HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Mbona walishasema hao GSM, kaitafute youtubeIko siku tutasikia haya toka kwa GSM, na huu ndiyo ukweli!!
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona walishasema hao GSM, kaitafute youtubeIko siku tutasikia haya toka kwa GSM, na huu ndiyo ukweli!!
Kwann mo dewj awe anarudiarudia tena Hali hii imekuwa inatokea pale timu inapoingia robo cafcl ambapo Kuna uhakika wa kupata fedha nyingi?
Unaota wewe!Kuna Level ukishafikia huwezi kufilisika Tena. Hapo ndo alipofikia Mo
KamuulizeKwann mo dewj awe anarudiarudia tena Hali hii imekuwa inatokea pale timu inapoingia robo cafcl ambapo Kuna uhakika wa kupata fedha nyingi?
Anapolalamika hadharani manake anatafuta huruma ya mashabiki?
Ok
Mbembelezeni abaki asisepeHuyu Kanjibai anatafuta sababu ya kusepa
Kwa hiyo akina Mohamed wote wenye hela hawatakiwi kuitwa Mudi! Isipokuwa Mo! Halafu wale Mohamed wenzangu na mimi, ndiyo wanatakiwa kuitwa Mudi!Huu ni ukweli.
Kuna mtu alikuwa ameajiriwa na Mo siku hizi amamuita "Mudi" kama njia ya mzunguko ya kumshusha hadhi yake. Lakini ukweli unabaki kuwa ukweli kwamba Mo anao uwezo wa kuiajiri familia yao yote na kuwalipa mshahara mpaka mwisho wa maisha yao!!
Hii kitu inafikirisha sana. Maana yake anataka kusema akiondoka, basi na simba itapotea kabisa kwenye ramani ya soka!Mudi kila siku analalamika Simba inamtia hasara ila bado yupo tu.! Tafakari chukua hatua
Hapana. Yeye anajulikana siku zote anaitwa Mo. Muddy pia ni sahihi lakini si kwa jinsi ya kudhalilisha. Unajua ni kwa nini tuliacha kutumia neno "Zeruzeru" badala yake tukaanza kutumia "Albino" kwa ndugu zetu wenyewe ulemavu wa ngozi? Ni kwa sababu wenyewe walisema kuwa kuitwa zeruzeru ni kuwadhalilisha!!Kwa hiyo akina Mohamed wote wenye hela hawatakiwi kuitwa Mudi! Isipokuwa Mo! Halafu wale Mohamed wenzangu na mimi, ndiyo wanatakiwa kuitwa Mudi!
Unaweza kunifafanulia kidogo haya maelezo yako? Maana sijaona kosa kwa mtu anayeitwa Mohamed, kuitwa Mudi eti!!
Hehe uko kwa kichwa yangu pia.Muhindi mjanja mjanja.
Kaona kuna mpunga kutinga robo fainali caf umeingia kaanza malalamiko ili asihojiwe kwa nini kauchota
Sa picha ya kocha inahusihana na nini na maelezo?
Kuna kipande kimoja kwenye wimbo wa King Kiki kinasema "Lima usijali jasho jioni maji unawe, cha mtu kina simango lazima usimangwe"Ukisia Pesa za Masimango, ndo hizi sasa!!
Bado somo halijaingia kabisa kwenye ubongo! Yaani akina Mohamed wengine wakiitwa Mudi, ni sawa! Halafu akina Mohamedi wengine (wenye hela) wakiitwa Mudi, wanaona ni udhalilishaji! Na hivyo wanataka waitwe Mo! 🤔Hapana. Yeye anajulikana siku zote anaitwa Mo. Muddy pia ni sahihi lakini si kwa jinsi ya kudhalilisha. Unajua ni kwa nini tuliacha kutumia neno "Zeruzeru" badala yake tukaanza kutumia "Albino" kwa ndugu zetu wenyewe ulemavu wa ngozi? Ni kwa sababu wenyewe walisema kuwa kuitwa zeruzeru ni kuwadhalilisha!!
Kuna mtu anaitwa William ni sawa na yule anayeitwa Billy. Lakini usimuite mtu Willliam wakati siku zote anajulikana kwa jina la Billy.
Kabisaaa ni wanyonyoji Hawa SimbaSimba mtafute mashamba mkalime mchangie uendeshaji wa timu muache kumfilisi kaka mudi.
Liongo sana hilo jamaaEti simba ilipofungwa na Raja alilia Mudi Muongozo....