Modi kamchana live Puttin uso kwa uso bila kupepesa macho

Modi kamchana live Puttin uso kwa uso bila kupepesa macho

Russia, Iran, the Orientals na possibly Turkey have an appointment with a destiny.

Ezekiel 38-39 is the answer
Sample: Ezekiel 38
1Neno la BWANA likanijia, kusema, 2 Mwanadamu, kaza uso wako, umwelekee Gogu, wa nchi ya Magogu, mkuu wa Roshi, Mesheki, na Tubali, ukatabiri juu yake, 3useme, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu yako, Ewe Gogu, mkuu wa Roshi, na Mesheki, na Tubali; 4 nami nitakugeuza na kutia kulabu katika mataya yako, nami nitakutoa, pamoja na jeshi lako lote, farasi na hao wapandao farasi, wote wamevaa silaha za namna zote, jeshi kubwa sana, wenye ngao na kigao, wote wakishika upanga; 5Uajemi, na Kushi, na Putu, pamoja nao; wote wana ngao na chapeo; 6 Gomeri, na vikosi vyake vyote; nyumba ya Togarma, pande za mwisho za kaskazini, na vikosi vyake vyote; naam, watu wengi pamoja nawe.

7 Ujiweke tayari, naam, jiweke tayari, wewe na majeshi yako yote waliokuzunguka, nawe uwe jemadari wao. 8 Na baada ya siku nyingi utakusanywa; katika miaka ya mwisho, utaingia nchi iliyorudishiwa hali yake ya kwanza, baada ya kupigwa kwa upanga, iliyokusanywa toka kabila nyingi za watu, juu ya milima ya Israeli, iliyokuwa ukiwa wa daima; lakini imetolewa katika makabila ya watu, nao watakaa salama salimini wote pia. 9 Nawe utapaa juu, utakuja kama tufani, utakuwa kama wingu kuifunika nchi, wewe, na vikosi vyako vyote, na kabila nyingi za watu pamoja nawe.

10Bwana MUNGU asema hivi; Itakuwa katika siku hiyo, mawazo yataingia moyoni mwako, nawe utakusudia kusudi baya; 11 nawe utasema, Nitapanda juu niiendee nchi yenye vijiji visivyo na maboma; nitawaendea watu wanaostarehe, wanaokaa salama, wote wakikaa pasipo kuta, ambao hawana makomeo wala malango; 12ili kuteka mateka, na kuwinda mawindo; uugeuze mkono wako juu ya mahali palipoharibika, ambapo sasa panakaliwa na watu, na juu ya watu waliokusanyika toka mataifa, waliopata ng'ombe na mali, wakaao katikati ya dunia. 13 Sheba, na Dedani, na wafanya biashara wa Tarshishi, pamoja na wanasimba wake wote, watakuambia, Je! Umekuja kuteka mateka? Umekusanya jeshi lako, ili kuwinda mawindo? Kuchukua fedha na dhahabu, kuchukua ng'ombe na mali, kuteka kiasi kikubwa cha nyara?

14 Basi, mwanadamu, tabiri, umwambie Gogu, Bwana MUNGU asema hivi; Katika siku ile watu wangu, Israeli, watakapokaa salama, hutapata habari? 15 Nawe utakuja kutoka mahali pako, kutoka pande za mwisho za kaskazini, wewe, na watu wa kabila nyingi pamoja nawe, wote wamepanda farasi, kusanyiko kubwa, na jeshi kuu; 16 nawe utapanda juu uwajie watu wangu, Israeli, kama wingu likiifunika nchi; itakuwa katika siku za mwisho, nitakuleta upigane na nchi yangu, ili mataifa wanijue, nitakapotakaswa kupitia kwako, Ewe Gogu, mbele ya macho yao.

Hiyo hapo!
Tia ufafanuzi kwa manufaa ya jamvi.
Binafsi nimetoka kapa.
 
Tia ufafanuzi kwa manufaa ya jamvi.
Binafsi nimetoka kapa.
1Neno la BWANA likanijia, kusema, 2 Mwanadamu, kaza uso wako, umwelekee Gogu, wa nchi ya Magogu, mkuu wa Roshi, Mesheki, na Tubali, ukatabiri juu yake, 3useme, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu yako, Ewe Gogu, mkuu wa Roshi, na Mesheki, na Tubali; 4 nami nitakugeuza na kutia kulabu katika mataya yako, nami nitakutoa, pamoja na jeshi lako lote, farasi na hao wapandao farasi, wote wamevaa silaha za namna zote, jeshi kubwa sana, wenye ngao na kigao, wote wakishika upanga; 5Uajemi, na Kushi, na Putu, pamoja nao; wote wana ngao na chapeo; 6 Gomeri, na vikosi vyake vyote; nyumba ya Togarma, pande za mwisho za kaskazini, na vikosi vyake vyote; naam, watu wengi pamoja nawe.

