Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
Mbona jamaa tulikuwa tunamheshimu???
Harafu huwa anaharibu muda mbaya sanaa??
Harafu huwa anaharibu muda mbaya sanaa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna siku mtaachwa pabaya, shtukeni, tajiri analia kila sikuIwe tu kaongea kwa mzaha au kwa makusudi fulani ku catch attention ila kama yupo serious atakuwa MJINGA na MLOPOKAJI.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizi ni tabia za kike. Inabidi Mo aondoke kwenye avatar yangu
Au anakwepa kutoa mpunga wa usajili?Mbona jamaa tulikuwa tunamheshimu???
Harafu huwa anaharibu muda mbaya sanaa??
Huenda maana timu ikifanya vizuri anajiweka karibu ila hela zinazohitajika anaanza sababu zisizo na msingiAu anakwepa kutoa mpunga wa usajili?
Simba haina mfadhili bali mnyonyaji.Huenda maana timu ikifanya vizuri anajiweka karibu ila hela zinazohitajika anaanza sababu zisizo na msingi
Labda Hana business plan, japo changamoto ya mpira ni kwamba mtaji wa biashara hiyo ni ujuzi na nguvu za wachezaji wanao gombaniwa na timu zingine msimu ukiisha na majeruhi ya wachezaji kama wachezaji wasingelikuwa wanashuka viwango pia, kutokuwa majeruhi, kuendelea kuwepo kwenye misimu mingi kwa hitaji la timu husika tu! biashara ya mpira ingelikuwa ni nzuri sanaJe si kweli kwamba yeye ndio anateuwa bodi ya wakurugenzi wanaomuwakilisha yeye kama muwekezaji? hata CEO yeye ndio anateuwa sio wale wa 51% maana wale wanafuata upepo tu. Mimi bado sijamuelewa kweli miaka 6 anasema mchakato bado lakini anawekeza, sasa anawekeza kama nani? share au mfadhili tu
Nenda twitani ukambembeleze tajiri wenu anakaribia kukata tamaa huko.Kwani hujaona mwenzako kashaanzisha thread kama hii?
Miaka 6 ni mingi sana, kitu gani kinakwamisha huo mchakato kama sio urasimu wa kijinga kwenye taasisi za serikali?Iwe tu kaongea kwa mzaha au kwa makusudi fulani ku catch attention ila kama yupo serious atakuwa MJINGA na MLOPOKAJI.
Wewe unadhani Mohamed akijitoa au kufa basi na Simba SC nayo imekufa.?Jidanganye!
Wee waache wazee wetu bhana.Mo anadeka sana utadhani demu.Yeye kama anaona Simba tunamchosha,si atuache tu?,hivi yeye anadhani bila yeye Simba haitaenda?,Hilo asahau maana Simba ni kubwa kuliko yeye,ilikuwepo kabla yake.Asituzingue.Wanaomkatisha Tamaa ni wanasimba wenyewe hususani Wale wanaojiita wazee wa Simba .
Wale wazee wana mambo za kishamba [emoji3061]
[emoji23][emoji23][emoji23],Na sisi hatuwezi kumbembeleza.Wanasimba wana kazi mbili, kushabikia timu na kumbembeleza tajiri wao asikate tamaa
Mtani kawekeze wewe🤣Huyo nae anatupa jaka moyo...kheee
Kabisa. Ila tukiwa tunapitisha bakuli uchange pesa iwapo mbadala utachelewa.Wee waache wazee wetu bhana.Mo anadeka sana utadhani demu.Yeye kama anaona Simba tunamchosha,si atuache tu?,hivi yeye anadhani bila yeye Simba haitaenda?,Hilo asahau maana Simba ni kubwa kuliko yeye,ilikuwepo kabla yake.Asituzingue.
kinachofanyika ni kula raha tu ndiyo maana kuna watu wakati wa uchaguzi wanakonda sana na wa kipata wanatengeneza shavu yaani kama hivi safari ya uturuki wamekata jina la baleke ili tu mlaji mmoja aende.Mwisho wa siku ana Hoja, Ukitoka Mengine yote, Why Miaka 6 mchakato haukamiliki, Anaweza Mo kuwa na Matatizo Yake Lakini Kwanini Miaka 6 mchakato haukamiliki? Hata muwekezaji Mwingine akija Nani Atavumilia Miaka 6
Simba Tuangalie wapi tunakosea
😆 😆 😆 😆 soonMtani kawekeze wewe🤣
Na wewe usije kutusimanga😂😂😂😆 😆 😆 😆 soon
Bongo nyosoDOH KAMA TAJIRI ANAKATA TAMAA.. DUNIANI KUGUMU
Hio ndo sababu ya msingi na kukataa ni ngumu sababu tayari ameshawaaminisha mashabik na wanachama kwamba safari ipoTeam inasafiri kwenda pre season. Jamaa kaletewa invoice ya mana akili ikamkaa sawa hii yote ni ubahili wakutoa hela alitegemea kutoa ktk mfuko mwingine lkn akakuta amechanganya mapato ya simba nabiashara zake wkt anapata hela ndefu tu through that
Mchakato umekwama wapi na anae kwamisha ni nani?Mwisho wa siku ana Hoja, Ukitoka Mengine yote, Why Miaka 6 mchakato haukamiliki, Anaweza Mo kuwa na Matatizo Yake Lakini Kwanini Miaka 6 mchakato haukamiliki? Hata muwekezaji Mwingine akija Nani Atavumilia Miaka 6
Simba Tuangalie wapi tunakosea