Modi kamchana live Puttin uso kwa uso bila kupepesa macho

Modi kamchana live Puttin uso kwa uso bila kupepesa macho

Trump aliligundua hili na ndiyo maana akaamua kumfanya mmoja adui na mwengine rafiki. Aliamua kupambana na China ambaye kiuchumi ni tishio kubwa kwa US. Aligundua kuwa China analinda sana uchumi wake kuliko Russia hawezi kukubali umtie kidole machoni lazima kitawaka. Sasa ili uwawin wavuruge wasiwe pamoja. Wanawakati mgumu sana US. Si china wala Russia itawaamini kwenye mambo ya kulinda mustakabali wa uchumi na usalama wa mipaka ya nchi zao. Hatua walizozichukua dhidi ya Russia kwenye hii operation dhidi ya Ukraine ni mbaya sana kitaswira ya kimataifa.
Yaani kwa sasa naona kabisa uhusiano kati ya Russia na China umekuwa maradufu tofauti na awali kitu ambacho ni kibaya zaidi kwa U.S.A .

Mimi kwa sasa napenda kuona namna cooperation mbalimbali zilizo anzishwa na China na Russia zinavyo zidi kuimarika mara dufu na mataifa mbalimbali yana omba kujiunga nazo huu ni ushindi mkubwa sana kwa China na Russia.
 
Jamaa kwenye swala la vikwazo wangetulia kwanza sio ile mihemko walio fanya unapo dili na mataifa makubwa kama U.S.A, Russia na China usitumie nguvu na mihemko tumia akili nyingi walimuwekea vikwazo vingi Russia mwisho wa siku imefika zamu yake Russia kupiga vya kwake tena vina umuhimu kwao balaa sasa hivi wamebaki kulalama kuwa Russia anatumia gas kama silaha ya kuwaumiza EU wamesahau vikwazo vyao walivyo muwekea Russia.
Mbaya zaidi kawawekea vikwazo kwenye bidhaa za kimataifa (gesi&mafuta) wanalipia kwa Ruble. Matokeo yake EU thamani ya pesa yao inashuka.

Walikurupuka kwa kweli.
 
Mbaya zaidi kawawekea vikwazo kwenye bidhaa za kimataifa (gesi&mafuta) wanalipia kwa Ruble. Matokeo yake EU thamani ya pesa yao inashuka.

Walikurupuka kwa kweli.
Walikurupuka sana Italy kiongozi wa upinzani anaye pinga vikwazo kwa Russia pia anapinga Italy kujihusisha na hii vita kitu ambacho katiba ya Italy ndivyo inavyotaka jamaa anapata uungwaji mkubwa sana wa raia wa Italy .

Russia na China huu muunganiko utawa sumbua sana west .
 
Yaani kwa sasa naona kabisa uhusiano kati ya Russia na China umekuwa maradufu tofauti na awali kitu ambacho ni kibaya zaidi kwa U.S.A .

Mimi kwa sasa napenda kuona namna cooperation mbalimbali zilizo anzishwa na China na Russia zinavyo zidi kuimarika mara dufu na mataifa mbalimbali yana omba kujiunga nazo huu ni ushindi mkubwa sana kwa China na Russia.
Hakika!

Kuna kitabu kimoja kama kumbukumbu zangu zipo sawa kinaitwa "the clash of civilisation) kipo sipo sahihi utanisahihisha.

Mwandishi wa hicho kitabu anasema: west wanaitawala dunia si kwa sababu ya akili sana ama teknolojia sana. Bali ni kwa umahiri wa kuanzisha vikundi vya kiuhalifu pale wanapoona hatarishi ya maslahi yao.

Nahofia kwa nchi nyengine hizi za kati kwa kati sijui zitachukua maamuzi gani! Afrika tumeshapigwa biti! Rais wa Serbia kila mara anazungumza vitisho anavyovipata kutoka kwa West.

Sijui itakuwaje, ngoja tuone!
 
Nimependa namna China anavyo “win game” ni akili tu anatumia kuwin hili game wanalo mchezea west. Na uziri au advantage aliyo nayo China ni makubaliano ya UN 1971 na makubaliano yake na U.S.A 1979 kwamba marekani anaitambua Taiwan kama sehemu ya China hii ni faida kubwa kwa China kuliko U.S.A . Marekani akitaka kufanya uhuni wa kuitambua Taiwan Kama nchi huru lazima avunje makubaliano ya 1971 & 1979. Na mataifa mengine duniani pia yanaitambua Taiwan kama sehemu ya China makubaliano ya 1971 yana wafunga minyororo. Maana yake “One China Policy” ni faida kwa PRC.