Ni somo refu kidogo na hapa sina nguvu za kuandika sana, may be siku nyingine. But hint ni kuwa kuna vita inakuja kabla ya ile WWIII aka Har Magedon ambayo Gog na hao washirika wake akiwemo Uajemi watavamia Israeli ili kujivunia vya kuvuna. Litakuwa Jeshi kubwa sana kiasi ambacho Israeli watakuwa hopeless hata kujaribu kuwazuia.

Mungu ameahidi kuwatetea mwenyewe ili mataifa wajue yupo na ajitwalie utukufu. Ukisoma Ezekiel 37 ni juu ya kurudi kwa Wayahudi na kuanzishwa tena taifa la Israeli lenye nguvu, 38-39 ni vita mabayo ipo mbele.

Nchi ya Gog ni eneo ambalo kwa kiwango kikubwa ni sehemu ya Russia na baadhi ya nchi jirani. Uajemi eneo lake ni Iran kwa sehemu kubwa. Hayo mataifa mengine unaweza kuangalia kwenye ancient map ya Biblia inayaonesha.

Interestingly ni kuwa hayo mataifa kwa sasa yamekuwa isolated na yanatengeneza alliance yao. Na Israel inatarajiwa ku supply Gas kwenda Europe. While sijui vita hii itatokea lini na Israel watavumbua nini kitakachomsukuma Urusi na washirika wake kumvamia, ila inafurahisha kuona unabii ulioandikwa miaka mingi sana ukitimia taratibu nikiona kwa macho yangu.

China na nduguze wao wana hitimisho lao tofauti kabisa kipindi cha Har Mageddon!

Na kuna watu wanauliza kama Biblia ni Neno la nani?
 
Russia, Iran, the Orientals na possibly Turkey have an appointment with a destiny.

Ezekiel 38-39 is the answer
Sample: Ezekiel 38
1Neno la BWANA likanijia, kusema, 2 Mwanadamu, kaza uso wako, umwelekee Gogu, wa nchi ya Magogu, mkuu wa Roshi, Mesheki, na Tubali, ukatabiri juu yake, 3useme, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu yako, Ewe Gogu, mkuu wa Roshi, na Mesheki, na Tubali; 4 nami nitakugeuza na kutia kulabu katika mataya yako, nami nitakutoa, pamoja na jeshi lako lote, farasi na hao wapandao farasi, wote wamevaa silaha za namna zote, jeshi kubwa sana, wenye ngao na kigao, wote wakishika upanga; 5Uajemi, na Kushi, na Putu, pamoja nao; wote wana ngao na chapeo; 6 Gomeri, na vikosi vyake vyote; nyumba ya Togarma, pande za mwisho za kaskazini, na vikosi vyake vyote; naam, watu wengi pamoja nawe.

7 Ujiweke tayari, naam, jiweke tayari, wewe na majeshi yako yote waliokuzunguka, nawe uwe jemadari wao. 8 Na baada ya siku nyingi utakusanywa; katika miaka ya mwisho, utaingia nchi iliyorudishiwa hali yake ya kwanza, baada ya kupigwa kwa upanga, iliyokusanywa toka kabila nyingi za watu, juu ya milima ya Israeli, iliyokuwa ukiwa wa daima; lakini imetolewa katika makabila ya watu, nao watakaa salama salimini wote pia. 9 Nawe utapaa juu, utakuja kama tufani, utakuwa kama wingu kuifunika nchi, wewe, na vikosi vyako vyote, na kabila nyingi za watu pamoja nawe.

10Bwana MUNGU asema hivi; Itakuwa katika siku hiyo, mawazo yataingia moyoni mwako, nawe utakusudia kusudi baya; 11 nawe utasema, Nitapanda juu niiendee nchi yenye vijiji visivyo na maboma; nitawaendea watu wanaostarehe, wanaokaa salama, wote wakikaa pasipo kuta, ambao hawana makomeo wala malango; 12ili kuteka mateka, na kuwinda mawindo; uugeuze mkono wako juu ya mahali palipoharibika, ambapo sasa panakaliwa na watu, na juu ya watu waliokusanyika toka mataifa, waliopata ng'ombe na mali, wakaao katikati ya dunia. 13 Sheba, na Dedani, na wafanya biashara wa Tarshishi, pamoja na wanasimba wake wote, watakuambia, Je! Umekuja kuteka mateka? Umekusanya jeshi lako, ili kuwinda mawindo? Kuchukua fedha na dhahabu, kuchukua ng'ombe na mali, kuteka kiasi kikubwa cha nyara?

