Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha ndio maaana wanasema JF Sports ndio jukwaa la vilaza/wajinga ,naaminiKuna mjinga anasema GSM Itaishtaki Jamii forums kisa
Sasa najiuliza atakaeshtakiwa ni alieandika au Jamii forums
Ukiona wamefika hapo kwenye vitisho inabidi uanze tu kuwaimbia Maji ya Shingo ya Daz Nundaz
Alikua sahihi maana kuna uchangiaji umeandikwa huku ni aibu kuusoma.Hahahaha ndio maaana wanasema JF Sports ndio jukwaa la vilaza/wajinga ,naamini
Hapo kwenye bold, ushindaji kwako ni kushinda magoli machache? HAYA, MLIBANDULIWA BAO TANO, GSM ALIHUSIKA???Ubora upi huo unaouongelea? Simba bado ipo mashindano ya CAF na Yanga imeishia makundi. Kwenye ligi tofauti ni pwenti 1 ambayo Jmosi inaweza kuyeyuka. Simba ndiyo timu iliyofungwa magoli machache zaidi mpaka sasa. Misimu 2 iliyopita, katika kila kipengele na takwimu ukiacha kuzidiwa pwenti, Simba ilikuwa ndiyo timu bora kuliko zote.
Inafikirisha sana kuona ligi ilikuwa na ushindani zaidi wakati timu zina njaa kuliko kipindi hiki ambacho zinaonekana kuwa na shibe. Niambie mwaka ambao Yanga ilikuwa inazifunga timu goli 5 na 6 kila siku kama miaka hii miwili ya udhamini wa timu 8 za GSM.
Hii hoja ni ya kijinga sana nashangaa sana nikisikia mtu anaitoa. Ukiibia mtihani mmoja halafu mingine sita ukiifanya bila kuibia, haiondoi ukweli kuwa kuna mtihani mmoja umeibia.
Hii hoja ni ya kijinga sana nashangaa sana nikisikia mtu anaitoa. Ukiibia mtihani mmoja halafu mingine sita ukiifanya bila kuibia, haiondoi ukweli kuwa kuna mtihani mmoja umeibia.
Hahahaha na wengi,wako hivyo unamueimisha anakuona wewe unamchukia kumbe anapuyangaAlikua sahihi maana kuna uchangiaji umeandikwa huku ni aibu kuusoma.
Mbaya zaidi ukimuelimisha mtu anaona unamchukia.
Ungeeleza faida ambayo ataipata kwa kukufurahisha wewe. Faida kubwa mpaka sasa hivi ni kuwanunua wachezaji, kuwapa platform ya kucheza mbele ya mashabiki wengi uwanjani na mitandaoni (Kujenga brand) na kuwauza kwa bei nzuri kama alivyomuuza Pape Sakho et al.Anakuwaje mjinga kwa kufanya kila linalowezekana kuhakikisha klabu ambayo amewekeza inafanikiwa?
Sioni hoja hapa. Yaani hakuna kabisa. Logic haipo na reasoning siioni. Simba inazifunga timu kubwa huko CAF goli 7 tena katika mechi ngumu za kimaamuzi hatua ya makundi, ndiyo utashangaa kumfunga sijui Alliance, kuna hoja au cha kushangaza hapo?Hapo kwenye bold, ushindaji kwako ni kushinda magoli machache? HAYA, MLIBANDULIWA BAO TANO, GSM ALIHUSIKA???
1. Hapa GSM alihusika?
View attachment 3257378
2. Hapa Je, GSM alihusika?
View attachment 3257384
3. Hapa vipi, uhusika wa GSM upo?
View attachment 3257399
4. Hapa vipi, GSM alikuwepo kwenu?
View attachment 3257404
5. Hapa vipi uhusika wa GSM?
View attachment 3257419
6. Hapa vipi uhusika wa GSM?
View attachment 3257424
Eti timu Bora kwa takwimu,,mbona umekimbilia timu iliyofungwa magoli machache wakati mmeruhusu 8 yanga karuhusu 9 kwaiyo iyo tofauti ya goli Moja ndio ubora?Ubora upi huo unaouongelea? Simba bado ipo mashindano ya CAF na Yanga imeishia makundi. Kwenye ligi tofauti ni pwenti 1 ambayo Jmosi inaweza kuyeyuka. Simba ndiyo timu iliyofungwa magoli machache zaidi mpaka sasa. Misimu 2 iliyopita, katika kila kipengele na takwimu ukiacha kuzidiwa pwenti, Simba ilikuwa ndiyo timu bora kuliko zote.
Inafikirisha sana kuona ligi ilikuwa na ushindani zaidi wakati timu zina njaa kuliko kipindi hiki ambacho zinaonekana kuwa na shibe. Niambie mwaka ambao Yanga ilikuwa inazifunga timu goli 5 na 6 kila siku kama miaka hii miwili ya udhamini wa timu 8 za GSM.
Hii hoja ni ya kijinga sana nashangaa sana nikisikia mtu anaitoa. Ukiibia mtihani mmoja halafu mingine sita ukiifanya bila kuibia, haiondoi ukweli kuwa kuna mtihani mmoja umeibia.