: China akili mingi sana hawa mabwana, bado vita ya uchumi ana mkimbiza U.S.A balaa.
Na ndio maana Taiwan haitambuliki Umoja wa Mataifa (UN) inawakilishwa na PRC (People's Republic of China)
 
Mnaongea ti humu lakini Russia alivyofanya Ukraine Mwenyezi Mungu ndiye anajua.
Mnaoongea Ni kwa sababu hamjafika Ukraine kaharibu kila kitu infrastructures, tourism's, humanity,dignity, etc it's not fair , mbaya zaidi Russia ipo poa hakuna hata jiwe limewahi kurushwa
On top of that., Russia ana wanajeshi majeruhi karibu 80,000 lakini waliouliwa pia kwa ripoti za hivi karibuni ni takriban 54,300, Upande wa putini ndio wenye maumivu zaidi
 
Hakika!

Kuna kitabu kimoja kama kumbukumbu zangu zipo sawa kinaitwa "the clash of civilisation) kipo sipo sahihi utanisahihisha.

Mwandishi wa hicho kitabu anasema: west wanaitawala dunia si kwa sababu ya akili sana ama teknolojia sana. Bali ni kwa umahiri wa kuanzisha vikundi vya kiuhalifu pale wanapoona hatarishi ya maslahi yao.

Nahofia kwa nchi nyengine hizi za kati kwa kati sijui zitachukua maamuzi gani! Afrika tumeshapigwa biti! Rais wa Serbia kila mara anazungumza vitisho anavyovipata kutoka kwa West.

Sijui itakuwaje, ngoja tuone!
West wana ujinga mwingi sana sera zao za mambo ya nje ni mbovu sana , kwangu Mimi nawaona ushindani wa kiuchumi & kibiashara hawezi zaidi ya figisu za vikundi na uchochezi wa vita vya ajabu mtazame U.S.A anacho fanya Taiwan na alicho kuwa anataka kufanya Xinjiang namna NATO ilivyo kuwa ina expand kwenda Russia . Hizi ni figisu za kijinga sana fanya biashara ukishindwa buni mbinu mbadala kuweza.

Africa tuna safari ndefu sana tukubali tukate ila inabidi viongozi na raia wa huku kwetu kufunga mikanda na kupambana hatuna namna .Elimu bora tuipe kipaumbele huu ndio ukombozi wa kweli kwa mwafrika na Afrika . Tujiunge na Cooperation mbalimbali za kimataifa za kiuchumi kama afanyavyo SA. ningependa kuona Tanzania tunaomba ushirikiano wa kimataifa wa kibiashara na cooperation mbalimbali ikiwemo SCO, BRICS n.k
 
Ni ngumu sana. China anacheza hili game kwa akili sana. Marekani ndo anatapatapa. Chinese are so smart
Wale mabwana kwanza kuhusu namna walivyo lihandle swala la bi. Pelosi daah nikashangaa sana pili ziara za viongozi mbalimbali wa U.S.A Taiwan zilizo fuatia jamaa waliendelea kutulia tu. hii ni hesabu nzuri sana walipiga, kudeal na marekani inabidi utumie akili pale wao wanapo tumia nguvu.

Wachina wanaupiga mwingi sana kwenye vita vya kiuchumi dhidi ya U.S.A mpaka sasa marekani anazidi kutapata kwa maamuzi ya kijinga anayo chukua kuhusu Taiwan.
 
Wale mabwana kwanza kuhusu namna walivyo lihandle swala la bi. Pelosi daah nikashangaa sana pili ziara za viongozi mbalimbali wa U.S.A Taiwan zilizo fuatia jamaa waliendelea kutulia tu. hii ni hesabu nzuri sana walipiga, kudeal na marekani inabidi utumie akili pale wao wanapo tumia nguvu.

Wachina wanaupiga mwingi sana kwenye vita vya kiuchumi dhidi ya U.S.A mpaka sasa marekani anazidi kutapata kwa maamuzi ya kijinga anayo chukua kuhusu Taiwan.
Mara anataka amuuzie silaha kali sijui ndege za kivita mara sijui kuwatrain wajeshi wa Taiwan, mara wanafikiria vikwazo vya kumwekea China endapo ataovamia Taiwan

Yaani anatapatapa tu Mmarekani
 
Kweli kabisa China kuichukua Taiwan sio sasa mpaka miaka 2025 na kuendelea huko ndipo wanaweza kufanya hicho kitu. Mkutano wa juzi wa SCO umeyavuta mataifa mengi sana Iran na Turkey nao wanataka kujiunga na huo ushirikiano wa kiuchumi hapa Russia na China Wana win tena na wanapendekeza kila taifa kutumia pesa yake kwenye biashara napo BRICS inazidi kuongeza matawi . Pia bomba la mafuta na gas lengine kutoka Russia mpaka China linajengwa by 2023 litakuwa limekamilika . Hawa mabwana Russia na China huku kwenye Vita vya uchumi wana upiga mwingi balaa.
China inapigana na nani vita vya Uchumi?
 
