Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Sasa kama waislam walipigania vita ya uhuru sisi tuliozaliwa baada ya uhuru yanatuhusu nini? Yanatusaidia nini? Sisi tunajua hii nchi inaitwa Tanzania tutaishi hapa kwa Amani na upendo, Story zenu za mkoloni zimepitwa na wakati, Ongelea mambo ya teknolojia na maendeleo, Dini hizi ni propaganda za waarabu na wazungu, Wao wanakula bata mbaya na wanaenjoy maisha nyie wanawavisha makanzu na mabarakashia na Misalaba

Kanzu za pengo hujaziona?

Ntarudi.
 
Sasa kama waislam walipigania vita ya uhuru sisi tuliozaliwa baada ya uhuru yanatuhusu nini? Yanatusaidia nini? Sisi tunajua hii nchi inaitwa Tanzania tutaishi hapa kwa Amani na upendo, Story zenu za mkoloni zimepitwa na wakati, Ongelea mambo ya teknolojia na maendeleo, Dini hizi ni propaganda za waarabu na wazungu, Wao wanakula bata mbaya na wanaenjoy maisha nyie wanawavisha makanzu na mabarakashia na Misalaba
Gussie,
Ikiwa historia ya uhuru wa Tanganyika wewe haikuhusu ni sawa.
Wala hakuna mtu atakae kulazimisha uisome.

Lakini tuko sisi ambao imetuhusu kwa kuwa ni historia ya wazee
wetu na tunapenda kuiadhimisha.

Unaweza ukayasema yote uliyosema lakini jifunze kuvika nguo
maneno yako.

Hiyo ndiyo adabu na uungwana.
Hasifiwi mtu kwa matusi na ujuba.

Kwa wewe kunijibu mimi kwa kejeli utawakaribisha watu katika
mjadala huu wetu mabingwa wa hayo kukushinda.
 
babu buana mi napenda unavoandika kwa kiswahili fasaha tu. kilichonyooka. naam, hakika umejaaliwa.

taabu yangu kwako babu: kwa nini kila andiko lako lazima utie 'sumu' ya udini?

babu, hivi unaweza kututhibitishia maofisa waliokupekuwa walikuwa wakristo?
 
Kumbe anayofanya Trump yapo nchi mbalimbali kama za Saudia Saudi Arabia puts 30 Shias on trial for spying for Iran - World - DAWN.COM , Qatar, USA, Bahrain, Tanzania, Germany, Turkey, Australia n.k kuwa ukienda nchi Fulani (Iran, Sudan, Yemen) basi tegemea kupata mahojiano ya ziada na usalama wa taifa/uhamiaji ktk viwanja vyao vya ndege/balozi za nchi nyingi kama nilizozitaja hapo juu kwa uchache.

Hapa Mohamed Said anatufahamisha kuwa alifadhiliwa na Marekani ktk baadhi ya safari zake bila kufahamu kuwa inawezekana pia Marekani inatumia mbinu ya ''kumkumbatia '' mtu ili wamuelewe zaidi (intelligence collection) na hata kutuma taarifa zake kwa nchi ''rafiki''.
Bagamoyo,
Hayo usemayo si kweli kuwa wanaoingia katika nchi kama Saudi Arabia, Iran nk
wanafanyiwa mahojiano.

Nchi zote hizo ulizotaja nyingi nimefika na sijayaona hayo.
Ikiwa hayo yatafanyika itakuwa makhsusi kwa sababu maalum.

Hao Wamarekani wao wana kawaida ya kutaka kujua kila kitu
duniani na mimi nilikuwa na elimu ambayo wao walikuwa hawana.

Kabla ya kualikwa Marekani nilikuwa katika mradi wa Harvard na
Oxford University Press, New York wa kuandika Dictionary of
African Biography (DAB) kuanzia 2008.

Mradi huu ulikuwa wa kuandika historia ya watu mashuhuri Afrika
waliofanya mambo ya kutukuka.