14 Basi, mwanadamu, tabiri, umwambie Gogu, Bwana MUNGU asema hivi; Katika siku ile watu wangu, Israeli, watakapokaa salama, hutapata habari? 15 Nawe utakuja kutoka mahali pako, kutoka pande za mwisho za kaskazini, wewe, na watu wa kabila nyingi pamoja nawe, wote wamepanda farasi, kusanyiko kubwa, na jeshi kuu; 16 nawe utapanda juu uwajie watu wangu, Israeli, kama wingu likiifunika nchi; itakuwa katika siku za mwisho, nitakuleta upigane na nchi yangu, ili mataifa wanijue, nitakapotakaswa kupitia kwako, Ewe Gogu, mbele ya macho yao.

Hiyo hapo!
Hii ni raw information, urusi anaingiaje hapa? China atakuwepo kama king of the east lakini russia hajawahi kuwa maalumu sana kiroho.

Persia, Babylon na europe (roman empire) najua wataendelea kuwepo kwasababu wana connection fulani kwenye masuala ya kiroho na taifa la Israel.
 
Huyu mwamba namwaminia sana kwenye ,ukweli anasema hana biashara za kinafk amemwambia kabisa puttin kama unataka kufanya biashara achana na hiyo vita ,haikusaidii achana nayo tukae tupige michongo ya biashara ,kumbuka msela kamchana live live yan makavu live ana kwa ana.Putin akamjibu kwa aibu akimwahid atastop mda so mrefu.

Putin tells Modi he'll 'stop' the Ukraine invasion he ordered 'as soon as possible' after the Indian leader criticized Russia's war to his fac​

Russian broadcasters and fake.
Narendra Modi and Vladimir Putin

Russian President Vladimir Putin and Indian Prime Minister Narendra Modi attend a meeting on the sidelines of the Shanghai Cooperation Organization summit in Samarkand, Uzbekistan September 16, 2022.Sergey Bobylev/ReutersMore
  • Modi explicitly criticized Russia's war in Ukraine while meeting with Putin on Friday.
  • "Today's era is not an era of war, and I have spoken to you on the phone about this," Modi said.
  • "I know about your concerns. We want all of this to end as soon as possible," Putin told Modi.
Indian Prime Minister Narendra Modi on Friday criticized Russia's war in Ukraine while meeting with Russian President Vladimir Putin face-to-face while both were in Uzbekistan for the Shanghai Cooperation Organization summit.

"I know that today's era is not an era of war, and I have spoken to you on the phone about this," Modi told Putin, according to Reuters.

Putin told the Indian leader, "I know about your position on the conflict in Ukraine, and I know about your concerns. We want all of this to end as soon as possible."

The Russian president's remarks to his Indian counterpart echoed comments on Russia's unprovoked war in Ukraine that he made to Chinese leader Xi Jinping the day prior. "We highly value the balanced position of our Chinese friends when it comes to the Ukraine crisis," Putin said to Xi at the summit in Uzbekistan.

"We understand your questions and concerns in this regard," Putin added. "During today's meeting, of course, we will explain in detail our position on this issue, although we have spoken about this before."

China and India have close ties with Moscow — and have continued to buy its oil, gas and coal as Western nations moved to cut their purchases — but foreign policy experts and Russia watchers say that the war in Ukraine appears to be driving a major wedge in relations.

"Having been thrashed on battlefield, Putin is getting thrashed at conference table, too. Doesn't take much clairvoyance to see that Xi, Modi, and others are deeply annoyed by fallout from Russia's war in Ukraine. Stunning erosion of Russia's — and Putin's — diplomatic position," Hal Brands, a professor of global affairs at Johns Hopkins University's School of Advanced International Studies, said in a tweet.

"Nobody likes losers, and he's losing now in Ukraine," Michael McFaul, the former US ambassador to Russia, said in an appearance on MSNBC on Thursday.

Putin's phrase, "as soon as possible," could merely be rhetoric to placate a trade partner. Putin has tried to justify the invasion as a war of necessity, and has alluded to it as a conquest of territory that is rightfully Russian amid fitful attempts at a diplomatic resolution that Western diplomats have viewed as window dressing. Inside Russia, authorities are accosting those who protest or even describe the effort as a war — Putin made it illegal to spread "fake news" about the military — despite a casualty toll the US estimates to be as high as 80,000 troops.

Russia has suffered devastating troop losses in Ukraine, and its forces were recently pushed into retreat as a result of a blistering Ukrainian counteroffensive in the country's east, and as a wider effort to recapture territory in the south gains momentum. Meanwhile, Russia has been widely accused of war crimes, as it faces crippling economic sanctions over the war. The war has led to an energy crisis and contributed to rising inflation worldwide.

"I think what you're hearing from China, from India, is reflective of concerns around the world about the effects of Russia's aggression on Ukraine, not just on the people of Ukraine," US Secretary of State Antony Blinken told reporters on Friday, per Al Jazeera, adding, "I think it increases the pressure on Russia to end the aggression."
Read the original article on Business Inside
one wise leader emerged to stop this lunatic war
 
Mnafiki wa kwanza ni PM Modi na India yake, wana endelea kufadhili OP ya Russia kupitia ununuzi wao mkubwa wa gas na oil hao ndio wanafiki wakubwa wala sio Russia.
Kama ww una ugomvi na jirani yako na ni mfanya biashara wa mahindi na mm nahitaji mahindi nikija kununua kwako haimaanishi nasapoti ugomvi wenu inamaanisha nahitaji mahindi.
 
1Neno la BWANA likanijia, kusema, 2 Mwanadamu, kaza uso wako, umwelekee Gogu, wa nchi ya Magogu, mkuu wa Roshi, Mesheki, na Tubali, ukatabiri juu yake, 3useme, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu yako, Ewe Gogu, mkuu wa Roshi, na Mesheki, na Tubali; 4 nami nitakugeuza na kutia kulabu katika mataya yako, nami nitakutoa, pamoja na jeshi lako lote, farasi na hao wapandao farasi, wote wamevaa silaha za namna zote, jeshi kubwa sana, wenye ngao na kigao, wote wakishika upanga; 5Uajemi, na Kushi, na Putu, pamoja nao; wote wana ngao na chapeo; 6 Gomeri, na vikosi vyake vyote; nyumba ya Togarma, pande za mwisho za kaskazini, na vikosi vyake vyote; naam, watu wengi pamoja nawe.

Ni somo refu kidogo na hapa sina nguvu za kuandika sana, may be siku nyingine. But hint ni kuwa kuna vita inakuja kabla ya ile WWIII aka Har Magedon ambayo Gog na hao washirika wake akiwemo Uajemi watavamia Israeli ili kujivunia vya kuvuna. Litakuwa Jeshi kubwa sana kiasi ambacho Israeli watakuwa hopeless hata kujaribu kuwazuia.

Mungu ameahidi kuwatetea mwenyewe ili mataifa wajue yupo na ajitwalie utukufu. Ukisoma Ezekiel 37 ni juu ya kurudi kwa Wayahudi na kuanzishwa tena taifa la Israeli lenye nguvu, 38-39 ni vita mabayo ipo mbele.

Nchi ya Gog ni eneo ambalo kwa kiwango kikubwa ni sehemu ya Russia na baadhi ya nchi jirani. Uajemi eneo lake ni Iran kwa sehemu kubwa. Hayo mataifa mengine unaweza kuangalia kwenye ancient map ya Biblia inayaonesha.

Interestingly ni kuwa hayo mataifa kwa sasa yamekuwa isolated na yanatengeneza alliance yao. Na Israel inatarajiwa ku supply Gas kwenda Europe. While sijui vita hii itatokea lini na Israel watavumbua nini kitakachomsukuma Urusi na washirika wake kumvamia, ila inafurahisha kuona unabii ulioandikwa miaka mingi sana ukitimia taratibu nikiona kwa macho yangu.

China na nduguze wao wana hitimisho lao tofauti kabisa kipindi cha Har Mageddon!

