Taja kabisa na jina la huyo mwalimu wako, unawachanganya watu hapa.Ahaaa. Sio utaratubu mkuu,bora hata leo mtu anapata taarifa kupitia mitandao.
Wakati wa mwalimu mtu alipata taarifa ya uteuzi kupitia radio (RTD).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taja kabisa na jina la huyo mwalimu wako, unawachanganya watu hapa.Ahaaa. Sio utaratubu mkuu,bora hata leo mtu anapata taarifa kupitia mitandao.
Wakati wa mwalimu mtu alipata taarifa ya uteuzi kupitia radio (RTD).
Mimi naamini kwa 💯% alikuwa na taarifa.Kwa ishu ya Bashiru Ally Lyakurwa, kuteuliwa kuwa CS, japo ktk hotuba yake hii "anazuga zuga" kusema ukweli, lakini mimi ninaamini kwa 95% kuwa alikuwa na taarifa na lazima kulikuwa na consultations kati yake na Rais kabla ya uteuzi kuwekwa wazi....!!
Vijana wa dotcom mnamatattizo.Taja kabisa na jina la huyo mwalimu wako, unawachanganya watu hapa.
Naona anakikaratasi mkononi! Au mpaka aelekeze macho kwenye kikaratasi hicho ndipo ajulikane kuwa alikuwa anasoma?Katika hotuba yake hiyo ambayo aliitoa bila kusoma,
Kwa hiyo alikuwa kwenye mitandao au alikuwa akisoma mafaili?jioni ya siku ile aliyoteuliwa, alikuwa yupo sehemu [nahisi labda alikuwa nyumbani kwake] akisoma mafaili ya kazi zake za ukatibu mkuu wa CCM, ndo eti akapata taarifa kupitia kwenye mitandao [ya kijamii] kwamba kateuliwa kuwa katibu mkuu kiongozi.
Umesema kwa "...akili yako ya ..."; lakini ukaficha uteuzi mwingine wa aina hiyo ili uhalalishe lengo la mada yako?Sasa kama Dkt. Bashiru alizipata taarifa za uteuzi wake huo kupitia kwenye mitandao kama tulivyozipata sisi wengine, ina maana hakukuwepo na mawasiliano kati ya mamlaka ya uteuzi na mteuliwa.
"Damn, a nigga's style is unorthodox" -The Nororious B.IG "Niggas".Utendaji kazi wa Rais Magufuli ni wa ajabu kweli.
Au naweza kusema ni ambao haufuati desturi ama kawaida ya utendaji wa mambo. Ni unorthodox, kwa kimombo [emoji12].
Hivyo ndivyo ninavyoweza kuuelezea kwa kifupi.
Fuatana nami nikuelezee kwa nini nasema hivyo;
Nimeangalia video fupi ya hotuba aliyoitoa Dkt. Bashiru mara baada ya kuapishwa kwenye hiyo nafasi yake mpya hapo jana.
Katika hotuba yake hiyo ambayo aliitoa bila kusoma, Dkt. Bashiru alisema kuwa jioni ya siku ile aliyoteuliwa, alikuwa yupo sehemu [nahisi labda alikuwa nyumbani kwake] akisoma mafaili ya kazi zake za ukatibu mkuu wa CCM, ndo eti akapata taarifa kupitia kwenye mitandao [ya kijamii] kwamba kateuliwa kuwa katibu mkuu kiongozi.
Huyu hapa Dkt. Bashiru kwa maneno yake mwenyewe:
Kwa kuokoa muda, anzia dakika ya 2:30 hadi 2:50.
Maneno hayo ya Bashiru yaliuvuta uangalifu wangu na kunifanya niwaze kidogo maana kama kumbukumbu yangu ni nzuri, hii si mara ya kwanza kwa mtu aliyeteuliwa na Rais Magufuli, kuujua uteuzi wake huo kupitia mitandao ya kijamii.