Waliniletea orodha ya wanasiasa wengi wa Tanzania na kutaka
niwafahamishe ikiwa katika hiyo orodha wao watu, ''remarkable,''
ambao lazima watambulike.

Kazi hii ilikamilika 2011 na buku likatoka lina volume 6.

Kipindi hiki nilikuwa katika mradi mwingine na
Oxford University Press Nairobi kuandika vitabu vya historia kwa shule za msingi.

Labda nnikufahamishe kuwa nilikuwa member wa Library of Congress
toka 1980s.

Makala zangu nyingi zipo hapo Library of Congress.

Kwa hiyo mimi na rafiki zangu Wamarekani hatukukutana barabarani
chembelecho Edward Lowassa.

Urafiki wetu ni wa miaka mingi.

Tumegombana kwenye suala la Uislam baada ya mie kuandika hiyo
paper ya Ibadan.

Nitakuwekea link ya DAB hapo chini.

Sasa ndugu yangu wewe unajiandikia kwa dhana tu ukidhani kuwa
unajua.

Mohamed Said: KLEIST SYKES (1894 - 1949) KATIKA DICTIONARY OF AFRICAN BIOGRAPHY (DAB) OXFORD UNIVERSITY PRESS, NEW YORK

OpmpW5oZts8Ith7i6lSivWsqkp5OurvJf1ElyogVTYwDJ9uTtyZc_K-HJ71szPTqr7bC2wdkcRRvF69oyfGiEsHkeyRcAW1pL3A9ySxbsL1zPOztXoG3c3yy7fWXXeeUziPCwny7BjVTkyHYyTw8oezb4CBTzz6dOYZPdX_rFk5wAUKPPrwPDcZ_7jaAjiJzjDsM19OAQb859NcvSQLlQDpUZvHcgNJK3gGqjWKBZFais_M1Vr5f_MOiP2bEExXm9LFOz8cXjfULTjwR3tFJsuv53SG6zSYEh6Wbp1ZVWmjCs-iSjeMi6qTc9sqavfKFI6nb8Os1_VzS9I4jEFgoL3tNG5_eey2YM1NYtK92XjstsUGTaV1tdoBIN6fZ6GfPg-AJ3w_mOezRhjmmTxlMAnYK7cftsntJwOdTFXP1chRWQK8hQWpoYafL_mgfs4mwMX15L7pEeL1i8xR1iR61hQsO-_7tNM1MUmqPkk2tVm1u17ddOPteWlwDLUsyDrMG1uXREvoboJCuleZZmMZCbMW1kTbTHnxr9lGWfbaMlRBTW2S4WQyOA1D703pLtfQkz7HAbazV0oE5d4h9mSmoKgT5Ojm-5MAF2HV5lOEaaz-C_499jEeP=w1034-h692-no

Library of Congress, Washington DC
 
Kuwa na adabu huwezi kumuita Mohamed Said "we" kama a naleta udini katika mada zake acha kuzisoma sio unajitoa ufaham kwa kuwa upo nyuma ya keyboard.
Huyu mzee ni muhimu sana kwa elim ya historia hapa jamvini, kama unamuuliza, basi fanya hivyo kwa staha

Acha u.pu.m.bavu....majitu yanayoshindwa hoja yaananza vitisho..nani kakwambia Mohamed ni binadamu maalumu zaidi ya wanadamu wengine?

Hoja ndio zigombe,sio mnaleta vitisho vya kikoloni ku-suppress free speech."We" ni mtu na sio tusi,msilete udikteta maandazi.
 
babu buana mi napenda unavoandika kwa kiswahili fasaha tu. kilichonyooka. naam, hakika umejaaliwa.

taabu yangu kwako babu: kwa nini kila andiko lako lazima utie 'sumu' ya udini?

babu, hivi unaweza kututhibitishia maofisa waliokupekuwa walikuwa wakristo?
Ng'wanangwa,
Ukijaaliwa kupata wajukuu na wakakwita babu utaona raha yake.
Ungetamani uanze kwanza kupata mjukuu ndiyo kisha aje mwana.