Marekani inakabiliwa na mgogoro mkubwa wa wahamiaji kuliko taifa lengine kutoka pande zote za dunia.
Kwa ground mambo ni tofauti sana.
Trump aliligundua hili na ndiyo maana akaamua kumfanya mmoja adui na mwengine rafiki. Aliamua kupambana na China ambaye kiuchumi ni tishio kubwa kwa US. Aligundua kuwa China analinda sana uchumi wake kuliko Russia hawezi kukubali umtie kidole machoni lazima kitawaka. Sasa ili uwawin wavuruge wasiwe pamoja. Wanawakati mgumu sana US. Si china wala Russia itawaamini kwenye mambo ya kulinda mustakabali wa uchumi na usalama wa mipaka ya nchi zao. Hatua walizozichukua dhidi ya Russia kwenye hii operation dhidi ya Ukraine ni mbaya sana kitaswira ya kimataifa.
 
Jamaa kwenye swala la vikwazo wangetulia kwanza sio ile mihemko walio fanya unapo dili na mataifa makubwa kama U.S.A, Russia na China usitumie nguvu na mihemko tumia akili nyingi walimuwekea vikwazo vingi Russia mwisho wa siku imefika zamu yake Russia kupiga vya kwake tena vina umuhimu kwao balaa sasa hivi wamebaki kulalama kuwa Russia anatumia gas kama silaha ya kuwaumiza EU wamesahau vikwazo vyao walivyo muwekea Russia.

Hii kitu Ina nikumbusha trade war 2018 kati ya U.S.A na China Trump alionywa kuhusu tarrifs kwa bidhaa za China hakutaka kusikia kilicho fuata ni maumivu kwa U.S.A mpaka akaomba kukutana na Xi Jinping tena na kuweka mambo sawa .

Haya mataifa ya China na Russia watu wasiya chukulie poa yana ongozwa na watu wenye akili nyuma yao ukimuondoa Xi Jinping na Vladimir Putin hata U.S.A ana tambua hilo , Ila humu jukwaani watu wanaya chukulia poa Sana.
Screenshot_20220918-102705_Twitter.jpg
 
Jamaa kwenye swala la vikwazo wangetulia kwanza sio ile mihemko walio fanya unapo dili na mataifa makubwa kama U.S.A, Russia na China usitumie nguvu na mihemko tumia akili nyingi walimuwekea vikwazo vingi Russia mwisho wa siku imefika zamu yake Russia kupiga vya kwake tena vina umuhimu kwao balaa sasa hivi wamebaki kulalama kuwa Russia anatumia gas kama silaha ya kuwaumiza EU wamesahau vikwazo vyao walivyo muwekea Russia.

Hii kitu Ina nikumbusha trade war 2018 kati ya U.S.A na China Trump alionywa kuhusu tarrifs kwa bidhaa za China hakutaka kusikia kilicho fuata ni maumivu kwa U.S.A mpaka akaomba kukutana na Xi Jinping tena na kuweka mambo sawa .

Haya mataifa ya China na Russia watu wasiya chukulie poa yana ongozwa na watu wenye akili nyuma yao ukimuondoa Xi Jinping na Vladimir Putin hata U.S.A ana tambua hilo , Ila humu jukwaani watu wanaya chukulia poa Sana.
Kama Russia na China yanaongozwa na watu wenye akili basi US na Ulaya wanaongozwa na ma-genius.
 
Una uelewa mdogo sana kuhusu Geopolitics.
Sera kubwa ya China ya mambo ya nje ya kutuuzia earphones, toothpicks, vitana, kuchukua tenda kubwa kubwa za kujenga barabara na vibarua kutoka kwao huku kampuni za wazawa wakitoa tu macho wewe ndio unaona sera bora ya mambo ya nje??

Inasikitisha kufurahia Africa kuwa dampo la bidhaa hafifu za wachina na sehemu za kujaza wachezesha kamari wa Kichina.
Ujamaa ni laana hakika.
West wana ujinga mwingi sana sera zao za mambo ya nje ni mbovu sana , kwangu Mimi nawaona ushindani wa kiuchumi & kibiashara hawezi zaidi ya figisu za vikundi na uchochezi wa vita vya ajabu mtazame U.S.A anacho fanya Taiwan na alicho kuwa anataka kufanya Xinjiang namna NATO ilivyo kuwa ina expand kwenda Russia . Hizi ni figisu za kijinga sana fanya biashara ukishindwa buni mbinu mbadala kuweza.

Africa tuna safari ndefu sana tukubali tukate ila inabidi viongozi na raia wa huku kwetu kufunga mikanda na kupambana hatuna namna .Elimu bora tuipe kipaumbele huu ndio ukombozi wa kweli kwa mwafrika na Afrika . Tujiunge na Cooperation mbalimbali za kimataifa za kiuchumi kama afanyavyo SA. ningependa kuona Tanzania tunaomba ushirikiano wa kimataifa wa kibiashara na cooperation mbalimbali ikiwemo SCO, BRICS n.k
 
Back
Top Bottom