Bosspraise
Member
- Feb 10, 2020
- 98
- 74
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Store" badala ya "storey" hiyo inaweza kuwa ni typing errorTyping error
Hakuna typing error hapo hiyo kazi imeingilia na watu ambao hawajaenda shule mtu anadownload arch-CAD anapractice anajikuta tayari ni architecture. Hivi mtu umesoma miaka mitano unakoseaje kizembe hivyo? Sheria kuu kwenye usanifu illustrations zote kwenye hutakiwi kukosea kwa sababu inaweza kuleta majanga."Store" badala ya "storey" hiyo inaweza kuwa ni typing error
Ila ghorofa kuita single storey house, hiyo sio typing error. Kubali uliporekebishwa hapo na uwe makini, maana inazua maswali mtaalamu anashindwa vipi kujua single storey house ni nini
Nakubaliana na ww kwenye hili, Architect hawezi kufanya kosa alilofanya huyu la kuita ghorofa ni single storey houseHakuna typing error hapo hiyo kazi imeingilia na watu ambao hawajaenda shule mtu anadownload arch-CAD anapractice anajikuta tayari ni architecture. Hivi mtu umesoma miaka mitano unakoseaje kizembe hivyo? Sheria kuu kwenye usanifu illustrations zote kwenye hutakiwi kukosea kwa sababu inaweza kuleta majanga.
Mfano ni watu wa graphics designing hii kazi imevamiwa na watu ambao hawajaenda shule pia maboko ya hovyo kwenye matangazo ya biashara za watu mtu badala ya kuandika t-shirt anaandika "t-shert" Sasa hiyo ni typing error au ignorance?
Una uhai mrefu, hapa nilikuwa najiandaa nikuite Civil Engineer wangu 😂😂Design nzuri
Mm sio civil engineer bana, unajua vizuri tu😂Una uhai mrefu, hapa nilikuwa najiandaa nikuite Civil Engineer wangu 😂😂
NimekumissUna uhai mrefu, hapa nilikuwa najiandaa nikuite Civil Engineer wangu 😂😂
Njoo unisalimie basi darling 😍😍Nimekumiss
Ndo nn ss kupotea hivyo
Mm sio civil Ila najua construction, na sababu ya kwa nn najua unaijua😂Ila ni nani? Nakuonaga unavyowapanga humu 🤣🤣🤣
Unajua bana sema hupendi wajue.!
Carleen umemsikia bro ako?!!
Mmh tajiri hata ukifulia sio kivile 🤣Njoo unisalimie basi darling 😍😍
Nipo bana maisha yanatupeleka mbio mama mchungaji 😂
The big boss CEO mwenyewe 😂😂Mm sio civil Ila najua construction, na sababu ya kwa nn najua unaijua😂