Modus operandi ya Rais Magufuli ni ya ajabu!

Kama aliyeteuliwa anajiona haiwezi hiyo kazi je?

Aikubali tu?

Mambo ya ajabu kabisa hayo.

Ndo maana tupo kwenye hali tulonayo.
 
Kuna mahala katiba ya JMT imetamka kuwa rais anatakiwa atoe taarifa kwa mtu atakae mteua?
Sijui.

Lakini kwa akili tu hizi za kawaida, kumteua mtu bila kufanya naye mazungumzo ni ujuha.
 
Aisee!!

Vipi sasa kama mteuliwa haitaki hiyo kazi au anaona hana sifa za kuifanya hiyo kazi?

Ni lazima aukubali uteuzi, atake asitake?

That’s some weird shit, bruh.
 
Mzee na nawe unaamini kabisa kuwa Bashiru hakutaarifiwa kabla na taarifa za uteuzi wake kazikuta mitandaoni?
See, that’s the thing.

What Bashiru said strains credulity.

But, that’s what he said and that’s what I’m going by.
 
Kati ya watanzania wachache sana wenye upeo wa hali ya juu wa kufikiri wewe mkuu ni miongoni mwao! Hongera sana kuvuka kikwazo cha utumwa wa fikra!
 
Mwanasiasa usimuamini kamwe, akikwambia sitagombea cheo chochote hii kwake ni siraha kujiepusha na maadui huko mbele.
 
Na jamaa alishakiri kuwa hayupo tayari kutumikia cheo zaidi ya hicho alichokuwa nacho inamaana kama ni kazi ataifanya ile basi tuu kalazimishiwa
 
Sasa mizunguko yote hiyo ya nini?

Hiyo taasisi inachunguzaje afya ya mtu bila kumshirikisha wakati afya ni siri ya mtu? Je watajua kila kitu? Kuna magonjwa ambayo usumbufu wake huwa unatofautiana kutoka mtu mmoja hadi mwingine.

Kama busara ya kumtaarifu mhusika tu haipo hiyo vetting yenyewe sioni kama itafanyika kwa weredi kwani wahusika bado hawajastaarabika.

Mnajaribu kupinda kona kutetea makosa. Mwisho lazima tutarudi palepale tu, ni busara kumshirikisha mteuliwa kabla ya kumtangaza.

Pia uteuzi sio lazima ukubalike. Huo uhaini wa kukataa uteuzi ndio nausikia leo.

NB: Naamini Bashiru taarifa alikuwa nayo.
 
JPM has too big of an ego to even care whoever he appoints is up to the duties and responsibilities pertaining to the job. JPM thinks he is G.O.D or maybe even Jesus Christ himself and every mere mortal he summons has to bow down to his demands.
 
Mangungu sasa hapo umeelewa hata ulichokikanusha na pengine hujaelewa hata nilichokiandika

Njoo "tupachue" basi ashata na hii chai
 
Kwa kukazia tuu, JK aliwahi twambia kuwa watu wengi wamekuwa na msaada sana katika chama au serikali unafikiria namna ta kumshukuru au kazi ya kumpa unamteua kuwa mkuu wa mkoa au wilaya lkn kwa mshangao mtu huyo anakwambia mzee nashukuru hiyo nafasi hapana. Haya niambie unamteua na kutangaza kabla ya kumjulisha baadae anakataa.
 
Unajua kuna ile assumption kwamba ukimtumpia mbwa pande la nyama hawezi kujivunga....

Probably Magufuli anaamini hawa watu hawana guts za kukataa posts kubwakubwa na hivyo hana haja kuwauliza kwanza kama wapo interested ama la.

Pia kuna repercussions zake kama mtu akikataa teuzi ya Rais. Kwa jinsi huyu mwamba anavyobehave, ukikataa unaweza kupewa kesi ya kuhujumu uchumi.
 
Simuamini uyo jamaa, maana kuna video ilisambaa alisema hatokubali nafasi nyingine yoyote atakayoteuliwa..look at him now
 
Ilishawahi tokea mara kadhaa kama tunavyoambiwa na wakongwe kuna baadhi ya watu awamu zilizopita wanapewa taarifa kuwa watateuliwa nafasi flani wanafanya sherehe kabisa, inabidi mamlaka za uteuzi ziachane na mhusika. Nadhani labda anakwepa mambo kama haya.
 
Hahahaaa ulikuwepo hapo na huyo uliyemtaja?? Manaake mimi hata sijamtaja( Ndomaana nimekushangaa kuwa elewa nilichoandika na kwanini nimeandika vile)

Makalla hajawahi pia kutumbuliwa na kurudi Rukwa(kwa taarifa yako tu)

Baraza la Mawaziri likivunjwa utaratibu unajulikana. Hapo mimi niliongelea "extraordinary" zinazotokeaga au kwa lugha nyingine NN kaandika "cock a snook"...... Ukishaelewa hizo ndo utaelewa tuna choking Elea

Ntakueleza kitu kingine sijui kama ulifuatilia,kuna mama OCD Nyanda za juu alifukuzwa kazi na akaondoka kwenye mkutano wake anasikitika na baadae akarudishwa ndani ya nusu saa( Hayo ndo tunayaongelea kuwa Modus Operandi za huyu Mzee hakuna anayezielewa) anatufundisha " new normal"(Yeye anaitwa kutunyoosha)

Achana na hayo ya utaratibu wa dereva kufanya hivi na vile ambayo yako kwenye mafunzo. Kuna amri zinazotokea hakuna utaratibu huo unafuatwa ndugu yangu

Nitakukumbusha pia 2008 EL yalimkuta alijaribu kumtunishia JK kuachia ngazi( Tulikuwepo wakati huo) so najua sana hizo taratibu ulizoandika......nielekeze mpya na mimi nijifunze,sikatai kujifunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…