Hii hoja ni ya kijinga sana nashangaa sana nikisikia mtu anaitoa. Ukiibia mtihani mmoja halafu mingine sita ukiifanya bila kuibia, haiondoi ukweli kuwa kuna mtihani mmoja umeibia.
Jukwaa la michezo si la kuja na phd kuhoji mada zinazoanzishwa. Hilo jina tu jukwaa la michezo lilipaswa kukufanya uelewe hilo. Humu kuna utani wa jadi na utani wa jadi umejaa mizaha na mambo yasiyo rasmi hata kama yanawasilishwa kama vile yapo rasmi.Hahahaha na wengi,wako hivyo unamueimisha anakuona wewe unamchukia kumbe anapuyanga
Unavyoshangaa wewe na sisi tunakushangaa, YANGA KUMFUNGA VITALO GOLI SITA HALAFU ASHINDWE KUMFUNGA KMC AU 51MBA GOLI TANO..!!! We wa kupimwaSioni hoja hapa. Yaani hakuna kabisa. Logic haipo na reasoning siioni. Simba inazifunga timu kubwa huko CAF goli 7 tena katika mechi ngumu za kimaamuzi hatua ya makundi, ndiyo utashangaa kumfunga sijui Alliance, kuna hoja au cha kushangaza hapo?
Niambie ukiacha miaka hii miwili iliyopita, ni mwaka gani ambao Yanga, bingwa wa kihistoria imezifunga timu nyingi goli 4, 5, 6 katika ligi kama miaka hii miwili ya udhamini wa timu nane za GSM. Hapo hapo unafurushwa huko CAF mapema sana tena na timu za kawaida saana.
Elewa mada. Hakuna anayeongelea kuifunga Yanga. Hapa tunaongelea mbio za ubingwa. Unataka nikufundishe faida za kutangaza biashara zako kwa timu iliyoshinda ubingwa?Ungeeleza faida ambayo ataipata kwa kukufurahisha wewe. Faida kubwa mpaka sasa hivi ni kuwanunua wachezaji, kuwapa platform ya kucheza mbele ya mashabiki wengi uwanjani na mitandaoni (Kujenga brand) na kuwauza kwa bei nzuri kama alivyomuuza Pape Sakho et al.
Kuifunga Yanga hata wakati ipo unga alishindwa. Asijaribu kuwa Try again au Bamchawi.
Vital'O hata mngemfunga goli 14 takwimu za wafungaji zisingeingia kwenye rekodi za CAF. Hilo linakuambia nini?Unavyoshangaa wewe na sisi tunakushangaa, YANGA KUMFUNGA VITALO GOLI SITA HALAFU ASHINDWE KUMFUNGA KMC AU 51MBA GOLI TANO..!!! We wa kupimwa
Watafute watu wake wa karibu wakuambie.Matamanio yenu
Ukiona adui yako anakulalamikia ujue upo sahihi, ukiona anakusifia ujue kuna sehem unafeli! GSM endeleeni kakaza hapohapo hivi vilio ni ishara njema kwetu sisi wadau🤣🤣Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.
Tajiri, nina neno moja kwako.
Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.
Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.
Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.
Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba kwa kuimarisha uwezo wa timu, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.
Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.
Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.
Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.
Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up. Wakijifanya kukaza watafilisika.
GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.
Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu. Sitegemei Simba ikicheza kwa nidhamu kama iliyoonyesha msimu huu inaweza kupoteza point 15 ndani ya msimu mmoja.
Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.
Ubaya Ubwela.
Asante we kiaziWe pole sana Mbumbumbu
Dah , nimekuelewa Mkuu, Ahsante sana Kwa hilli,umeiweka vzrJukwaa la michezo si la kuja na phd kuhoji mada zinazoanzishwa. Hilo jina tu jukwaa la michezo lilipaswa kukufanya uelewe hilo. Humu kuna utani wa jadi na utani wa jadi umejaa mizaha na mambo yasiyo rasmi hata kama yanawasilishwa kama vile yapo rasmi.
Si rahisi bila kuifunga Yanga hata kama una hela. Kuna serikali pia hasa serikali za manispaa na ngazi za mikoa. Nyingi ni timu zilizoanzishwa na kulelewa na wanayanga.Elewa mada. Hakuna anayeongelea kuifunga Yanga. Hapa tunaongelea mbio za ubingwa. Unataka nikufundishe faida za kutangaza biashara zako kwa timu iliyoshinda ubingwa?
Na Simba ni miongoni mwa timu njaa iliyochezea kichapo mara 4 mtawalia na bado unakuja unabana pua kwamba Simba ni Bora kwa lipi?Vital'O hata mngemfunga goli 14 takwimu za wafungaji zisingeingia kwenye rekodi za CAF. Hilo linakuambia nini?
Unazifunga timu njaa goli 6 hatua za awali halafu ukiingia makundi unategemea kikokotoo kikuvushe, na bado unashindwa kupata goli moja tu la kukuvusha tena ukiwa nyumbani. Aibu naona mimi.