Modern contemporary house plan design
images (12).jpeg

VITU VYA KUWA NAVYO ILI UPATE KIBALI CHA UJENZI
👇👇
Kuwa na michoro ya ramani ya jengo iliyo kamilika,

iwasilishwe ikiwa kwenye majalada kwa namna ambayo inaweza kufunguliwa na kusomeka.


Michoro hiyo iwasilishwe ifuatavyo:-

• Seti tatu za michoro ya jengo (Archectural drawing)

• Seti mbili za michoro ya vyuma/mihimili (structural drawings) kwa michoro ya ghorofa

MICHORO ILIYOANDALIWA IONYESHE NINI

Michoro itakayoandaliwa inatakiwa ionyeshe mambo yafuatayo:-

👉🏻 Namna jengo litakavyokuwa (plans, sections, elevations, foundation and roof plan)*

👉🏻Namba na eneo la kiwanja kilipo

👉🏻 Jina la mmilikaji ardhi inayohusika

👉🏻Jina la mchoraji, ujuzi na anwani

👉🏻Ukubwa wa jengo kwa mita za mraba

👉🏻 Ujazo wa kiwanja (Plot coverage)

👉🏻Uwiano (Plot ratio)

👉🏻 Matumizi yanayokusudiwa

👉🏻Idadi ya maegesho yatakayokuwepo

👉🏻 Umbali wa jengo kutoka kwenye mipaka ya kiwanja (setbacks)

👉🏻 Mfumo wa kutoa maji taka hadi kwenye mashimo

VIAMBATANISHO

👉🏻Fomu za maombi zilizojazwa kwa usahihi

• Hati ya mmiliki wa kiwanja au barua ya toleo

👉🏻Kumbumbuku nyingine zinazohusu kiwanja hicho kama hati za mauzo, makabidhiano n.k

👉🏻 Nakala za risiti ya kodi ya kiwanja na kodi ya majengo

👉🏻Mabadiliko ya matumizi ya ardhi


P.s Blchomes tutakuandalia documents zote zinazohitaji kupata kibali cha ujenzi ... zinazotakiwa kuandaliwa na msanifu wa majengo ..
. Na kufatilia kibali cha ujenzi kama utahitaji hiyo huduma dar es salaam.

Wasiliana nasi zaidi 0742892195
 
Asante kwa elimu murua...

Tatzo asilimia 70 ya waliojenga au wanatarajia kujenga viwanja havijapimwa...
 
v8.jpg
v5.jpg


Huwezi kuchagua vyote

Huu ni ukweli mtupu kuhusu ujenzi

Naomba utambue kuwa katika safari yako ya ujenzi

Huwezi kuchagua vitu vyote kwa pamoja

Muonekano wa nyumba (3d )VS * *Mpangilio wa nyumba ndani (floor plan)

Gharama za ujenzi VS nyumba unayotaka


Muonekano wa nyumba 3d VS Mpangalio wa nyumba na ndani (floor plan) 8

Kuchagua muonekano wa nyumba kwa nje na kuchagua kuwa ndani unataka iwe hivi ni kitu ambacho hakiwezekani .... floor plan ndio itatambua muonekano wako wa nyumba uwe vipi kwa nje (3d)

Unaweza kuchagua kimoja kati ya muonekano wa nje ... au mpangalio wa ndani wa nyumba yako

Kupitia muonekano wa ndani msanifu wa majengo atadesign floor plan itakayoendana na muonekano unao taka

Kupitia mpangilio wa ndani unaotaka msanifu wa majengo atadesign muonekano wa nje unao fanania mpangilio huo

Gharama za ujenzi vs nyumba unayotaka

Hauwezi ukachagua nyumba ya aina fulani na ukataka kutumia gharamza za ujenzi kiasi fulani , ukichagua aina ya nyumba unayotaka uwe tayari kugharamia hiyo nyumba .... ukichagua kutumia kwenye ujenxi kiasi fulani uwe tayati kupata nyumba itayoendana na gharama hiyo

Tunajenga, tunachora ramani, tunafanya makadirio ya ujenzi (BOQ) Tunafanya structural drawings n.k

Usisite kuwasiliana na sisi zaidi ukihitaji huduma hizo. 0742892195

Share na wengine
 
Screenshot_20240726_153236_Gallery.jpg

JE UNAJUA SEHEMU GANI YA NYUMBA INA GHARAMA ZAIDI KTK UJENZI WA NYUMBA YAKO

SOMA HAPA KWA MAKINI, KISHA TOA COMMENT
NI SEHEMU GANI KATIKA UJENZI WA NYUMBA HUTUMIA GHARAMA KUBWA KULIKO SEHEMU NYINGINE

Nyumba mpaka ikamilike Ina sehemu nyingi Sana , na KUJENGA nyumba sio kitu kiurahisi Sana ....

watu wengi wanao tarajia KUJENGA mara nyingi huwa wanauliza

je hiii nyumba Ina I atumia tifali ngapi na bati ngapi ?

