isaya mgwasi
Member
- Jun 1, 2015
- 46
- 36
Hakushukuru kwa kumuachia ameshukuru kwa kumtafutia, usitafute buku saba asubuhiKama yeye aliyetekwa kalishukuru jeshi LA polisi Mimi ni nani hasa mpaka nipinge?.
Nilisikia anajiita eti yeye "gangwe"!Kuna MTU mzima na mkubwa katika nchi kila siku anatembea matako wazi mbele za watu,cha kushangaza hapandishi suruali.Ndio kwanza anaacha matako yaingie vumbi na matope.SHAME.
Usinipangie cha kuandika....Ungekaa kimya.Usipende kuamini kila uonacho utaadhirika.Say hi to your family!
Kwendra.Hakushukuru kwa kumuachia ameshukuru kwa kumtafutia, usitafute buku saba asubuhi
Masharti hayo yanawekwa na nani? Mlipaji au anayedai? Hebu tuondelee ujinga wako hapa!Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!
Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!?
Nani aliyewahi kuzungumza yaliyomsibu hapo kabla? Miongoni mwa wote waliowahi kufanyiwa umafia nchi hii, ni nani aliyewahi kuzungumza? Au hawakuzungumza kwa sababu walilipa ransom?Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom.
Hiyo ni hoja yako na wana-Lumumba wenzako pamoja na genge lote la wahalifu kama wale ambao waliwahi hadi kuvamia studio! Hoja iliyo mbele ya wananchi ni je, baada ya kutoweka Ben Saanane na hatimae Mwandishi wa Mwananchi, kisha kutoweka kwa ROMA na baadae kuja kupatikana kabla hajatoweka Mo Dewji na kufuatiwa na drama za Kamanda Sirro; WHO'S NEXT! Usitake kuaminisha watu kwamba utekaji kwa sasa unalenga matajiri wakati utekaji nchi hii hivi sasa unaelekea kuwa ni jambo la kawida! WHO NEXT?Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini.
Umejuaje kwamba huko kusini mwa Afrika huwa wanateka matajiro for ransom wakati umeshasema masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lolote?Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.
Za kuambiwa changanya na zako.Yan ameachiwa saa tisa du ko huo muda wa saa tisa usiku ametoka nchi jilan akaletwa Tanzania?au alikua humu hum Tz tu wanacheza na akil zetu
Lazima upangiwe cha kufanya as long as you have shown some kind of pouting behavior,kid!Usinipangie cha kuandika....
Jus' smile and have a coke!You don't have to panic,boss!Kwendra.
Kama huna chakuandika pita vile uniquote.sikujibu tena.Lazima upangiwe cha kufanya as long as you have shown some kind of pouting behavior,kid!
Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!
Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!
Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom.
Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini.
Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.
Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?