Allah akupe umri tawil uje uonje raha ya ubabu.
Amin.

Kwa umri wangu wewe ni mwanangu huwezi kuwa mjukuu wangu.
Lakini sikukatazi kuniita babu maana ninae mjukuu wa chekechea.

Mimi sijaandika, ''udini,'' hata review za vitabu nilivyoandika hakuna
hata mwandishi mmoja aliyesema naandika, ''udini.''

Lakini yawezekana hukuwahi kusoma historia hii ninayoandika na ndiyo
maana inakutaabisha.

Wewe si wa kwanza.
 
Acha u.pu.m.bavu....majitu yanayoshindwa hoja yaananza vitisho..nani kakwambia Mohamed ni binadamu maalumu zaidi ya wanadamu wengine?

Hoja ndio zigombe,sio mnaleta vitisho vya kikoloni ku-suppress free speech."We" ni mtu na sio tusi,msilete udikteta maandazi.
Lebron,
Hapana haja ya kughadhibika ndugu yangu.

Katika ustaarabu wa kikwetu na katika adabu ambazo sisi
tumefunzwa na mama zetu ni vibaya kumwita mtu, ''wee.''

Sasa yawezekana kuwa mlikotoka nyinyi hilo si tusi.

Tustahamiliane kwani sisi hapa tumechanganyika kutoka
sehemu mbalimbali.
 
Gussie,
Ikiwa historia ya uhuru wa Tanganyika wewe haikuhusu ni sawa.
Wala hakuna mtu atakae kulazimisha uisome.

Lakini tuko sisi ambao imetuhusu kwa kuwa ni historia ya wazee
wetu na tunapenda kuiadhimisha.

Unaweza ukayasema yote uliyosema lakini jifunze kuvika nguo
maneno yako.

Hiyo ndiyo adabu na uungwana.
Hasifiwi mtu kwa matusi na ujuba.

Kwa wewe kunijibu mimi kwa kejeli utawakaribisha watu katika
mjadala huu wetu mabingwa wa hayo kukushinda.

Mkuu Mohamed

Nina swali dogo sana,hivi kati ya mabinti zako ulio nao,akatokea mhindu au mkristo au mpagani kabisa anataka kumuoa,na wamependana ni watu wazima kwa hiyari yao,utakubali kumuozesha bintiyo kwa huyu mtu?

Kwanini una chuki sana na dini zingine hasa ukristo?Tatizo lako ni nini hasa?

Dini iliyoujaza moyo wako chuki kubwa namna hiyo haikufai...hiyo mifumo unayoisemea an innocent christian do not know them but again unamchukia huyu poor human being...

Usinidanganye huna chuki,you have an embedded hatred inherently in you....huwenda huwezi jua ila unayo,ukikataa ni denial tu.

I wonder mtu unaishi kwa hatred namna hii dunia hii sababu tu kuna kitabu kimesema hivyo....hizi dini ni za kuacha altogether...mwanadamu uliekamilika,mwenye ubongo sahihi,huna haja ya kufuata alichoandika mwanadamu mwenzio eti ukifuata ndio maisha sahihi wakati na yeye naye ana madhaifu ya kibanadamu kama wewe...hebu sometimes tutumie common sense tusisababishe maumivu kwa wanadamu wenzetu...dini ni useless na ni vyanzo vya chuki,hii ni kweli ni proven.
 
Mkuu Mohamed

Nina swali dogo sana,hivi kati ya mabinti zako ulio nao,akatokea mhindu au mkristo au mpagani kabisa anataka kumuoa,na wamependana ni watu wazima kwa hiyari yao,utakubali kumuozesha bintiyo kwa huyu mtu?

Kwanini una chuki sana na dini zingine hasa ukristo?Tatizo lako ni nini hasa?

