Hongera sana kwa kuusimamia ukweli na kutokuogopa vitisho vya hawa viumbe wa hapa duniani kiukweli ni mengi unayajua naniyakweli tupu ila kwakuwa hawapendi uyaweke wazi hivyo watakusakama sana na mengi watakuzushia ila kwakuwa unasimamia ukweli yakupasa ujue kuwa hivyo ni vitisho tuu ukweli utabaki kuwa ukweli tuu hongera sana mkuu.Sayfulhaq,
Ahsante kwa maneno yako ya hekima na dua njema kwangu.
Upo mzee.....Sayfulhaq,
Ahsante kwa maneno yako ya hekima na dua njema kwangu.
Huyu mzee Mohammed Said haijui system ya dunia hii....Hupingi sheria ya ugaidi ?
Soma maneno yako hapa chini Mnafiqun mkubwa!
"....nikaigeukia serikali ya Tanzania na kuishutumu vikali kwa kupitisha Sheria ya Ugaidi....
...nikaeleza kuwa sheria hiyo imepitishwa kwa sababu Bunge la Tanzania limehodhiwa na Kanisa
... Wakristo wamepata fursa ya bure ya kupambana na Uislam"
Hayo ni maneno yako hapo juu au utayaruka na kuyatapika kama kawaida?
Mkuu inawezekana hiyo system ya Dunia kweli haifahamu ila si yeye tu wengi ni jambo geni hilo, hivyo hebu nisaidie Ufahamu kuhusu hiyo system ya Dunia na inavyofanya kazi na unipe na Rejea kuhusu somo hilo!Huyu mzee Mohammed Said haijui system ya dunia hii....
Laiti km angeijua vzr system ya dunia asingekuja na hoja kwamba Kanisa limehozi bunge
Hongera sana kwa kuusimamia ukweli na kutokuogopa vitisho vya hawa viumbe wa hapa duniani kiukweli ni mengi unayajua naniyakweli tupu ila kwakuwa hawapendi uyaweke wazi hivyo watakusakama sana na mengi watakuzushia ila kwakuwa unasimamia ukweli yakupasa ujue kuwa hivyo ni vitisho tuu ukweli utabaki kuwa ukweli tuu hongera sana mkuu.
Yani yeye Uislamu wake wa siasa kali mwisho Chumbe, akishuka kwenye ndege Europe haraka sana anavua kanzu, vibaraghashia. Kuna benefit anazitaka kutoka Magharibi, hataki kuonekana ni half-schooled jihadist, anapenda kuingia kupiga picha Library of Congress n.k. Akirudi Afrika ana siasa kali. Akienda Uarabuni mujahedeena. Anajijua fika yuko kwenye watch list na anajua akijipindua tu wakamuona na paraphernalia za Kiislamu watamtia kwenye no-fly-zone!
Mara hii ni Waafrika uliowapa elimu kule Ibadan sio wamarekani tena!!!!!???Sanctus,
Nitakueleza jinsi Waafrika walivyokuwa hawajui baadhi mambo.
Mtu...Mara hii ni Waafrika uliowapa elimu kule Ibadan sio wamarekani tena!!!!!???
Mzee una walakin
Mtu...Mtu...
Hebu nifafanulie au kama hiyo ni nukuu yangu hebu iongeze urefu
niweze kujua nini nilisema ili nikujibu.
Ama kuhusu mimi kuwa na kasoro hilo mbona halina shaka wala
siwezi nikaghafilika kwa ukweli huo.
Banadamu ana kasoro.
Aliyekamilika ni Allah.
Kwanza kabisa unatakiwa kurudi nyuma kabisa ktk nyakati za mitume na manabii kisha ujifunze kupitia vitabu vya dini ambavyo vinaelezea history ya dunia pamoja na tawala zake vzr kabisa kuliko namna vile mtu awezavyo kuelezea.... Kisha hivo hivo vitabu va imani vinaelezea tumetoka wapi tuko wapi na tunaenda wapi...Mkuu inawezekana hiyo system ya Dunia kweli haifahamu ila si yeye tu wengi ni jambo geni hilo, hivyo hebu nisaidie Ufahamu kuhusu hiyo system ya Dunia na inavyofanya kazi na unipe na Rejea kuhusu somo hilo!
Great....Antonio,
Mimi ujuzi wangu upo kwenye historia ya Tanzania.
Vzr sn, globally system imehodhiwa na kanisa sasa karibu miaka 1700.... Najua kua huezi iamini Bible lkn Bible imeweka wazi hiyo kuhusu religious State....Antonio...
Huenda kweli sijui lakini niko tayari kujifunza.
Kwahyo hiyo system ya Dunia wewe umejifunzia kwenye Vitabu vya Dini na kuhitimisha kuwa Kanisa ndilo linashikilia Mamlaka za Mataifa yote duniani?
Na je vipi kwa Mataifa yale ambayo asilimia kubwa ya Wananchi wake hawaamini uwepo wa Mungu nayo unayazungumziaje?
Halafu mbona hujanipa Rejea yoyote kama proof ya hicho ulichoongea?
Mpaka hapo ulipoishia ni kuwa message yako inalenga kwenye udini..! acha udini mkuu na propaganda za chuki dhidi ya muislamu na mkristu.
REJEA.
“Nakuapieni nyie msingethubutu kumkamata Mkristo anaetoka Vatican mkutanoni. Lakini kwa kuwa mie ni Muislam sina wa kunitetea. Nchi hii nani atakuuliza kwa kumnyanyasa Muislam?” Walishtuka na wakawa wanyonge sana wakasema si kweli kuwa naponzwa na dini yangu.
Antonio,Great....
Vzr sn, globally system imehodhiwa na kanisa sasa karibu miaka 1700.... Najua kua huezi iamini Bible lkn Bible imeweka wazi hiyo kuhusu religious State....
Sisi tunacheza ngoma tu yao walioanzisha miaka