"and very fortunately " hicho kiingereza gani wewe? Unafikiria kwa kiswahili na kuandika kwa kiingereza, Kweli mnafundishwa elimu ahera, mnafundishwa na kusomewa kitabu na lugha msiyoijua,What a great title.
You know in the holy bible harlots are saints and very fortunately (or is it unfortunate) they are the ancestors of Jesus in the so called "genealogy of Jesus", Imagine a man without a father who was born miraculously given a genealogy of all males except one woman who is a harlot according to THE bible. You know her name?
Tanzania ni zaidi ya Kariakoo. Tokeni Kariakoo muende huku na kule muifahamu nchi yenu. Faiza na Mzee Said mnapenda kuonyesha ubaguzi wenu waziwazi kwa watu wasiohusika na shutuma zenu. Kwa nafasi zenu ktk jamii na watu mnaofahamiana nao mnaweza kurekebisha yote mnayonung'unikia bila kujenga chuki za kidini.
Achana na mambo hayo mpenzi loh, kumbe upo? Nimekumisije?Unajuwa maana ya dini?
goodness me.. you an encyclopedia? which moron christened you as such, girlfriend?I love you too and I love google more than you.
Yes its me, many have told me before "you are a walking encyclopedia". Calling me google is new but isn't google an open encyclopedia? Does not surprise me at all.
Believe you me, I will never cease to amaze you.
Keep it up.
Jee, umewahi kumsoma Mshume Kiyate?
Sooth,Tanzania ni zaidi ya Kariakoo. Tokeni Kariakoo muende huku na kule muifahamu nchi yenu. Faiza na Mzee Said mnapenda kuonyesha ubaguzi wenu waziwazi kwa watu wasiohusika na shutuma zenu. Kwa nafasi zenu ktk jamii na watu mnaofahamiana nao mnaweza kurekebisha yote mnayonung'unikia bila kujenga chuki za kidini.
goodness me.. you an encyclopedia? which moron christened you as such, girlfriend?
mine wasn't an accolade....i was actually asking you to google the term "harlot", girlfriend.
yep, i know the story about mzee Kiyate. and also i know what you're trying to insinuate here, but you can't get me on that, baby!
Hoya mbavu, utaniua kwa kipigo lkn lazima nikuache na ngeu, utamuitaje demu wangu love?google baby....google!
i love you! mwaaa!
Kwa hiyo awaachie tu Waislamu waingie kuangamiza watu kwa mabomu nchini kwake??Huyo Trump wako ni pumzi tu alizomjaalia mungu ndio zinamuangaisha,Hiyo America ameikuta na ataiacha
hahahaaaa!Hoya mbavu, utaniua kwa kipigo lkn lazima nikuache na ngeu, utamuitaje demu wangu love?
Huyo bi mkubwa kitu changu kitambo, usinitafute ubaya na jamhuri, nikishika kitu cha chuma huwa sirudishi chini
Ulishawahi kusikia madawa ya kulevya yanatoka Vatican??Ulishawahi kusikia kuna Askofu ameshawahi kufanya Ugaidi au kujilipua??Kenstar,
Nakuomba nijibu kwa ukweli.
Wawaweza wakakamatwa maaskofu wakawekwa rumande Segerea
kisha wakalawitiwa?
Mbunge akalileta suala hilo Bungeni na Waziri wa Mambo ya ndani
akajibu kuwa uchunguzi utafanyika ili kujua kuwa isiwe hao maaskofu
walikuwa wakifanya mambo haya kabla.
Hili linawezekana?
Nanren,
Kifua chako kimejaa joto.
Hebu soma hapo chini wasomaji wapya wakufahamu na wanifahamu na mimi.
Nadhani unazo kumbukumbu ya hayo hapo chini:
Nanren,
Aliyewekwa kizuizini si baba yangu.
Aliyewekwa kizuizini ni babu yangu Salum Abdallah.
Hakuwekwa kwa ajili ya dini.
Yeye alikuwa Mwenyekiti wa Tanganyika Railway African Union (TRAU)
chama alichokiasisi na kuwa mwenyekiti wake mwaka wa 1955 Kasanga
Tumbo akiwa katibu.
TRAU ilipigana bega kwa bega katika uhuru wa Tanganyika na babu yangu
ni katika wanachama wa mwanzo wa TANU Tabora.