Ili kukamilisha ujenzi wa nyumba ni zaidi ya kujua idadi ya tofali na bati ....

gharama za kukamilisha nyumba yako zinaweza zikawa mara nne au zaidi ya gharama ambazo utatumia kununua tofali au bati

hili ni kosa watu wengi hufanya maamuzi ya ujenzi wa nyumba kwa kujua tuu idadi ya tofali na bati katika hiyo nyumba

gharama za kujenza nyumba huwa zinakuwa kubwa zaidi KUJENGA nyumba kunahitaji materials mbalimbali na gharama nyingine ambazo zinachangiwa kwa asilimia kubwa katika jumla ya gharama za ujenzi

kama unataka KUJENGA na unataka kujua gharama za ujenzi wa nyumba yako ni vzr ukayaweka. mawazo yako katika ramani kulingana na mahitaji yako .... ili kupitia ramani yako watalamu wakufanyie makadirio ya ujenzi (BOQ)

KWA uzoefu wetu , sehemu ya ujenzi wa nyumba inayotumia gharama kubwa KULIKO SEHEMU zote ni finishing ya nyumba. , ikifatiwa na kupaua nyumba

je unataka kujua gharama za ujenzi wa nyumba yako ili uwe rahisi kwako kutimiza malengo yako hatua kwa hatua

Tuna jenga tunachora ramani za nyumba na majengo mbalimbali kama utahitaji tukufanyie tu makadirio ya ujenzi wa nyumba yako ... tuu ... unaweza kuwasiliana na sisi zaidi 0742892195 call/text/Whatsapp
 
View attachment 3052779
JE UNAJUA SEHEMU GANI YA NYUMBA INA GHARAMA ZAIDI KTK UJENZI WA NYUMBA YAKO

SOMA HAPA KWA MAKINI, KISHA TOA COMMENT
NI SEHEMU GANI KATIKA UJENZI WA NYUMBA HUTUMIA GHARAMA KUBWA KULIKO SEHEMU NYINGINE

Nyumba mpaka ikamilike Ina sehemu nyingi Sana , na KUJENGA nyumba sio kitu kiurahisi Sana ....

watu wengi wanao tarajia KUJENGA mara nyingi huwa wanauliza

je hiii nyumba Ina I atumia tifali ngapi na bati ngapi ?

Ili kukamilisha ujenzi wa nyumba ni zaidi ya kujua idadi ya tofali na bati ....

gharama za kukamilisha nyumba yako zinaweza zikawa mara nne au zaidi ya gharama ambazo utatumia kununua tofali au bati

hili ni kosa watu wengi hufanya maamuzi ya ujenzi wa nyumba kwa kujua tuu idadi ya tofali na bati katika hiyo nyumba

gharama za kujenza nyumba huwa zinakuwa kubwa zaidi KUJENGA nyumba kunahitaji materials mbalimbali na gharama nyingine ambazo zinachangiwa kwa asilimia kubwa katika jumla ya gharama za ujenzi

kama unataka KUJENGA na unataka kujua gharama za ujenzi wa nyumba yako ni vzr ukayaweka. mawazo yako katika ramani kulingana na mahitaji yako .... ili kupitia ramani yako watalamu wakufanyie makadirio ya ujenzi (BOQ)

KWA uzoefu wetu , sehemu ya ujenzi wa nyumba inayotumia gharama kubwa KULIKO SEHEMU zote ni finishing ya nyumba. , ikifatiwa na kupaua nyumba

je unataka kujua gharama za ujenzi wa nyumba yako ili uwe rahisi kwako kutimiza malengo yako hatua kwa hatua

Tuna jenga tunachora ramani za nyumba na majengo mbalimbali kama utahitaji tukufanyie tu makadirio ya ujenzi wa nyumba yako ... tuu ... unaweza kuwasiliana na sisi zaidi 0742892195 call/text/Whatsapp
Kama unaezeka kwa bati la Kisasa( msauzi) na finishing ya kibabe......hapo ndio utajua kujenga sio lele mama
 
Nikishakua na pesa ya kupaua,

ujenzi huwa nauona rahisi sana.

