DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Mtoa mada
Acha kua kichwa maji
Ushaambiwa kua ni Wazungu wawili wa Msumbiji ndio walomteka MOO.
Na gari ilotumika ishaonyeshwa, kua ilinaswa na CCTV.
Kua na amani,nchi yetu iko salama sana.
Bila shaka,
Jeshi letu tiifu litawafikisha mahakamani watekaji hivi punde.
Acha kua kichwa maji
Ushaambiwa kua ni Wazungu wawili wa Msumbiji ndio walomteka MOO.
Na gari ilotumika ishaonyeshwa, kua ilinaswa na CCTV.
Kua na amani,nchi yetu iko salama sana.
Bila shaka,
Jeshi letu tiifu litawafikisha mahakamani watekaji hivi punde.