, maana nilikuwa namkubali sana Mo.Senzo kaondoka mwenyewe na Mo alilia lia kuondoka kwa Senzo, ndo maana watu tunashangaa leo alivyo-insuniate kwamba Senzo kaondoka kwa kukimbia baada ya kushindwa kufikia malengo aliyowekewa!
Kwamba Mo kapata hasara, hakuna kitu kama hicho!! Anachofanya ni part of his investments to Simba na lazima kitokee kwenye balance sheet! Kiuhasibu, ndo hapo mtakuja kushitukia Simba inafika wakati inapata "mapato" yanayoonekana na kila mmoja lakini bado mnakuja kuambiwa klabu bado inatengeneza hasara kwa sababu balance sheet itakuwa liabilities kubwa zinazotokana na pesa mnazodhani Mo anatoa sadaka!!!
Narudia... Mwamedi hajaja Simba kama shabiki lia lia bali kaja pale kama Mwekezaji Mfanyabiashara!
Hii Soccer entreprenuership imekuwa interest ya Mwamedi for years now, na ndio maana alianza kwa kuanzisha Lyon lakini akakwama; akaenda kunusa Singida nako akaona hakusomeki ndipo alipoamua kwenda kwenye timu ambayo tayari ina huge fans base and history... simple like that!!
Ukisema hakuna wanachopata hapo nami sikubaliani na wewe Mkuu. Hela inayoingia kupitia promotion za brand za Simba na Yanga ni huge money ambayo beneficiaries (members) hawajawahi kujulishwa na hao wawekezaji wenu. Ndio maana Manji aliwahi kuomba kununua Logo ya Yanga tu kwa mahela kibao.Hivi unajua kama hata wale GSM PALE YANGA HAKUNA WANACHO PATA ?.
uwekezaji wa mpira wa Tanzania ni ule "wewe toa MUNGU ATAKULIPA TUSAIDIE".
Ila hakuna mfumo wa uwekezaji wa club kupata na muwekezaji kupata. Maana hakuna vyanzo vya mapato vya Maana.
Matumizi ni makubwa kuliko inachoingiza club.
Hapo ndipo tunaowaita wawekezaji wetu moo na GSM kuingia mifukoni mwao Na kuziendesha hizi club
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Ukisema hakuna wanachopata hapo nami sikubaliani na wewe Mkuu. Hela inayoingia kupitia promotion za brand za Simba na Yanga ni huge money ambayo beneficiaries (members) hawajawahi kujulishwa na hao wawekezaji wenu. Ndio maana Manji aliwahi kuomba kununua Logo ya Yanga tu kwa mahela kibao.
Halafu akisema ametumia 4 billion anatoa mchanganuo ili members wajue?Man, tunajadili suala la Mo na madai yake kwamba kwa mwaka anatumia 4 Billion ambayo ni HASARA tu, na hakuna anachopata!!
Unlike Mo, GSM hadi sasa sio wawekezaji wa Yanga bali wanafanya kama sponsors tu!!
Mo tayari ni mwekezaji kwahiyo there's no way anaweza kuwekeza bila kupata faida... na ndio maana nimesema pesa anayotumia ni exagerration kuita eti anapata hasara kwa sababu uhalisia hiyo ni investment anayotarajia possible return leo au kesho!
Hata hao GSM na wao pia sio stupid!! Kuna wanachokitafuta kupitia Yanga!
Hapo ndio tunatakiwa tuanzie sasa. Maana wenzetu (Mo, Manji na GSM) wanajua hizo brand zina faida, sisi tunashindwaje? Hizi ndio sawa na hadithi ya Mzungu aliyewaona Wasukuma wanatumia Almasi kama kete za kuchezea bao then yeye akawaletea gololi akasepa na almasi. Wasukuma wakaona wamefaidi sana, kumbe siyo.Kwanini wasijiendeshe wenyewe kama hizo brand Za simba na yanga Zina HELA?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hapo ndio tunatakiwa tuanzie sasa. Maana wenzetu (Mo, Manji na GSM) wanajua hizo brand zina faida, sisi tunashindwaje? Hizi ndio sawa na hadithi ya Mzungu aliyewaona Wasukuma wanatumia Almasi kama kete za kuchezea bao then yeye akawaletea gololi akasepa na almasi. Wasukuma wakaona wamefaidi sana, kumbe siyo.
Mwamedi bana.
Acha ujinga wewe , asilimia 51 ya Simba ni Nini ?Sasa kama sio mwekezaji, na zile 49% Club Shares zinahusu nini?! Naona unaleta tena habari za GSM; Mo ana 49% pale Simba, hao GSM wana asilimia ngapi pale Yanga?!
Mtu wa finance na department zingine za kitaaluma ziko chini ya CEO , lolote linaloshindwa kufanyika kwenye hizo department CEO ndio Yuko responsible kujibu Mbele ya management.Amesema sababu za kijinga kweli, wewe unawezaje kufukuza mtu kwa kigezo cha kushindwa kuongeza mapato wakati focus ilikuwa kutengeneza management vizuri na kusimamia mabadiliko alafu hata hayo mabadiliko process bado haijaisha unaaza kumvalue CEO! Hivi Setho amekuja kuongeza mapato au kutengeneza mfumo wa uwendeshaji wa club, Kazi za kuongeza mapato ni kazi za wakurugenzi wa Masoko na Finance sio CEO. Hapo Mo umechemka
Alafu nilipo kuja kumuona chenga kabisa aliposema CEO anae kuja atakuwa mtanzania ambae ana mapenzi na Club, Hivi kuna mtanzania anaweza kuwa na knowledge kubwa kuhusu football management kama Setho au zaidi??? Kwei yupo??? Au ndio kutuletea wakina Manara
Simba Wana hisa asilimia 51, na Nyie wekeni mezani mzigo wemu.Wanahisa wengine kina nani? Yeye kauziwa 49% kwa 20B, HAKUNA MWINGINE ALIYEUZIWA CHOCHOTE.
mkuu nilipogundua najadili na watu vilaza ikabidi nikae kimya,hivi unajadili nini na mtu anayesema CEO hausiki na kupunguza matumizi na kuongeza mapatoMtu wa finance na department zingine za kitaaluma ziko chini ya CEO , lolote linaloshindwa kufanyika kwenye hizo department CEO ndio Yuko responsible kujibu Mbele ya management.
CEO anareport kwa menejiment.
uko sawa. hata wale viongozi waliotaka GSM walete hela ili menejiment ya Yanga ifanye kazi waliishia pabaya.Na kaa ukijua kama kwenye hizo club kungekuwa na hela wasingekubali GSM na moo kupewa timu hizo.
Yanga wanasajiliwa wachezaji na GSM na wanalipwa mishahara na GSM. Kama yanga wangekuwa na hela si wangejiendesha wenyewe?.
Unadhani GSM na moo bila kuwa simba na yanga biashara zao hazitaenda?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Mkuu hao ndio watanzania kila Kitu wanajua wao.mkuu nilipogundua najadili na watu vilaza ikabidi nikae kimya,hivi unajadili nini na mtu anayesema CEO hausiki na kupunguza matumizi na kuongeza mapato
Na kaa ukijua kama kwenye hizo club kungekuwa na hela wasingekubali GSM na moo kupewa timu hizo.
Yanga wanasajiliwa wachezaji na GSM na wanalipwa mishahara na GSM. Kama yanga wangekuwa na hela si wangejiendesha wenyewe?.
Unadhani GSM na moo bila kuwa simba na yanga biashara zao hazitaenda?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app