Kwa akili zangu hizi za kidato cha 4, mimi huwa nadhani kuwa Rais kabla hajamteua mtu kushika wadhifa au nafasi flani, Rais huongea na huyo mtu kwanza ili kuona kama huyo mtu yuko tayari kuyabeba majukumu ya kazi atakayo kumpa, na kuhakikisha kwamba huyo mtu anaukubali uteuzi huo kabla ya umma kufahamishwa.
Sasa kama Dkt. Bashiru alizipata taarifa za uteuzi wake huo kupitia kwenye mitandao kama tulivyozipata sisi wengine, ina maana hakukuwepo na mawasiliano kati ya mamlaka ya uteuzi na mteuliwa.
Kama hivi ndivyo ilivyo kwa utendaji wa Rais Magufuli, basi daah, sijui nisemeje tu.
Utateuaje mtu, tena wa cheo kilicho nyeti, halafu mtu huyo aujulie uteuzi huo kupitia mtandaoni?
The guy is cocking a snook at just about everything....norms, traditions, common sense, comity, presidential comportment, you name it!
Man oh man.
Bila shaka unavyo vigezo fulani unapokubali "uandishi" wake; na unatumia vigezo hivyo kama nguzo ya kumpendekeza.Mfano mwingine wewe mleta mada, naukubali uandishi wako sana, unavyowasilisha arguments zako n.k. Kama nikiambiwa kuteua mtu wa kufanya uandishi kwenye maswala haya unayokuwa unachangia, nitakupendekeza!
"Kutenda kwa kutumia njia zake"? Njia hizo ni za majaribio? na alizitumia wapi zikaleta "kufanikisha jambo haraka"?Matatizo ya nchi yetu na nchi nyingi za kiafrika ni kuendelea kutenda kama colonisers wetu walivyo tuelekeza! Ambayo tunaiita awe na experience! Akitokea kiongozi anayetenda kwa kutumia njia zake za kufanikisha jambo kwa haraka - tunakuwa wa kwanza kumuona hafai - kwasababu experience yetu amei side step!
Ulienda shule? Kusoma kikaratasi ndio kusoma hutoba iliyochapwa?Naona anakikaratasi mkononi! Au mpaka aelekeze macho kwenye kikaratasi hicho ndipo ajulikane kuwa alikuwa anasoma?
Kwa hiyo alikuwa kwenye mitandao au alikuwa akisoma mafaili?
Umesema kwa "...akili yako ya ..."; lakini ukaficha uteuzi mwingine wa aina hiyo ili uhalalishe lengo la mada yako?
Teuzi zote afanyazo huo ndio utaratibu wake ambao huufuata?
Unao uhakika gani kwamba hao wawili Bashiru na mteuzi wake hawakuwahi hata mara moja kugusia jambo la uteuzi wa nafasi hiyo?
Unajua mahusiano kati ya wawili hao?
Ulaghai na hadaa za awamu hii zinajulikana, na watu kama wewe ni kiungo muhimu katika kuzieneza hadaa za aina hiyo.
"Kwa akili zangu hizi za kidato cha 4"Utendaji kazi wa Rais Magufuli ni wa ajabu kweli.
Au naweza kusema ni ambao haufuati desturi ama kawaida ya utendaji wa mambo. Ni unorthodox, kwa kimombo [emoji12].
Hivyo ndivyo ninavyoweza kuuelezea kwa kifupi.
Fuatana nami nikuelezee kwa nini nasema hivyo;
Nimeangalia video fupi ya hotuba aliyoitoa Dkt. Bashiru mara baada ya kuapishwa kwenye hiyo nafasi yake mpya hapo jana.
Katika hotuba yake hiyo ambayo aliitoa bila kusoma, Dkt. Bashiru alisema kuwa jioni ya siku ile aliyoteuliwa, alikuwa yupo sehemu [nahisi labda alikuwa nyumbani kwake] akisoma mafaili ya kazi zake za ukatibu mkuu wa CCM, ndo eti akapata taarifa kupitia kwenye mitandao [ya kijamii] kwamba kateuliwa kuwa katibu mkuu kiongozi.
