Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Alipoongea chochote yaani kuwa kimya ni wale wale waliomteka Roma. Kifuatacho ni matajiri kusepa bongo Maana washajua next ni wao.
 
Ag: X Form 0 For Makonda Change yaani AGX 404 MC kaimu Rais kidato sifuri kime mbadilisha makonda sasa anakwenda TRA kuomba control number ya kukomboa makondena ya hotel za walimu pale bandarini 1 Billioni itakuwa imevutwa na hawa ma gangstars wa msimbati / msumbiji
 
Wewe mpumbavu unawadanganya mapoyoyo wa wapi? Ufipa au Buguruni?
Ndugu,huwa hauna habari wala kitu cha ukweli.Weye huwa ni kaongokaongo hadi unakera.Uzi huu utakupa picha tunavyokuonaga.Badilika au uwe unawadanganya CCM wenzio.Najua CCM hamuupendi ukweli ila ndiyo hivyo sasa.😂😂😂😂😂
 
Bila kusahau SAUTI KUBWA
 
Ukitegemea ndumba utakuwa vipi smart hata uwe na PhD,Kazi ya ndumba ni kupunguza uwezo wa kufikiri hata kwa vitu vya kutumia logic utatumia ndumba.
 
Yaani kelele za Lema ziwe msingi wa kupatikana Dewji lakini kelele hizo hizo zisiweze kumleta Ben Saanane? You must be joking!

Nani mwenye uhusiano wa karibu kikazi na kimaisha kati ya Lema na Ben Saanene au Dewji?

Kumbuka Ben Saanane alikuwa mfanyakazi wa CHADEMA

Ulichofanya ni kutoa shukrani ambazo hazina hata ukweli kifikra!
 
Pole MO. Karibu tena uraiani tuliendeleze. Ripoti polisi,unatafutwa. Itabidi ukitulia utuambie ilivyokuwa. Tuna maswali kibao
 
Radio One "MO amepatikana akiwa salama maeneo ya GymKhana Dar es salaam! Taarifa za hivi punde RadioOne saa 11:06 asubuhi tarehe 20 Oct 2018"
 
Wengine wamesha rip
 
Taarifa zimethibitishwa na Kamanda Mambosasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…