Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,075
- Thread starter
- #81
asa Bishanga mihela kwa nani? kwa Fixed Point? wala usisubutu. Niulize mimi. Kwa cacico? Huyo ana 'mguu wa kuku' kabisa. uliza aliupata kwa sababu gani? sio matwins. charminglady ndo ivo tena..
sasa ukiwatishia na lunch za kempisk, wao wanajua kabisa hizi kamba afu watakupeleka ukweli...ukinipigia simu umekwama apo ujue siji. ili ujifunze
mkuu we niunganishe tu na mmoja wa hawa,mengine niachie,wakitaka breakfast grand regency nairobi,lunch The four seasons london na dinner hilton ya new york nitampeleka tu kamanda.