Finishing ya kawaida si gharama sana

Finishing kali itategemea na matumizi halisi ya nyumba
Nakubaliana na wewe mkuu........ kwenye kuezeka tena msouth + blundering ni balaa. Finishing ukiwa na haraka lazima moto ukuingie. Mimi haijawahi nitesa kwa kuwa huwa nafanya polepole mpk nyumba inakamilika.
Huwezi ezeka nusu nusu ila finishing ni wewe tu ukitaka kuumia unaumia kweli ukitaka ile taatibu ni wewe tu.
 
View attachment 3052779
JE UNAJUA SEHEMU GANI YA NYUMBA INA GHARAMA ZAIDI KTK UJENZI WA NYUMBA YAKO

SOMA HAPA KWA MAKINI, KISHA TOA COMMENT
NI SEHEMU GANI KATIKA UJENZI WA NYUMBA HUTUMIA GHARAMA KUBWA KULIKO SEHEMU NYINGINE

Nyumba mpaka ikamilike Ina sehemu nyingi Sana , na KUJENGA nyumba sio kitu kiurahisi Sana ....

watu wengi wanao tarajia KUJENGA mara nyingi huwa wanauliza

je hiii nyumba Ina I atumia tifali ngapi na bati ngapi ?

Ili kukamilisha ujenzi wa nyumba ni zaidi ya kujua idadi ya tofali na bati ....

gharama za kukamilisha nyumba yako zinaweza zikawa mara nne au zaidi ya gharama ambazo utatumia kununua tofali au bati

hili ni kosa watu wengi hufanya maamuzi ya ujenzi wa nyumba kwa kujua tuu idadi ya tofali na bati katika hiyo nyumba

gharama za kujenza nyumba huwa zinakuwa kubwa zaidi KUJENGA nyumba kunahitaji materials mbalimbali na gharama nyingine ambazo zinachangiwa kwa asilimia kubwa katika jumla ya gharama za ujenzi

kama unataka KUJENGA na unataka kujua gharama za ujenzi wa nyumba yako ni vzr ukayaweka. mawazo yako katika ramani kulingana na mahitaji yako .... ili kupitia ramani yako watalamu wakufanyie makadirio ya ujenzi (BOQ)

KWA uzoefu wetu , sehemu ya ujenzi wa nyumba inayotumia gharama kubwa KULIKO SEHEMU zote ni finishing ya nyumba. , ikifatiwa na kupaua nyumba

je unataka kujua gharama za ujenzi wa nyumba yako ili uwe rahisi kwako kutimiza malengo yako hatua kwa hatua

Tuna jenga tunachora ramani za nyumba na majengo mbalimbali kama utahitaji tukufanyie tu makadirio ya ujenzi wa nyumba yako ... tuu ... unaweza kuwasiliana na sisi zaidi 0742892195 call/text/Whatsapp
Hiyo nyumba hapo juu kupaua na blundering lazima maji utaita maaa, huko kwingine kama kafanya taratibu makali ya gharama yanapungua.

10M+ kutoa mara moja sio sawa na 10M+ ilotoka kidogokidogo.
 
Sah
Nakubaliana na wewe mkuu........ kwenye kuezeka tena msouth + blundering ni balaa. Finishing ukiwa na haraka lazima moto ukuingie. Mimi haijawahi nitesa kwa kuwa huwa nafanya polepole mpk nyumba inakamilika.
Huwezi ezeka nusu nusu ila finishing ni wewe tu ukitaka kuumia unaumia kweli ukitaka ile taatibu ni wewe tu.
Sahii kabisa mkuu,
Kinachoumiza kupaua,
Pesa inatoka nyingi kwa wakati mmoja
 
Binafs, Ujenzi wangu wote uwa naanza na kununua bati na kuchonga fremu za milango na madirisha.

Kisha ndo napata mzuka wa kuingia saiti.
 
Screenshot_20240726_211231_Gallery.jpg

Beautiful Small house design 3d and interior design

3bedroom home sitting room

Piblic toilet store

Kitchen

Contact us to design your dream home and building

Share with your friends

Contact us +255742892195

Call text whatsapp
 

Attachments

  • Screenshot_20240726_211235_Gallery.jpg
    Screenshot_20240726_211235_Gallery.jpg
    692.2 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240726_204542_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20240726_204542_WhatsAppBusiness.jpg
    297.2 KB · Views: 5
Makadilio bei gani? Mpk kuingia





Kazi ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom