The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Duh inasikitisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi mtupu,michezo ya kitoto wanayofanya inaigharimu nchi kiuchumi,bashite na jiwe acheni michezo ya kitoto.
Ameachiwa Saa Tisa na dakika kumi na tano Usiku
MANENO kuntu walahiMungu ni mwema, karibu sana MO uraini.
Pole sana kwa yote yaliyokusibu, Poleni ndugu, jamaa, marafiki, wafanyakazi na mashabiki wa MO kwa kipindi chote.
Tuombe Mungu mambo mabaya kama haya yasijitokeze tena kwenye taifa letu.
Mungu ibariki Tanzania
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sky hebu ulizia kama na Mo alijipulizia pafyum km yule Nondo wa Udsm?
Hii sentensi ina ukweli mkubwa ,maigizo matupuUkiona tukio kubwa la kijinai limetokea na ndani ya siku mbili hajakamatwa mtu basi wewe endelea kufanya shughuli zako mkuu.
Ulilosema in jambo zito kabisa linalo ongeza maswali mazitoHivi huyu waziri alivyotekwa tu alikuwa wa kwanza kutuambia kaongea na babake, leo usiku huu ni yeye kawa wa kwanza kutuambia kaongea nae! Mo hakuwa kwa mjomba wake ati yuko nyumbani kwake salama! Alitakiwa awe kituo cha police kuisaidia maelezo, then hosipitali then jeshi lireport yuko salama. Huwezi kutoweka, au kotoweshwa then ukarudi au kurudishwa nyumbani ikaishia hapo. Ngoja kukuche.
Polisi wenyewe hawajui kilichotokea, MO wapeleke hiyo hela kwa yatimaNatumaini Billion 1 inaenda kwa Jeshi la Polisi. Au inaenda kwa Lema na Zitto