Na kuna watu wanauliza kama Biblia ni Neno la nani?
Duu
 
Kama ww una ugomvi na jirani yako na ni mfanya biashara wa mahindi na mm nahitaji mahindi nikija kununua kwako haimaanishi nasapoti ugomvi wenu inamaanisha nahitaji mahindi.
Aache sasa kuongea maneno ya kijinga kuhusu Russia wakati ana mtegemea, huu anao fanya ni unafiki.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
1Neno la BWANA likanijia, kusema, 2 Mwanadamu, kaza uso wako, umwelekee Gogu, wa nchi ya Magogu, mkuu wa Roshi, Mesheki, na Tubali, ukatabiri juu yake, 3useme, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu yako, Ewe Gogu, mkuu wa Roshi, na Mesheki, na Tubali; 4 nami nitakugeuza na kutia kulabu katika mataya yako, nami nitakutoa, pamoja na jeshi lako lote, farasi na hao wapandao farasi, wote wamevaa silaha za namna zote, jeshi kubwa sana, wenye ngao na kigao, wote wakishika upanga; 5Uajemi, na Kushi, na Putu, pamoja nao; wote wana ngao na chapeo; 6 Gomeri, na vikosi vyake vyote; nyumba ya Togarma, pande za mwisho za kaskazini, na vikosi vyake vyote; naam, watu wengi pamoja nawe.

Ni somo refu kidogo na hapa sina nguvu za kuandika sana, may be siku nyingine. But hint ni kuwa kuna vita inakuja kabla ya ile WWIII aka Har Magedon ambayo Gog na hao washirika wake akiwemo Uajemi watavamia Israeli ili kujivunia vya kuvuna. Litakuwa Jeshi kubwa sana kiasi ambacho Israeli watakuwa hopeless hata kujaribu kuwazuia.

Mungu ameahidi kuwatetea mwenyewe ili mataifa wajue yupo na ajitwalie utukufu. Ukisoma Ezekiel 37 ni juu ya kurudi kwa Wayahudi na kuanzishwa tena taifa la Israeli lenye nguvu, 38-39 ni vita mabayo ipo mbele.

Nchi ya Gog ni eneo ambalo kwa kiwango kikubwa ni sehemu ya Russia na baadhi ya nchi jirani. Uajemi eneo lake ni Iran kwa sehemu kubwa. Hayo mataifa mengine unaweza kuangalia kwenye ancient map ya Biblia inayaonesha.

Interestingly ni kuwa hayo mataifa kwa sasa yamekuwa isolated na yanatengeneza alliance yao. Na Israel inatarajiwa ku supply Gas kwenda Europe. While sijui vita hii itatokea lini na Israel watavumbua nini kitakachomsukuma Urusi na washirika wake kumvamia, ila inafurahisha kuona unabii ulioandikwa miaka mingi sana ukitimia taratibu nikiona kwa macho yangu.

China na nduguze wao wana hitimisho lao tofauti kabisa kipindi cha Har Mageddon!

Na kuna watu wanauliza kama Biblia ni Neno la nani?
Very interesting.. Ukipata muda fungua uzi kuhusu hili, ama vipi hili Somo uliweke kama sehemu ya mwendelezo wa ule uzi mwingine japo kwasasa ni kama vile umesimama.
 
Aache sasa kuongea maneno ya kijinga kuhusu Russia wakati ana mtegemea, huu anao fanya ni unafiki.
Maslahi, hakuna unafiki hapo. Urusi pia ananunua kwa India, India na Urusi wana ushirikiano kibiashara kwa maslahi ya nchi zao, mmoja akianguka mwingine kapoteza soko hivyo ni sawa kupeana maangalizo wasipoteze. Sisi ndo tuna mihemko ya kimijadala na ujuaji.