Yeye alikuwa katika kamati ya siri iliyokuwa ikifanya mikutano mjini hapo
kwa matayarisho ya kuundwa TANU.
Salum Abdallah alipigana kwa hali na mali katika kupambana na ukoloni.
Mwaka wa 1947 aliongoza General Strike halikadhalika mwaka wa 1949.
Mwaka wa 1960 aliongoza mgomo wa Railway uliodumu siku 82 kuvunja
rekodi ya mgomo wa siku 62 ulioongozwa na Makhan Singh Kenya.
Salum Abdallah alikamatwa na kuwekwa kizuizini baada ya maasi ya KAR
ya mwaka wa 1964 pamoja na viongozi wengine wa vyama vya wafanyakazi.
Lakini kesi ile ya waasi ilipokwenda mahakamani hawa viongozi wa vyama vya
wafanyakazi hawakushitakiwa kwa uasi.
Kuwekwa kwao ndani ilikuwa Mwalimu Nyerere anatafuta nafasi ya kuunda
chama kimoja cha wafanyakazi kitakachowekwa chini ya TANU.
Ule mgomo wa mwaka wa 1960 ndiyo uliomtia hofu Mwalimu Nyerere kwa
kudhihirikiwa kuwa kulikuwa na viongozi wa watu kama yeye ambao walikuwa
wakisikilizwa na wananchi.
Mara tu baada ya uhuru mwaka wa 1962 Nyerere aliitisha mkutano Moshi wa
viongozi wa wafanyakazi agenda ikiwa kuwa na chama kimoja chini ya TANU.
Babu yangu alikuwa mmoja wa watu waliompinga katika wazo hilo kwa hoja nzito.
Nyerere hakufurahishwa na yeye.
Babu yangu alipotoka kizuizini alijitoa katika siasa na kujikita katika biashara na
kilimo cha tumbuku Urambo.
Alipokufa mwaka wa 1974 TANU ilifika mazikoni na walisoma taazia ya kumsifia
wakisema kuwa Salum Abdallah aliweka mfuko wake wazi kwa TANU wakati
wa kupigania uhuru.
Babu yangu hakupata kujiunga na AMNUT yeye alikuwa TANU hadi alipohisi usaliti
ndani ya chama uliosababisha yeye kuwekwa kizuizini kwa shutuma za uongo.
Bahati mbaya sana umekuwa ukiamini kuwa babu yangu aliwekwa ndani kwa ajili
ya Uislam.
Naamini kuanzia sasa unampa babu yangu heshima anayostahili kama mpigania
haki na uhuru wa Tanganyika.
Itapendeza kama ndugu zangu mkajizuia kuandika mambo ambayo hamyajui.
Hiyo unayoita ''chokochoko,'' ukiwa unataka kuelewa historia yake fungua uzi In
Shaallah nitakuja na nitatoa darsa.
I love you too and I love google more than you.
Yes its me, many have told me before "you are a walking encyclopedia". Calling me google is new but isn't google an open encyclopedia? Does not surprise me at all.
Believe you me, I will never cease to amaze you.
Keep it up.
Jee, umewahi kumsoma Mshume Kiyate?
Nanren,Déjà vu
Ad nau·se·am!
great, baby.... now square. i mean apart from the Jesus thing which i wouldn't want to get drawn into, of course.I know what harlot means and I've even told you the ancestor of Jesus was one. Isn't it amazing?
Where did you read "the story about mzee Kiyate".
I am not trying to get anybody here, I am just appreciating the learned like you coming into terms with truth.
Now, answer my above question please and be truthful.
Mr What,Ulishawahi kusikia madawa ya kulevya yanatoka Vatican??Ulishawahi kusikia kuna Askofu ameshawahi kufanya Ugaidi au kujilipua??
Matendo ya Waislamu ndiyo yanayowasababishia matatizo duniani....imefika wakati sasa ukiona jitu lenye madevu lililovaa kofia ya ajabuajabu kanzu na makubazi linaogopewa kama gaidi dunia nzima kutokana na matendo ya waislamu
Nanren,
Nilijua hutofika mbali na mimi...
Political History.Kumbe ni DINI
Déjà vu
Ad nauseam!