Huyu hapa Dkt. Bashiru kwa maneno yake mwenyewe:
Kwa kuokoa muda, anzia dakika ya 2:30 hadi 2:50.
Maneno hayo ya Bashiru yaliuvuta uangalifu wangu na kunifanya niwaze kidogo maana kama kumbukumbu yangu ni nzuri, hii si mara ya kwanza kwa mtu aliyeteuliwa na Rais Magufuli, kuujua uteuzi wake huo kupitia mitandao ya kijamii.
Kwa akili zangu hizi za kidato cha 4, mimi huwa nadhani kuwa Rais kabla hajamteua mtu kushika wadhifa au nafasi flani, Rais huongea na huyo mtu kwanza ili kuona kama huyo mtu yuko tayari kuyabeba majukumu ya kazi atakayo kumpa, na kuhakikisha kwamba huyo mtu anaukubali uteuzi huo kabla ya umma kufahamishwa.
Sasa kama Dkt. Bashiru alizipata taarifa za uteuzi wake huo kupitia kwenye mitandao kama tulivyozipata sisi wengine, ina maana hakukuwepo na mawasiliano kati ya mamlaka ya uteuzi na mteuliwa.
Kama hivi ndivyo ilivyo kwa utendaji wa Rais Magufuli, basi daah, sijui nisemeje tu.
Utateuaje mtu, tena wa cheo kilicho nyeti, halafu mtu huyo aujulie uteuzi huo kupitia mtandaoni?
The guy is cocking a snook at just about everything....norms, traditions, common sense, comity, presidential comportment, you name it!
Man oh man.
Siyo lazima ukiteuliwa upewe taarifa. Hizo ni hisia zako. Narudia: siyo LAZIMA
Nimezungumzia ninachokijua."Kwa akili zangu hizi za kidato cha 4"
Mimi wa form 6 nasema "Jambo ambalo huna taaluma nalo usiliandikie chapisho"
Kwakuwa kuzungumzia jambo ambalo hulifahamu ni kujidhalilisha na upotoshaji.
Unahangaika bure na kunitafuta nikukumbushe ulivyo mtupu kichwani.Ulienda shule? Kusoma kikaratasi ndio kusoma hutoba iliyochapwa?
Mtu huwezi kufanya kazi huku unapitia mitandao? Kisa tu unapitia mafaili!
Kama mtu mwenye akili usingechangia hii mada. Ni mweupe kabisa kichwani.
Habari ya mteuliwa na mteuzi kugusia mada ni assumptions za kishamba.
Duh!Naomba nikumbushe ile hali ambayo mtu anayejua namna ya kutatua tatizo halafu watu wakaa kimya inatitwaje kwakimombo
Kuna kipindi Rais mwenyewe wakati anawaapisha wakuu wa mikoa alikiri kwamba aliwateua bila kuwauliza.Tangu miaka hiyo, kila mmoja atakuambia "nilikuwa sifahamu. Nimesikia tu redioni kwamba nimeteuliwa". Kwahiyo hakuna jipya hapo!! Sina hakika kama huwa wanasema kweli lakini majority kauli zao huwa zinafanana kuhusu ikiwa walifahamu ama la. Utawasikia "habari za uteuzi wangu nilizisikia tu redion/kwenye tv, au mtu alinipigia simu kuniambia rais kaniteua"!
Baada ya kupita miaka elfu mbili na ushee,bado nchi inaendeshwa kimangumashi?.Kawaida ya "mitume"..... yule aliyekuwa na wanafunzi 12, si unakumbuka wengi alikuwa anawaambia tu "nifuate" na wanamfuata?
Hivi Kangi Lugola yupo wapi siku hizi?
We sijui ni nyani wa msitu Gani? Vyovyote iwavyo Elimu yako ya kidato cha nne unazungumzia habari za uteuzi wa Rais.Nimezungumzia ninachokijua.
Na ninachokijua ni nilichokisikia toka mdomoni mwa Bashiru Ali.
Hakuna nilipojidhalilisha wala kupotosha.