Dini iliyoujaza moyo wako chuki kubwa namna hiyo haikufai...hiyo mifumo unayoisemea an innocent christian do not know them but again unamchukia huyu poor human being...

Usinidanganye huna chuki,you have an embedded hatred inherently in you....huwenda huwezi jua ila unayo,ukikataa ni denial tu.

I wonder mtu unaishi kwa hatred namna hii dunia hii sababu tu kuna kitabu kimesema hivyo....hizi dini ni za kuacha altogether...mwanadamu uliekamilika,mwenye ubongo sahihi,huna haja ya kufuata alichoandika mwanadamu mwenzio eti ukifuata ndio maisha sahihi wakati na yeye naye ana madhaifu ya kibanadamu kama wewe...hebu sometimes tutumie common sense tusisababishe maumivu kwa wanadamu wenzetu...dini ni useless na ni vyanzo vya chuki,hii ni kweli ni proven.
Lebron sina chuki na mtu.
Unautoa mjadala katika maudhui yake.

Itapendeza kama tunajadiliana kilichokusudiwa.
 
Maandishi ya Sheikh Mohamed Said hayakamiliki bila kuunyooshea kidole Ukristo. Kwamba Ukristo ndio unarudisha nyuma jitihada za Waisilamu wa Tanzania kujiletea maendeleo yao wenyewe. Hivyo ni sahihi kuhitimisha kwamba ukiondoa Ukristo Tanzania , waumini wa dini ya Sheikh Said watapata maendeleo ya kuonewa wivu humu Tanzania.

Lakini ndani ya Ukanda huu wa Afrika ya Mashariki, hususani hapo ng'ambo ya Bahari ya Hindi (Zanzibar), Mombasa,Kenya (tamka Mambasa), Salima, Mozambique, Djibout ama Somaliland ambapo waamini wa dini ya Sheikh Said ni wengi, je maendeleo ya kiuchumi, kisiasa na kijamii pia yanakwamishwa na wananchi wachache wenye imani ya Kikristu?
 
Hizi dini zenu nikizisikia naona kichefu chefu sana sana, Yaani unakuta mtu jua kali amevaa dela jeusi na kuziba sura, mtu anakuwa kama kobe akiona hatari

Wakati wa jua kali wewe unavaa nini? Khanga moja au unatembea utupu?

Laiti ungelikuwa na ilm japo kiduchu ungefahamu kuwa kanzu na dira'a ni mavazi ya kuzuia joto.
 
Bagamoyo,
Hayo usemayo si kweli kuwa wanaoingia katika nchi kama Saudi Arabia, Iran nk
wanafanyiwa mahojiano.

Nchi zote hizo ulizotaja nyingi nimefika na sijayaona hayo.
Ikiwa hayo yatafanyika itakuwa makhsusi kwa sababu maalum.

Hao Wamarekani wao wana kawaida ya kutaka kujua kila kitu
duniani na mimi nilikuwa na elimu ambayo wao walikuwa hawana.

Kabla ya kualikwa Marekani nilikuwa katika mradi wa Harvard na
Oxford University Press, New York wa kuandika Dictionary of
African Biography (DAB) kuanzia 2008.

Mradi huu ulikuwa wa kuandika historia ya watu mashuhuri Afrika
waliofanya mambo ya kutukuka.

Waliniletea orodha ya wanasiasa wengi wa Tanzania na kutaka
niwafahamishe ikiwa katika hiyo orodha wao watu, ''remarkable,''
ambao lazima watambulike.

Kazi hii ilikamilika 2011 na buku likatoka lina volume 6.

Kipindi hiki nilikuwa katika mradi mwingine na
Oxford University Press Nairobi kuandika vitabu vya historia kwa shule za msingi.

Labda nnikufahamishe kuwa nilikuwa member wa Library of Congress
toka 1980s.

Makala zangu nyingi zipo hapo Library of Congress.

Kwa hiyo mimi na rafiki zangu Wamarekani hatukukutana barabarani
chembelecho Edward Lowassa.