India Exports to RussiaValueYear
Pharmaceutical products$417.03M2020
Electrical, electronic equipment$333.07M2020
Organic chemicals$233.28M2020
Machinery, nuclear reactors, boilers$231.48M2020
Iron and steel$130.78M2020
Coffee, tea, mate and spices$101.46M2020
Fish, crustaceans, molluscs, aquatics invertebrates$83.63M2020
Vehicles other than railway, tramway$83.39M2020
Miscellaneous chemical products$67.28M2020
Cereals$58.17M2020
Optical, photo, technical, medical apparatus$49.88M2020
Oil seed, oleagic fruits, grain, seed, fruits$42.52M2020
Articles of iron or steel$39.35M2020
Plastics$38.92M2020
Edible fruits, nuts, peel of citrus fruit, melons$38.46M2020
Meat and edible meat offal$38.22M2020
Miscellaneous edible preparations$37.67M2020
Rubbers$37.43M2020
Lac, gums, resins$36.67M2020
Tanning, dyeing extracts, tannins, derivatives, pigments$33.01M2020
Articles of apparel, not knit or crocheted$30.35M2020
Ceramic products$29.25M2020
Edible vegetables and certain roots and tubers$28.57M2020
Articles of apparel, knit or crocheted$27.18M2020
Inorganic chemicals, precious metal compound, isotope$24.58M2020
Vegetable, fruit, nut food preparations$19.70M2020
Tobacco and manufactures tobacco substitutes$19.10M2020
Footwear, gaiters and the like,$18.73M2020
Arms and ammunition, parts and accessories$18.19M2020
Tools, implements, cutlery of base metal$15.09M2020
Aircraft, spacecraft$13.24M2020
Articles of leather, animal gut, harness, travel good$12.35M2020
Stone, plaster, cement, asbestos, mica or similar materials$11.99M2020
Manmade filaments$11.93M2020
Manmade staple fibers$11.82M2020
Animal, vegetable fats and oils, cleavage products$11.00M2020
Other made textile articles, sets, worn clothing$10.55M2020
Essential oils, perfumes, cosmetics, toileteries$10.26M2020
Raw hides and skins (other than furskins) and leather$9.66M2020
Miscellanneous manufactured articles$8.96M2020
Carpets and other textile floor coverings$8.59M2020
Printed books, newspapers, pictures$8.56M2020
Soaps, lubricants, waxes, candles, modelling pastes$5.96M2020
Glass and glassware$5.59M2020
Pearls, precious stones, metals, coins$4.61M2020
Mineral fuels, oils, distillation products$4.46M2020
Dairy products, eggs, honey, edible products$3.87M2020
Base metals not specified elsewhere, cermets.$3.83M2020
Vegetable textile fibers not specified elsewhere, paper yarn, woven fabric$3.61M2020
Toys, games, sports requisites$3.46M2020
Miscellaneous articles of base metal$3.35M2020
Paper and paperboard, articles of pulp, paper and board$3.24M2020
Copper$3.19M2020
Wadding, felt, nonwovens, yarns, twine, cordage$2.96M2020
Furniture, lighting signs, prefabricated buildings$2.89M2020
Salt, sulphur, earth, stone, plaster, lime and cement$2.34M2020
Aluminum$2.29M2020
Meat, fish and seafood preparations$1.73M2020
Albuminoids, modified starches, glues, enzymes$1.65M2020
Cotton$1.36M2020
Bird skin, feathers, artificial flowers, human hair$1.33M2020
Wood and articles of wood, wood charcoal$1.03M2020
Impregnated, coated or laminated textile fabric$994.03K2020
Residues, wastes of food industry, animal fodder$837.11K2020
Cereal, flour, starch, milk preparations and products$734.30K2020
Railway, tramway locomotives, rolling stock, equipment$660.80K2020
Vegetable plaiting materials, vegetable products$269.79K2020
Sugars and sugar confectionery$250.34K2020
Musical instruments, parts and accessories$221.88K2020
Nickel$203.60K2020
Beverages, spirits and vinegar$183.70K2020
Headgear and$155.48K2020
Zinc$131.16K2020
Wool, animal hair, horsehair yarn and fabric$126.75K2020
Special woven or tufted fabric, lace, tapestry$119.82K2020
Live trees, plants, bulbs, roots, cut flowers$61.55K2020
Cocoa and cocoa preparations$53.43K2020
Products of animal origin$42.44K2020
Photographic or cinematographic goods$39.11K2020
Manufacturers of plaiting material, basketwork$31.38K2020
Milling products, malt, starches, inlin, wheat gluten$15.53K2020
Silk$10.76K2020
Clocks and watches$6.49K2020
Knitted or crocheted fabric$5.40K2020
Works of art, collectors' pieces and antiques$2.23K2020
Commodities not specified according to kind$1.70K2020
Ships, boats, and other floating structures$1.25K2020
Fertilizers$7092020
Ores slag and ash$24.30K2019
Cork and articles of cork$4.28K2019
Umbrellas, walking-sticks, seat-sticks, whips$7552019
Lead$6802019
Furskins and artificial fur, manufactures$20.32K2018
Tin$2152017
Live animals$1822016
Explosives, pyrotechnics, matches, pyrophorics$32.85K2014
Pulp of wood, fibrous cellulosic material, waste$13.79K2011
 
Maslahi, hakuna unafiki hapo. Urusi pia ananunua kwa India, India na Urusi wana ushirikiano kibiashara kwa maslahi ya nchi zao, mmoja akianguka mwingine kapoteza soko hivyo ni sawa kupeana maangalizo wasipoteze. Sisi ndo tuna mihemko ya kimijadala na ujuaji.

