DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,396
- 2,598
Una fahamu kila siku zelensky ana lia kisa nini ? Kila uchwao zelensky anaomba Russia awekewe vikwazo zaidi vya kiuchumi vitakavyo mfanya asimamishe OP yake hapo Ukraine na vikwazo alivyo pendekeza bwana Zelensky ni mataifa kuacha kuagiza mafuta Russia je India imefanya hivyo au ndio imeongeza zaidi uagizwaji wa mafuta Russia tofauti na miaka ya awali alafu leo huyo PM wao anakuja kumuambia Putin aache unafiki aanze kwanza yeye apige stop mafuta ya Russia hapo ndipo nitamuelewa Ila asipo fanya hivyo yeye ndiye kiongozi wa unafiki.Kabla ya OP ya Russia hapakuwa na uagizwaji wa mafuta na gesi? Kwann sasa uagizwaji iwe ni unafiki?
: Zelensky alisema mafuta ya Russia ni damu za waukraine maana yake ni kuwa India inaendelea kufadhili umwagaji damu pale Ukraine sasa mtazame nani mnafiki hapo Kati ya Russia au India.