THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,055
- 4,695
Ndugu yangu ufia chama na serikali usikutoe utu na roho ya kibinadamu.HAHAHAHA
MWANA MLAAAANIWA WALAHI
USA JAMAL KHASHOGGI YUKO KOONI, hana mpango na wewe imbecile uwiii!
Vijana wamatukio mmedoda walahi
Ebu jiweke nafasi ya mke ama mwanafamilia wa MO katika kipindi alichotekwa walikuwa na hali gani?
Ebu jaribu kuwa na utu na ubinadamu kidogo.