Modi kamchana live Puttin uso kwa uso bila kupepesa macho

Modi kamchana live Puttin uso kwa uso bila kupepesa macho

Mnaongea ti humu lakini Russia alivyofanya Ukraine Mwenyezi Mungu ndiye anajua.
Mnaoongea Ni kwa sababu hamjafika Ukraine kaharibu kila kitu infrastructures, tourism's, humanity,dignity, etc it's not fair , mbaya zaidi Russia ipo poa hakuna hata jiwe limewahi kurushwa
Wewe Ukraine umefika Lin ? Tuanzie hapo
 
Chawa wa USA pale Asia namba moja ni
Israel
Wengine ni Japan Turkey India Kuwait Taiwan Hongkong Iraq.
Hong Kong iko chini ya China hana uchawa wowote kwa Marekani

Chawa wa Marekani pale Far East Asia na South Eastern Asia ni Japan, South Korea, Taiwan, Singapore, Philippines

Bora China tu India ni ndumbi la kuwili mjanjamjanja hataki apoteze kwa Marekani wala Urusi
 
Hong Kong iko chini ya China hana uchawa wowote kwa Marekani

Chawa wa Marekani pale Far East Asia na South Eastern Asia ni Japan, South Korea, Taiwan, Singapore, Philippines

Bora China tu India ni ndumbi la kuwili mjanjamjanja hataki apoteze kwa Marekani wala Urusi
Leo wamekubaliana haya.........wahindi akili kubwa
Screenshot_20220917-162223_RT News.jpg
 
Hong Kong iko chini ya China hana uchawa wowote kwa Marekani

Chawa wa Marekani pale Far East Asia na South Eastern Asia ni Japan, South Korea, Taiwan, Singapore, Philippines

Bora China tu India ni ndumbi la kuwili mjanjamjanja hataki apoteze kwa Marekani wala Urusi
Hong kong ipo china ila kwa jinsi USA alivyowekeza hong kong machawa wengi wa USA wapo mule.
Ase nilikuwa nimeisahau South Korea huyo nae chawa namba moja.
India usimwamini hadi kesho yule ni chawa wa USA
 
Hong kong ipo china ila kwa jinsi USA alivyowekeza hong kong machawa wengi wa USA wapo mule.
Ase nilikuwa nimeisahau South Korea huyo nae chawa namba moja.
India usimwamini hadi kesho yule ni chawa wa USA
Licha ya uwekezaji wa Marekani na nchi za Ulaya kwa sasa jinsi Hong Kong inavyoendeshwa tangu aingie Xi Jinping ni ngumu, saivi Mainland China wameingilia mambo yao mengi ya ndani tofauti na mwanzo.

Si unakumbuka lile sakata la waandamanaji walioongozwa na yule kijana Joshua Wong pale Hong Kong angalia jinsi China Mainland walilizima licha ya vyombo vya habari vya West kumpa airtime sana yule dogo
 
Hong kong ipo china ila kwa jinsi USA alivyowekeza hong kong machawa wengi wa USA wapo mule.
Ase nilikuwa nimeisahau South Korea huyo nae chawa namba moja.
India usimwamini hadi kesho yule ni chawa wa USA
India yuko kotekote

Ni mteja mzuri wa silaha za Russia na wamekubaliana kufanya bishara kwa kutumia rupee na Russia

Na upande wa Marekani wana makubaliano na mikataba mingi ya kibishara, technology na mambo mengine

Huo ni undumbi la kuwili
 
Mnaongea ti humu lakini Russia alivyofanya Ukraine Mwenyezi Mungu ndiye anajua.
Mnaoongea Ni kwa sababu hamjafika Ukraine kaharibu kila kitu infrastructures, tourism's, humanity,dignity, etc it's not fair , mbaya zaidi Russia ipo poa hakuna hata jiwe limewahi kurushwa
Wewe umefika huko Ukraine au una comment ukiwa front line?
 
Mnaongea ti humu lakini Russia alivyofanya Ukraine Mwenyezi Mungu ndiye anajua.
Mnaoongea Ni kwa sababu hamjafika Ukraine kaharibu kila kitu infrastructures, tourism's, humanity,dignity, etc it's not fair , mbaya zaidi Russia ipo poa hakuna hata jiwe limewahi kurushwa
Vyombo vya habari vya West vinawadanganya sana hawa pro-NATO
 
Back
Top Bottom