Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #61
Kama aliyeteuliwa anajiona haiwezi hiyo kazi je?Jukumu la ulinzi wa nchi ni la kila mtu ambaye ni raia wa nchi hii. Hili jukumu ni wajibu wa lazima siyo hiari. Kupata nafasi ya kuteuliwa ni moja ya haki yako ya kutekeleza jukumu la lazima la kuimarisha ulinzi wa nchi.
Kukataa nafasi ya uteuzi ni hatua mojawapo ya kuelekea kuhatarisha usalama wa nchi na kwa wale wenye miwani mikali kitendo hicho chaweza kufananishwa na uhaini. Kwa hiyo, uwe umepewa taaarifa ama la lazima utii wito wa kuteuliwa!
Sijui.Kuna mahala katiba ya JMT imetamka kuwa rais anatakiwa atoe taarifa kwa mtu atakae mteua?
Aisee!!Umewahi kuishi vijijini? Unajua maisha ya mbwa huko vijijini? Wafuga mbwa vijijini huwa wanauliza mbwa wao kama watakubali kupewa chakula fulani? Basi kwa kifupi Magufuli ni rais mwenye kiburi na anajua kabisa hakuna wa kukataa uteuzi kwenye siasa za Tanzania. Anajua wanasiasa wote wako kule kushibisha matumbo yao hivyo hawawezi kukataa uteuzi wowote. Kuna wanaosema eti huenda amesema uongo na aliarifiwa kabla. Hao hawajamsoma vizuri Magufuli. Mimi naamini ni kweli kabisa huwa anateua na kutangaza bila kumuarifu mhusika.
See, that’s the thing.Mzee na nawe unaamini kabisa kuwa Bashiru hakutaarifiwa kabla na taarifa za uteuzi wake kazikuta mitandaoni?
Of course!Kwaiyo boss wako akitaka kukupandisha cheo aanze kwanza kukuuliza sio ukite barua tu kuwa umepandishwa cheo? Kuna wanaofuata utaratibu wako unaouwaza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea...Vip Rais anapotembelea mahala ni lazima kutoa taarifa au hapana?
Kati ya watanzania wachache sana wenye upeo wa hali ya juu wa kufikiri wewe mkuu ni miongoni mwao! Hongera sana kuvuka kikwazo cha utumwa wa fikra!Matatizo ya nchi yetu na nchi nyingi za kiafrika ni kuendelea kutenda kama colonisers wetu walivyo tuelekeza! Ambayo tunaiita awe na experience! Akitokea kiongozi anayetenda kwa kutumia njia zake za kufanikisha jambo kwa haraka - tunakuwa wa kwanza kumuona hafai - kwasababu experience yetu amei side step! Bashiru amekuwa akifanya kazi kwa karibu sana na Magufuli, hilo ni jawabu tosha na mengine ni mazungumzo baada ya habari (yale ya hakujulishwa)! Hata kama hakujulishwa, anajua!
Mfano mwingine wewe mleta mada, naukubali uandishi wako sana, unavyowasilisha arguments zako n.k. Kama nikiambiwa kuteua mtu wa kufanya uandishi kwenye maswala haya unayokuwa unachangia, nitakupendekeza! Ukikataa, hilo swala jingine. Ila mimi naona unafaa. Baada ya kusema hayo, vyeo hivi vinakuwa vetted for, siyo for any Masanja and Marwa!
Kama ni kamba, basi Bashiru atakuwa ni pathological liar 🤥Hiv mnaamin hizi fix???bc mtakuwa bdo mpo naumini
Sasa mizunguko yote hiyo ya nini?Taasisi ya uteuzi ipo kazini masaa yote! Wanajiridhisha kwanza kabla ya kupeleka jina kwa muhidhinishaji wa uteuzi. Kujiridhisha huko kunajumuhisha utafiti juu ya afya ya mlengwa wa uteuzi! Kwa hiyo, mkuu kaa mkao wa kuteuliwa tena bila wasiwasi; hofu zako taasisi ilishazifanyia kazi na inazizingatia kwa umakini mkubwa.
