Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Hao hawawezi eleza ukweli bali watafunikafunika tu.
Kila mwananchi anawajibika kwanza kwa uma wa watanzania. Polisi walipaswa kukaa naye kwa muda na kumhoji kwa undani na kutupatia taarifa kamili. Kama polisi wamemwambia apumzike nyumbani kisha aendelee na majukumu yake ya kawaida, basi angalau awajibike kutupa sisi wananchi mrejesho.
 
Ni imani yangu kuwa mpaka sasa familia imeshapoa na kujua angalau kwa juu juu kilichomsibu mtoto wao. Ikumbukwe kuwa familia iliitisha press conference na kuutaarifu uma kuhusu tukio la kupotea kwa Mo. Pia ilitoa ahadi ya tuzo (baunty) kwa atakayefanikisha kupatikana mtoto wao.

Ni maoni yangu kuwa familia ingeitisha PRESS CONFERENCE kuutaarifu uma kuhusu kupatikana kwa Mo. Pia ijibu angalau maswali machache ili kuondoa kelele zinazoendelea kwenye mitandao ya kijamii. Wana wajibu wa kuwaeleza watanzania ukweli wa haya mambo kwa faida yao na ya jamii kwa ujumla.

Nawasilisha
Mlipeleka taarifa?
 
Toyota surf iliyomrudisha MO, tofauti na iliyomteka au? Mbona surf ya picha ya Siro tofauti na hii ambayo imezungushiwa mkanda leo
 
Tangu kutekwa kwa Mo Dewji, ni wapinzani kwa kushirikiana na watanzania wengine ndio waliokuwa wamesimama mstari wa mbele kupaza sauti kutaka MO apatikane huku watu wa upande fulani karibu wote wakiwa kimya zaidi ya ku-tweeet tu kusikitishwa na tukio hilo.

Mnaoshabikia upinzani ufe tukio hili liwafumbue macho na mjiulize ingekuwaje kama wote tungekuwa wa chama kimoja kama mnavyotaka.

Waliobuni mfumo wa vyama vingi hawakuwa wajinga hivyo na nyinyi mnaotaka turudi katika huo mfumo muache kuwa wajinga.
Wajinga katika ubora wao. Ngoja waje kumwaga pumba zao!
 
Ni imani yangu kuwa mpaka sasa familia imeshapoa na kujua angalau kwa juu juu kilichomsibu mtoto wao. Ikumbukwe kuwa familia iliitisha press conference na kuutaarifu uma kuhusu tukio la kupotea kwa Mo. Pia ilitoa ahadi ya tuzo (baunty) kwa atakayefanikisha kupatikana mtoto wao.

Ni maoni yangu kuwa familia ingeitisha PRESS CONFERENCE kuutaarifu uma kuhusu kupatikana kwa Mo. Pia ijibu angalau maswali machache ili kuondoa kelele zinazoendelea kwenye mitandao ya kijamii. Wana wajibu wa kuwaeleza watanzania ukweli wa haya mambo kwa faida yao na ya jamii kwa ujumla.

Nawasilisha
Hizi.siasa unazozitaka familia ile hazina hizo harakati na wamempata mtoto wao basi ila ukitaka hizo harakati zenu kafanyie pale ufipa kwenu kwenye ile grocery yenu
 
ccm ni genge la uhalifu. kwao uhai wa raia sio suala la msingi ndo maana waziri wao alipiga marufuku watu kujadili suala la kutekwa mo kinyume na katiba ya nchi...
 
Dhuu sasa hapo gymkana alitokaje hapo na alifikaje home kwake. Je alitembea kwa mguu hadi home au police ndo walomuokota.
 
Tangu kutekwa kwa Mo Dewji, ni wapinzani kwa kushirikiana na watanzania wengine ndio waliokuwa wamesimama mstari wa mbele kupaza sauti kutaka MO apatikane huku watu wa upande fulani karibu wote wakiwa kimya zaidi ya ku-tweeet tu kusikitishwa na tukio hilo.

Mnaoshabikia upinzani ufe tukio hili liwafumbue macho na mjiulize ingekuwaje kama wote tungekuwa wa chama kimoja kama mnavyotaka.

Waliobuni mfumo wa vyama vingi hawakuwa wajinga hivyo na nyinyi mnaotaka turudi katika huo mfumo muache kuwa wajinga.
Utulivu nao ni busara. Kwanini hizo kelele za upinzani hazijamsaidia Saa 8. Au ni kweli hiyo kazi ni ya ndani!
 
Back
Top Bottom