Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

What a great title.

You know in the holy bible harlots are saints and very fortunately (or is it unfortunate) they are the ancestors of Jesus in the so called "genealogy of Jesus", Imagine a man without a father who was born miraculously given a genealogy of all males except one woman who is a harlot according to THE bible. You know her name?
"and very fortunately " hicho kiingereza gani wewe? Unafikiria kwa kiswahili na kuandika kwa kiingereza, Kweli mnafundishwa elimu ahera, mnafundishwa na kusomewa kitabu na lugha msiyoijua,
 
Tanzania ni zaidi ya Kariakoo. Tokeni Kariakoo muende huku na kule muifahamu nchi yenu. Faiza na Mzee Said mnapenda kuonyesha ubaguzi wenu waziwazi kwa watu wasiohusika na shutuma zenu. Kwa nafasi zenu ktk jamii na watu mnaofahamiana nao mnaweza kurekebisha yote mnayonung'unikia bila kujenga chuki za kidini.


Alama Mohamed Said nnakuomba nisaidie, muongezee Sooth vipande vya nje ya Kariakoo japo kiduchu alainishe koo lake maana vilivyomo havijamkata kiu.

Sooth, unanishangaza sana, hivi umeisoma mada? Nimeona Iran hummo, nimeona Lagos humo, kwenye ma posts nikaona Amsterdam, Switzerland hadi New York! Tutoke vipi tena Kariakoo zaidi ya hivyo?

Labda utupe wewe basi vya nje ya Kariakoo, au huna?
 
I love you too and I love google more than you.

Yes its me, many have told me before "you are a walking encyclopedia". Calling me google is new but isn't google an open encyclopedia? Does not surprise me at all.

Believe you me, I will never cease to amaze you.

Keep it up.

Jee, umewahi kumsoma Mshume Kiyate?
goodness me.. you an encyclopedia? which moron christened you as such, girlfriend?

mine wasn't an accolade....i was actually asking you to google the term "harlot", girlfriend.

yep, i know the story about mzee Kiyate. and also i know what you're trying to insinuate here, but you can't get me on that, baby!
 
Tanzania ni zaidi ya Kariakoo. Tokeni Kariakoo muende huku na kule muifahamu nchi yenu. Faiza na Mzee Said mnapenda kuonyesha ubaguzi wenu waziwazi kwa watu wasiohusika na shutuma zenu. Kwa nafasi zenu ktk jamii na watu mnaofahamiana nao mnaweza kurekebisha yote mnayonung'unikia bila kujenga chuki za kidini.
Sooth,
Una joto la kifua linakuzonga.

Huu ni mjadala wa historia ya uhuru wa Tangnayika na mfano wa hayo.
Huna cha kuchangia katika mjadala huu unaleta yasiyokuwapo.

Unadhani siijui nchi yangu unaandika kwa dhana tu.
Mimi nina kitabu kizima kuhusu historia ya Tanganyika na it is ''the book.''

Mimi nilikuwa Mtafiti Msaidizi wa Dr. Harith Ghassany wakati anaandika
kitabu chake cha historia ya Zanzibar, ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru.''

Harvard wameniletea orodha ya majina ya watu mashuhuru wa toka enzi
ya Tanganyika niwashauri ni majina gani yaingie katika Dictionary of African
Biogrpahy (DAB).

Bado niwe sijui mjuaji uwe wewe?
Ati nitoke Karikaoo...

Naujua ulimwengu.

Nimekuambia soma zile rejea Sivalon kamtaja mbaguzi.
P van Bergen kamtaja mbaguzi na wala si sisi.

Njozi kaeleza ubaguzi unavyotendeka umeita, ''myth,'' na ''conspiracy
theory.''

Katika kitabu cha Sykes kuna topic ya ''conspiracy theory,'' ungependa
niweke hapa Majlis wana jamvi wasome nini nimesema?

Ushamsoma Sheikh Suleiman Takadir na ukajua ni nani katika kupigania
uhuru wa Tanganyika?

Mimi na Maalim Faiza tuko hapa kutoa Elimu Bila Khiyana.
 
goodness me.. you an encyclopedia? which moron christened you as such, girlfriend?

mine wasn't an accolade....i was actually asking you to google the term "harlot", girlfriend.

yep, i know the story about mzee Kiyate. and also i know what you're trying to insinuate here, but you can't get me on that, baby!

I know what harlot means and I've even told you the ancestor of Jesus was one. Isn't it amazing?

