Na pia magazeti ya siku hiyo yanakuwa yameshatoka. Wakiandika siku inayofuata story inakuwa haina nguvu.
Ndugu, unasema sina habari wala kitu cha ukweli lakini huachi kusoma habari zangu!Ndugu,huwa hauna habari wala kitu cha ukweli.Weye huwa ni kaongokaongo hadi unakera.Uzi huu utakupa picha tunavyokuonaga.Badilika au uwe unawadanganya CCM wenzio.Najua CCM hamuupendi ukweli ila ndiyo hivyo sasa.😂😂😂😂😂
Sio simba ukiwekeza kwa watu watu ukuombea dua, na Mungu utendaBrother Mo, kama unanisoma ni hivi
ULIFANYA LA MAANA SANA KUWEKEZA KWENYE SIMBA SPORTS CLUB, WANASIMBA WOTE BILA KUJALI VYAMA VYAO TULIKUWA NYUMA YAKO.
Na laiti usingekuwa mmiliki wa Simba, Watu wasingekujua, Wasingefuatilia kutekwa kwako, Wasingepaza sauti waliyopaza!. Yaani nakueleza wazi brother Mo, Kwa mara ya Kwanza wale jamaa hatukwaelewa kabisaaa Stori na Matango Pori waliyotulisha!
SIMBA NGUVU MOJA!!!
Masharti hayo yanawekwa na nani? Mlipaji au anayedai? Hebu tuondelee ujinga wako hapa!Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!
Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!?
Nani aliyewahi kuzungumza yaliyomsibu hapo kabla? Miongoni mwa wote waliowahi kufanyiwa umafia nchi hii, ni nani aliyewahi kuzungumza? Au hawakuzungumza kwa sababu walilipa ransom?Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom.
Hiyo ni hoja yako na wana-Lumumba wenzako pamoja na genge lote la wahalifu kama wale ambao waliwahi hadi kuvamia studio! Hoja iliyo mbele ya wananchi ni je, baada ya kutoweka Ben Saanane na hatimae Mwandishi wa Mwananchi, kisha kutoweka kwa ROMA na baadae kuja kupatikana kabla hajatoweka Mo Dewji na kufuatiwa na drama za Kamanda Sirro; WHO'S NEXT! Usitake kuaminisha watu kwamba utekaji kwa sasa unalenga matajiri wakati utekaji nchi hii hivi sasa unaelekea kuwa ni jambo la kawida! WHO NEXT?Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini.
Nadhan ianze kampeni nzito kidogo ya kuwatafutaNa wale kina Ben saanane sijui watarudi lini!!!
Ungekaa kimya.Usipende kuamini kila uonacho utaadhirika.Say hi to your family!Kama yeye aliyetekwa kalishukuru jeshi LA polisi Mimi ni nani hasa mpaka nipinge?.
Press ya jana ilikuwa inafungua milango ya Mo kurudi
Hawezi kusema !! Ya Roma hayo.Kaachiwa kwani alikuwa anashikiliwa na nani ?
Lazima nisome habari zako.Yaani nimpuuzie adui?Ntakuwa very hopeless!Ndugu, unasema sina habari
wala kitu cha ukweli lakini huachi kusoma habari zangu!
Huoni kuwa hoja yako inaonyesha hujui hata mantiki ya kile ulichokiandika?
Yaani kelele za Lema ziwe msingi wa kupatikana Dewji lakini kelele hizo hizo zisiweze kumleta Ben Saanane? You must be joking!
Nani mwenye uhusiano wa karibu kikazi na kimaisha kati ya Lema na Ben Saanene au Dewji?
Kumbuka Ben Saanane alikuwa mfanyakazi wa CHADEMA
Ulichofanya ni kutoa shukrani ambazo hazina hata ukweli kifikra!