Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #61
Kama aliyeteuliwa anajiona haiwezi hiyo kazi je?Jukumu la ulinzi wa nchi ni la kila mtu ambaye ni raia wa nchi hii. Hili jukumu ni wajibu wa lazima siyo hiari. Kupata nafasi ya kuteuliwa ni moja ya haki yako ya kutekeleza jukumu la lazima la kuimarisha ulinzi wa nchi.
Kukataa nafasi ya uteuzi ni hatua mojawapo ya kuelekea kuhatarisha usalama wa nchi na kwa wale wenye miwani mikali kitendo hicho chaweza kufananishwa na uhaini. Kwa hiyo, uwe umepewa taaarifa ama la lazima utii wito wa kuteuliwa!
Aikubali tu?
Mambo ya ajabu kabisa hayo.
Ndo maana tupo kwenye hali tulonayo.