Where did you read "the story about mzee Kiyate"?

I am not trying to get anybody here, I am just appreciating the learned like you coming into terms with truth.

Now, answer my above question please and be truthful.
 
google baby....google!

i love you! mwaaa!
Hoya mbavu, utaniua kwa kipigo lkn lazima nikuache na ngeu, utamuitaje demu wangu love?

Huyo bi mkubwa kitu changu kitambo, usinitafute ubaya na jamhuri, nikishika kitu cha chuma huwa sirudishi chini
 
Hoya mbavu, utaniua kwa kipigo lkn lazima nikuache na ngeu, utamuitaje demu wangu love?

Huyo bi mkubwa kitu changu kitambo, usinitafute ubaya na jamhuri, nikishika kitu cha chuma huwa sirudishi chini
hahahaaaa!

mume mwenza miye, basi!
 
Kenstar,
Nakuomba nijibu kwa ukweli.

Wawaweza wakakamatwa maaskofu wakawekwa rumande Segerea
kisha wakalawitiwa?

Mbunge akalileta suala hilo Bungeni na Waziri wa Mambo ya ndani
akajibu kuwa uchunguzi utafanyika ili kujua kuwa isiwe hao maaskofu
walikuwa wakifanya mambo haya kabla.

Hili linawezekana?
Ulishawahi kusikia madawa ya kulevya yanatoka Vatican??Ulishawahi kusikia kuna Askofu ameshawahi kufanya Ugaidi au kujilipua??
Matendo ya Waislamu ndiyo yanayowasababishia matatizo duniani....imefika wakati sasa ukiona jitu lenye madevu lililovaa kofia ya ajabuajabu kanzu na makubazi linaogopewa kama gaidi dunia nzima kutokana na matendo ya waislamu
 
Nanren,
Kifua chako kimejaa joto.
Hebu soma hapo chini wasomaji wapya wakufahamu na wanifahamu na mimi.
Nadhani unazo kumbukumbu ya hayo hapo chini:

Nanren,
Aliyewekwa kizuizini si baba yangu.
Aliyewekwa kizuizini ni babu yangu Salum Abdallah.

Hakuwekwa kwa ajili ya dini.

Yeye alikuwa Mwenyekiti wa Tanganyika Railway African Union (TRAU)
chama alichokiasisi na kuwa mwenyekiti wake mwaka wa 1955 Kasanga
Tumbo
akiwa katibu.

TRAU ilipigana bega kwa bega katika uhuru wa Tanganyika na babu yangu
ni katika wanachama wa mwanzo wa TANU Tabora.

Yeye alikuwa katika kamati ya siri iliyokuwa ikifanya mikutano mjini hapo
kwa matayarisho ya kuundwa TANU.

Salum Abdallah alipigana kwa hali na mali katika kupambana na ukoloni.
Mwaka wa 1947 aliongoza General Strike halikadhalika mwaka wa 1949.

Mwaka wa 1960 aliongoza mgomo wa Railway uliodumu siku 82 kuvunja
rekodi ya mgomo wa siku 62 ulioongozwa na Makhan Singh Kenya.

Salum Abdallah alikamatwa na kuwekwa kizuizini baada ya maasi ya KAR
ya mwaka wa 1964 pamoja na viongozi wengine wa vyama vya wafanyakazi.

Lakini kesi ile ya waasi ilipokwenda mahakamani hawa viongozi wa vyama vya
wafanyakazi hawakushitakiwa kwa uasi.

Kuwekwa kwao ndani ilikuwa Mwalimu Nyerere anatafuta nafasi ya kuunda
chama kimoja cha wafanyakazi kitakachowekwa chini ya TANU.

Ule mgomo wa mwaka wa 1960 ndiyo uliomtia hofu Mwalimu Nyerere kwa
kudhihirikiwa kuwa kulikuwa na viongozi wa watu kama yeye ambao walikuwa
wakisikilizwa na wananchi.

Mara tu baada ya uhuru mwaka wa 1962 Nyerere aliitisha mkutano Moshi wa
viongozi wa wafanyakazi agenda ikiwa kuwa na chama kimoja chini ya TANU.

Babu yangu alikuwa mmoja wa watu waliompinga katika wazo hilo kwa hoja nzito.

Nyerere hakufurahishwa na yeye.

Babu yangu alipotoka kizuizini alijitoa katika siasa na kujikita katika biashara na
kilimo cha tumbuku Urambo.

