Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
- Thread starter
-
- #21
Wewe Ukraine umefika Lin ? Tuanzie hapoMnaongea ti humu lakini Russia alivyofanya Ukraine Mwenyezi Mungu ndiye anajua.
Mnaoongea Ni kwa sababu hamjafika Ukraine kaharibu kila kitu infrastructures, tourism's, humanity,dignity, etc it's not fair , mbaya zaidi Russia ipo poa hakuna hata jiwe limewahi kurushwa
Mbona kuna kubwa la wapumbavu ndo linawazaga vita kila siku ili liibe mafuta kirahisiPutin ni mbabe kichwani box, wenzake wanawaza pesa. Vita waachie wapumbavu
Hong Kong iko chini ya China hana uchawa wowote kwa MarekaniChawa wa USA pale Asia namba moja ni
Israel
Wengine ni Japan Turkey India Kuwait Taiwan Hongkong Iraq.
Leo wamekubaliana haya.........wahindi akili kubwaHong Kong iko chini ya China hana uchawa wowote kwa Marekani
Chawa wa Marekani pale Far East Asia na South Eastern Asia ni Japan, South Korea, Taiwan, Singapore, Philippines
Bora China tu India ni ndumbi la kuwili mjanjamjanja hataki apoteze kwa Marekani wala Urusi
Hong kong ipo china ila kwa jinsi USA alivyowekeza hong kong machawa wengi wa USA wapo mule.Hong Kong iko chini ya China hana uchawa wowote kwa Marekani
Chawa wa Marekani pale Far East Asia na South Eastern Asia ni Japan, South Korea, Taiwan, Singapore, Philippines
Bora China tu India ni ndumbi la kuwili mjanjamjanja hataki apoteze kwa Marekani wala Urusi
Jifariji tuUrusi ni nchi inayoenda kufilisika.
Licha ya uwekezaji wa Marekani na nchi za Ulaya kwa sasa jinsi Hong Kong inavyoendeshwa tangu aingie Xi Jinping ni ngumu, saivi Mainland China wameingilia mambo yao mengi ya ndani tofauti na mwanzo.Hong kong ipo china ila kwa jinsi USA alivyowekeza hong kong machawa wengi wa USA wapo mule.
Ase nilikuwa nimeisahau South Korea huyo nae chawa namba moja.
India usimwamini hadi kesho yule ni chawa wa USA
India yuko kotekoteHong kong ipo china ila kwa jinsi USA alivyowekeza hong kong machawa wengi wa USA wapo mule.
Ase nilikuwa nimeisahau South Korea huyo nae chawa namba moja.
India usimwamini hadi kesho yule ni chawa wa USA
Unaongea ujingaUrusi ni nchi inayoenda kufilisika.
Mjanja ni mchina tu. Yeye anaangalia uchumi wake na michongo ya kukamata solo LA Dunia.
Urusi ni nchi inayoenda kufilisika.
Putin ni mbabe kichwani box, wenzake wanawaza pesa. Vita waachie wapumbavu
Wewe umefika huko Ukraine au una comment ukiwa front line?Mnaongea ti humu lakini Russia alivyofanya Ukraine Mwenyezi Mungu ndiye anajua.
Mnaoongea Ni kwa sababu hamjafika Ukraine kaharibu kila kitu infrastructures, tourism's, humanity,dignity, etc it's not fair , mbaya zaidi Russia ipo poa hakuna hata jiwe limewahi kurushwa
Tunawasubiri winter tu hawa wana wa upinde wa mvuaPutin endelea kuwapelekea moto rainbow
Vyombo vya habari vya West vinawadanganya sana hawa pro-NATOMnaongea ti humu lakini Russia alivyofanya Ukraine Mwenyezi Mungu ndiye anajua.
Mnaoongea Ni kwa sababu hamjafika Ukraine kaharibu kila kitu infrastructures, tourism's, humanity,dignity, etc it's not fair , mbaya zaidi Russia ipo poa hakuna hata jiwe limewahi kurushwa
nonsenseJifariji tu
Upo Mr nonsense?Jifariji tu
Jamaa anasema urusi itafilisika wakati mpaka wamarekani wanaendelea kununua baadhi ya bidhaa kutoka urusi hapo.bado nchi za ulaya wananunua mafuta na SASA hivi nchi za Asia zinashindana kununua mafuta ya urusi.Upo Mr nonsense?