Kumbuka, lengo ni kuimalisha ulinzi wa nchi, Taasisi inazingatia hilo ndiyo maana mara moja ikishaona mushikeri inabadili uamuzi.
Mangungu sasa hapo umeelewa hata ulichokikanusha na pengine hujaelewa hata nilichokiandikaChai hii,ukitumbuliwa unapachua zile number za herufi,unaweka number za kawaida, magari ya viongozi yana number zaidi ya tatu kwa taarifa yako! Mfano (Waziri wa Maji) inasoma W M akitumbuliwa akiwa njiani, dereva wake anapachua ya W M wanaweka ya Kiraia kabisa au ya STL,STJ au STK acha chai mkuu
Kwa kukazia tuu, JK aliwahi twambia kuwa watu wengi wamekuwa na msaada sana katika chama au serikali unafikiria namna ta kumshukuru au kazi ya kumpa unamteua kuwa mkuu wa mkoa au wilaya lkn kwa mshangao mtu huyo anakwambia mzee nashukuru hiyo nafasi hapana. Haya niambie unamteua na kutangaza kabla ya kumjulisha baadae anakataa.Nikujuze tu! Post kubwa na nzito kama hizo lazima upewe taarifa kwanza! Kwamba je uko tayari?? Je uko fit kiafya? Unaweza teuliwa bila kuambiwa kumbe hutaki,au afya yako ni tete,ukafa baada ya mwezi mmoja!
Kuna watu wapo smart sana, Sumaye kabla jina lake kupelekwa bungeni na Mkapa alisema kabisa,kwamba aliitwa Ikulu na Mkapa akaambiwa nataka uwe Waziri Mkuu,the same na Pinda pia alisema,baada ya Lowassa kutema kitumbua,Mizengo Pinda aliulizwa na Jakaya! Sasa wewe sijui unataka kusema nini hapa! Au hujui maana ya vetting??
Hahahaaa ulikuwepo hapo na huyo uliyemtaja?? Manaake mimi hata sijamtaja( Ndomaana nimekushangaa kuwa elewa nilichoandika na kwanini nimeandika vile)Nimesema kabisa dereva wake! Kaka hizi mambo kama hatujui tukubali kujifunza! Mwigulu Nchemba alifutwa kazi akiwa Kigoma! Maana yake alirudi dodoma na cheo cha ubunge! Maana yake dereva alitoa herufi za (WMNN) Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi nakuweka STL,STK au STJ nakuanza safari yakurudi kukabidhi ofisi! Na sio eti unaporwa gari,then wewe unarudi sijui na basi au fuso
Amos Makala pia alifutwa kazi akiwa njiani kwenda Dodoma,ikabidi wageuze gari kurudi Rukwa, dereva anatoa Herufi za RC nakuweka zakawaida tu!
Pia,Ukiteuliwa kupanda cheo ukiwa kwenye majumu yako,unaacha hapo hapo,Unakua sio na mamlaka tena, Mfano kutoka Naibu Waziri kwenda, Waziri Kamili,wanatoa herufi za Naibu Waziri,wanaweka number za kawaida,ukila kiapo cha cheo kipya,wanaweka herufi za cheo chako!
Wakuu wa taasisi kama TISS na TAKUKURU wana number zao nyingi nyingi tu!
Mwisho kabisa,wakati baraza jipya la Mawazi linaenda kuapishwa,magari yalienda na number za kawaida kabisa,baada yakula kiapo,dereva wakatoa number,nakuweka herufi za vyeo vyao!
anauhakika uteuzi ni kumgawia mtu ulaji hasa hao waliozoea kula hivyo wakukataa hajazaliwa.Siyo lazima ukiteuliwa upewe taarifa. Hizo ni hisia zako. Narudia: siyo LAZIMA
Ahaaa. Sio utaratubu mkuu,bora hata leo mtu anapata taarifa kupitia mitandao.You consult.