India Exports to RussiaValueYear
Pharmaceutical products$417.03M2020
Electrical, electronic equipment$333.07M2020
Organic chemicals$233.28M2020
Machinery, nuclear reactors, boilers$231.48M2020
Iron and steel$130.78M2020
Coffee, tea, mate and spices$101.46M2020
Fish, crustaceans, molluscs, aquatics invertebrates$83.63M2020
Vehicles other than railway, tramway$83.39M2020
Miscellaneous chemical products$67.28M2020
Cereals$58.17M2020
Optical, photo, technical, medical apparatus$49.88M2020
Oil seed, oleagic fruits, grain, seed, fruits$42.52M2020
Articles of iron or steel$39.35M2020
Plastics$38.92M2020
Edible fruits, nuts, peel of citrus fruit, melons$38.46M2020
Meat and edible meat offal$38.22M2020
Miscellaneous edible preparations$37.67M2020
Rubbers$37.43M2020
Lac, gums, resins$36.67M2020
Tanning, dyeing extracts, tannins, derivatives, pigments$33.01M2020
Articles of apparel, not knit or crocheted$30.35M2020
Ceramic products$29.25M2020
Edible vegetables and certain roots and tubers$28.57M2020
Articles of apparel, knit or crocheted$27.18M2020
Inorganic chemicals, precious metal compound, isotope$24.58M2020
Vegetable, fruit, nut food preparations$19.70M2020
Tobacco and manufactures tobacco substitutes$19.10M2020
Footwear, gaiters and the like,$18.73M2020
Arms and ammunition, parts and accessories$18.19M2020
Tools, implements, cutlery of base metal$15.09M2020
Aircraft, spacecraft$13.24M2020
Articles of leather, animal gut, harness, travel good$12.35M2020
Stone, plaster, cement, asbestos, mica or similar materials$11.99M2020
Manmade filaments$11.93M2020
Manmade staple fibers$11.82M2020
Animal, vegetable fats and oils, cleavage products$11.00M2020
Other made textile articles, sets, worn clothing$10.55M2020
Essential oils, perfumes, cosmetics, toileteries$10.26M2020
Raw hides and skins (other than furskins) and leather$9.66M2020
Miscellanneous manufactured articles$8.96M2020
Carpets and other textile floor coverings$8.59M2020
Printed books, newspapers, pictures$8.56M2020
Soaps, lubricants, waxes, candles, modelling pastes$5.96M2020
Glass and glassware$5.59M2020
Pearls, precious stones, metals, coins$4.61M2020
Mineral fuels, oils, distillation products$4.46M2020
Dairy products, eggs, honey, edible products$3.87M2020
Base metals not specified elsewhere, cermets.$3.83M2020
Vegetable textile fibers not specified elsewhere, paper yarn, woven fabric$3.61M2020
Toys, games, sports requisites$3.46M2020
Miscellaneous articles of base metal$3.35M2020
Paper and paperboard, articles of pulp, paper and board$3.24M2020
Copper$3.19M2020
Wadding, felt, nonwovens, yarns, twine, cordage$2.96M2020
Furniture, lighting signs, prefabricated buildings$2.89M2020
Salt, sulphur, earth, stone, plaster, lime and cement$2.34M2020
Aluminum$2.29M2020
Meat, fish and seafood preparations$1.73M2020
Albuminoids, modified starches, glues, enzymes$1.65M2020
Cotton$1.36M2020
Bird skin, feathers, artificial flowers, human hair$1.33M2020
Wood and articles of wood, wood charcoal$1.03M2020
Impregnated, coated or laminated textile fabric$994.03K2020
Residues, wastes of food industry, animal fodder$837.11K2020
Cereal, flour, starch, milk preparations and products$734.30K2020
Railway, tramway locomotives, rolling stock, equipment$660.80K2020
Vegetable plaiting materials, vegetable products$269.79K2020
Sugars and sugar confectionery$250.34K2020
Musical instruments, parts and accessories$221.88K2020
Nickel$203.60K2020
Beverages, spirits and vinegar$183.70K2020
Headgear and$155.48K2020
Zinc$131.16K2020
Wool, animal hair, horsehair yarn and fabric$126.75K2020
Special woven or tufted fabric, lace, tapestry$119.82K2020
Live trees, plants, bulbs, roots, cut flowers$61.55K2020
Cocoa and cocoa preparations$53.43K2020
Products of animal origin$42.44K2020
Photographic or cinematographic goods$39.11K2020
Manufacturers of plaiting material, basketwork$31.38K2020
Milling products, malt, starches, inlin, wheat gluten$15.53K2020
Silk$10.76K2020
Clocks and watches$6.49K2020
Knitted or crocheted fabric$5.40K2020
Works of art, collectors' pieces and antiques$2.23K2020
Commodities not specified according to kind$1.70K2020
Ships, boats, and other floating structures$1.25K2020
Fertilizers$7092020
Ores slag and ash$24.30K2019
Cork and articles of cork$4.28K2019
Umbrellas, walking-sticks, seat-sticks, whips$7552019
Lead$6802019
Furskins and artificial fur, manufactures$20.32K2018
Tin$2152017
Live animals$1822016
Explosives, pyrotechnics, matches, pyrophorics$32.85K2014
Pulp of wood, fibrous cellulosic material, waste$13.79K2011
Hakuna anaye pinga kuhusu uhusiano wa kibiashara baina ya Russia na India , ila unafiki ni hayo maneno ya PM huku yeye mwenyewe akiwa supporter mkubwa wa OP ya Russia hapo Ukraine kupitia uagizwaji mkubwa wa mafuta na gas unao fanywa na India kitu kinacho mfanya Russia kupata pesa za kendesha OP yake pia India chini ya PM Modi mpaka sasa haija pinga wala kulaani OP ya Russia hapo Ukraine huu pia ni unafiki wa India na PM modi , aache unafiki awe straight kama Xi Jinping .
 
