jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!
Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!
Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.
Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.
Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.
Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
Mo maneno yake ya Kwanza baada ya kuombwa aongee kidogo alisema "namshukuru Mungu kwa kuwa niko salama, pia namshukuru mh rais......."
Anamshukuru mh rais kwa kipi? Nimejiuliza maswali yasiyokuwa na majibu
Mungu hausiki katika hili, huu ni ujinga kumshirikisha Mungu kwenye upumbavu wa Kibashite.Yote yatasemwa,ila Tumshukuru Mungu Mo kurudi salama.Maana haikua kitu cha mchezo kuingia kwenye mdomo wa mamba na kutoka salama.
Sasa ulitaka alalamike ili wamrudie tena????Usiwe bwege hivyo unafikiri tu ndani ya box!Conspirqcy ziko za aina nyingi,nenda kasome mikasa iliyowahi tokea duniani ili upanue uwezo wako wa kufikiri!Hivi kuna nchi yenye mabwege kuliko Tanzania? Mtekwaji halalamiki katekwa na serikali bali anaishukuru, nyie mnamlazimisha aseme katekwa na serikali!
Kinachotuchanganya zaidi ni hao watekaji kutumia gari hiyo hiyo kumrudisha MO hadi Gymkana bila kukamatwa japo ulinzi umeimarishwa kila kona.Ndugu wanabodi,
Ukiiangalia press ya IGP kisha ukaangalia majigambo ya Mambosasa akinesha gari iliyotajwa na IGP kuwa imepatikana na MO akiwa salama kabisa lazima utagundua kuwa kuna picha imechezwa hapa
Lakini yote kwa yote tumshukuru Mungu MO kapatikana salama
Aksante.
Umehuliza =Umeulizabora umehuliza Maana kuna watu cjui nisemeje ngoja nkae kimya[emoji87]
Cctv yenye drone automated inayofukuzia Gari, yenye eyefish I aangalia ndani na inauwezo kutoa picha ya Techno!!Mambosasa: Taarifa siku ya tukio,waliomteka Mo ni wazungu wawili
IGP: waliomteka Mo walikuwa na gari la nchi jirani ila hakulitaja,ila wataalamu wa kufuatilia lile gari walisema ni la Msumbiji
Mo amepatikana Dar es salaam lakin si Msumbiji, wala Afrika Kusini
Baada ya kupatikana:Mambosasa: waliomteka Mo walikuwa wasouth Afrika ,walikuwa wanaongea kilugha
Unaweza ukajiuliza maswali hapa ,kichwa kikaota upara bila kupenda
Husikii aibu?Tulia unaonekana unachemka sana.
Vile Vishindo tu vya Jeshi letu la Polisi, vimewafanya watekaji washindwe cha kufanya zaidi ya kusalenda.
Walikuwa wamezingirwa pande zote na hawana cha kufanya, hata kudai pesa walishindwa. Watadai kwa njia gani ?
Watalipwaje ?
Hawakuwa na namna zaidi ya kumwachia
Wangi mmeuangalia huu utekaji kirahisi sana.
Haikuwa rahisi hivyo.
Ndugu, wangejua kuwa wamebanwa hivyo wasingeendesha gari ile ile mpaka viwanja vya gymcanaTulia unaonekana unachemka sana.
Vile Vishindo tu vya Jeshi letu la Polisi, vimewafanya watekaji washindwe cha kufanya zaidi ya kusalenda.
Walikuwa wamezingirwa pande zote na hawana cha kufanya, hata kudai pesa walishindwa. Watadai kwa njia gani ?
Watalipwaje ?
Hawakuwa na namna zaidi ya kumwachia
Wangi mmeuangalia huu utekaji kirahisi sana.
Haikuwa rahisi hivyo.
Mdau kwa ilimu yakp unaamini hakuna wazungu wazawa wa SA.
Unaweza kuniambia sababu ya Mo kutekwa ni nini?Hawezi kuja kwani hata yeye mwenyewe alikuwa ameandaliwa cha kutueleza kabla ya kumuachia MO. Hata yale maelezo ktk simu ya MO sio yeye mwenyewe bali walitwit kwa niaba yake. NI AIBU KWA JESHI LA POLISI NA NI AIBU KWA SERIKALI NA NI AIBU KWA NCHI YETU. Mimi ningemshauri Jiwe aachane kabisa na mtoto pendwa kwani tutakuja kuyashuhudia mengi na makubwa zaidi ya haya.