Alipokufa mwaka wa 1974 TANU ilifika mazikoni na walisoma taazia ya kumsifia
wakisema kuwa Salum Abdallah aliweka mfuko wake wazi kwa TANU wakati
wa kupigania uhuru.

Babu yangu hakupata kujiunga na AMNUT yeye alikuwa TANU hadi alipohisi usaliti
ndani ya chama uliosababisha yeye kuwekwa kizuizini kwa shutuma za uongo.

Bahati mbaya sana umekuwa ukiamini kuwa babu yangu aliwekwa ndani kwa ajili
ya Uislam.

Naamini kuanzia sasa unampa babu yangu heshima anayostahili kama mpigania
haki na uhuru wa Tanganyika.

Itapendeza kama ndugu zangu mkajizuia kuandika mambo ambayo hamyajui.

Hiyo unayoita ''chokochoko,'' ukiwa unataka kuelewa historia yake fungua uzi In
Shaallah nitakuja na nitatoa darsa.

Déjà vu
Ad nauseam!
 
I love you too and I love google more than you.

Yes its me, many have told me before "you are a walking encyclopedia". Calling me google is new but isn't google an open encyclopedia? Does not surprise me at all.

Believe you me, I will never cease to amaze you.

Keep it up.

Jee, umewahi kumsoma Mshume Kiyate?

Maalim Faiza,
You have always amazed me...

Hili neno vijana wa sasa na wanangu hawaishi kulisema, ''Amazing...''
Na mimi mzee wao najifunza upya Kiingereza kutoka kwao mara
wananambia,'' What a throwback.''

Nauliza kwa mshangao, ''Throwback...!?''

Rafiki yangu mwenyeji wangu tunapita Mississippi River sasa ananipa
hadithi ya mto huo.

Nikamwambia, ''Jim, don't waste your breath I have been here many
times with my friends, Huckleberry Finn and Tom Sawyer...''

Jim kaniangalia usoni kisha akanambia,'' Mohamed you never cease to
amaze me...''

Maalim Faiza wanavyotufikiri sivyo tulivyo.

Unakumbuka vumbi lililomwagika nilipowaambia jamaa hapa kuwa
hotuba iliyosomwa na Mwalimu Nyerere UNO 1955 iliandikwa na
timu ya kina Abdul Sykes 1950?

Badala ya hata kuwa na akili ya kuuliza walichokijua ni kunitukana
na kutoa kejeli.

Walitulia nilipowaelekeza kwa Cranford Pratt na nilifanya vile kwa
makusudi nilijua huyu watamuamini.

Sikutaka kutoa rejea katika myaraka zake Abdul Sykes...
Amazing!
 
I know what harlot means and I've even told you the ancestor of Jesus was one. Isn't it amazing?

Where did you read "the story about mzee Kiyate".

I am not trying to get anybody here, I am just appreciating the learned like you coming into terms with truth.

Now, answer my above question please and be truthful.
great, baby.... now square. i mean apart from the Jesus thing which i wouldn't want to get drawn into, of course.

pre- & post-Tanganyika independence times (or thereabouts), mzee Myate used to be Mwl Nyerere's friend or sponsor or something - whatever.

as for your question...can you come again, sweetheart?
 
Ulishawahi kusikia madawa ya kulevya yanatoka Vatican??Ulishawahi kusikia kuna Askofu ameshawahi kufanya Ugaidi au kujilipua??
Matendo ya Waislamu ndiyo yanayowasababishia matatizo duniani....imefika wakati sasa ukiona jitu lenye madevu lililovaa kofia ya ajabuajabu kanzu na makubazi linaogopewa kama gaidi dunia nzima kutokana na matendo ya waislamu
Mr What,
Unaijua Banco Ambrossiano?
Naamini hujui ndiyo maana umekuja na maneno hayo hapo juu.

Waulize viongozi wako watakueleza.
 
Nanren,
Nilijua hutofika mbali na mimi...

Nipo.
Lete mapya.
Haya unayorudia rudia, kwangu yamechuja...

Nayachukulia tu kama "among the greatest hoaxes ever told"

Ukileta mapya tutaenda hata 100k pages. Ondoa shaka kwa hilo.
 
Nanren,
Hujui kitu huwezi kunikamata mimi kwa kalamu si wewe hata waalim wako.

Unaujua moto wangu ndiyo maana umekuwa mtumwa wangu unashindwa
kujitoa kwangu ndiyo sababu unasoma kila neno niandikalo.
 
Back
Top Bottom