1Neno la BWANA likanijia, kusema, 2 Mwanadamu, kaza uso wako, umwelekee Gogu, wa nchi ya Magogu, mkuu wa Roshi, Mesheki, na Tubali, ukatabiri juu yake, 3useme, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu yako, Ewe Gogu, mkuu wa Roshi, na Mesheki, na Tubali; 4 nami nitakugeuza na kutia kulabu katika mataya yako, nami nitakutoa, pamoja na jeshi lako lote, farasi na hao wapandao farasi, wote wamevaa silaha za namna zote, jeshi kubwa sana, wenye ngao na kigao, wote wakishika upanga; 5Uajemi, na Kushi, na Putu, pamoja nao; wote wana ngao na chapeo; 6 Gomeri, na vikosi vyake vyote; nyumba ya Togarma, pande za mwisho za kaskazini, na vikosi vyake vyote; naam, watu wengi pamoja nawe.

Ni somo refu kidogo na hapa sina nguvu za kuandika sana, may be siku nyingine. But hint ni kuwa kuna vita inakuja kabla ya ile WWIII aka Har Magedon ambayo Gog na hao washirika wake akiwemo Uajemi watavamia Israeli ili kujivunia vya kuvuna. Litakuwa Jeshi kubwa sana kiasi ambacho Israeli watakuwa hopeless hata kujaribu kuwazuia.

Mungu ameahidi kuwatetea mwenyewe ili mataifa wajue yupo na ajitwalie utukufu. Ukisoma Ezekiel 37 ni juu ya kurudi kwa Wayahudi na kuanzishwa tena taifa la Israeli lenye nguvu, 38-39 ni vita mabayo ipo mbele.

Nchi ya Gog ni eneo ambalo kwa kiwango kikubwa ni sehemu ya Russia na baadhi ya nchi jirani. Uajemi eneo lake ni Iran kwa sehemu kubwa. Hayo mataifa mengine unaweza kuangalia kwenye ancient map ya Biblia inayaonesha.

Interestingly ni kuwa hayo mataifa kwa sasa yamekuwa isolated na yanatengeneza alliance yao. Na Israel inatarajiwa ku supply Gas kwenda Europe. While sijui vita hii itatokea lini na Israel watavumbua nini kitakachomsukuma Urusi na washirika wake kumvamia, ila inafurahisha kuona unabii ulioandikwa miaka mingi sana ukitimia taratibu nikiona kwa macho yangu.

China na nduguze wao wana hitimisho lao tofauti kabisa kipindi cha Har Mageddon!

Na kuna watu wanauliza kama Biblia ni Neno la nani?
Mkuu punguza porojo jamvini.
 
Hakuna anaye pinga kuhusu uhusiano wa kibiashara baina ya Russia na India , ila unafiki ni hayo maneno ya PM huku yeye mwenyewe akiwa supporter mkubwa wa OP ya Russia hapo Ukraine kupitia uagizwaji mkubwa wa mafuta na gas unao fanywa na India kitu kinacho mfanya Russia kupata pesa za kendesha OP yake pia India chini ya PM Modi mpaka sasa haija pinga wala kulaani OP ya Russia hapo Ukraine huu pia ni unafiki wa India na PM modi , aache unafiki awe straight kama Xi Jinping .
Kabla ya OP ya Russia hapakuwa na uagizwaji wa mafuta na gesi? Kwann sasa uagizwaji iwe ni unafiki?
 
Back
Top Bottom