Urafiki wetu ni wa miaka mingi.

Tumegombana kwenye suala la Uislam baada ya mie kuandika hiyo
paper ya Ibadan.

Nitakuwekea link ya DAB hapo chini.

Sasa ndugu yangu wewe unajiandikia kwa dhana tu ukidhani kuwa
unajua.

Mohamed Said: KLEIST SYKES (1894 - 1949) KATIKA DICTIONARY OF AFRICAN BIOGRAPHY (DAB) OXFORD UNIVERSITY PRESS, NEW YORK

OpmpW5oZts8Ith7i6lSivWsqkp5OurvJf1ElyogVTYwDJ9uTtyZc_K-HJ71szPTqr7bC2wdkcRRvF69oyfGiEsHkeyRcAW1pL3A9ySxbsL1zPOztXoG3c3yy7fWXXeeUziPCwny7BjVTkyHYyTw8oezb4CBTzz6dOYZPdX_rFk5wAUKPPrwPDcZ_7jaAjiJzjDsM19OAQb859NcvSQLlQDpUZvHcgNJK3gGqjWKBZFais_M1Vr5f_MOiP2bEExXm9LFOz8cXjfULTjwR3tFJsuv53SG6zSYEh6Wbp1ZVWmjCs-iSjeMi6qTc9sqavfKFI6nb8Os1_VzS9I4jEFgoL3tNG5_eey2YM1NYtK92XjstsUGTaV1tdoBIN6fZ6GfPg-AJ3w_mOezRhjmmTxlMAnYK7cftsntJwOdTFXP1chRWQK8hQWpoYafL_mgfs4mwMX15L7pEeL1i8xR1iR61hQsO-_7tNM1MUmqPkk2tVm1u17ddOPteWlwDLUsyDrMG1uXREvoboJCuleZZmMZCbMW1kTbTHnxr9lGWfbaMlRBTW2S4WQyOA1D703pLtfQkz7HAbazV0oE5d4h9mSmoKgT5Ojm-5MAF2HV5lOEaaz-C_499jEeP=w1034-h692-no

Library of Congress, Washington DC

Mohamed Said,
Hivyo tunaongea lugha moja kuwa kwa sababu moja au nyingine nchi mbalimbali zinaweza kuweka vikwazo au mahojiano marefu zaidi kabla ya kuingia nchi Fulani au unaweza kuhojiwa kwanini ulipata kutembelea nchi Fulani au ukiwa na stika ya viza ya baadhi ya nchi ktk pasipoti yako basi unaweza kuzuiwa kuingia mfano huu hapa chini:

Citizens of all countries require a visa to visit Saudi Arabia except the citizens of the Gulf Cooperation Council members, Bahrain, Kuwait, Oman, Qatar, and United Arab Emirates.[1] All visitors must hold a passport valid for 6 months.[2] Visitors holding passports containing any Israeli visa or stamp may be refused entry; Israeli passport holders are refused admission and transit.[3][4]

In December 2013 Saudi Arabia announced its intention to begin issuing tourist visas for the first time in its history. Council of Ministers entrusted the Supreme Commission for Tourism and Antiquities with visa issuing on the basis of certain regulations approved by the Ministries of Interior and Foreign Affairs.[5] A limited tourist visa programme was cancelled in March 2014. Visa policy of Saudi Arabia - WikiVisually
 
Maandishi ya Sheikh Mohamed Said hayakamiliki bila kuunyooshea kidole Ukristo. Kwamba Ukristo ndio unarudisha nyuma jitihada za Waisilamu wa Tanzania kujiletea maendeleo yao wenyewe. Hivyo ni sahihi kuhitimisha kwamba ukiondoa Ukristo Tanzania , waumini wa dini ya Sheikh Said watapata maendeleo ya kuonewa wivu humu Tanzania.

Lakini ndani ya Ukanda huu wa Afrika ya Mashariki, hususani hapo ng'ambo ya Bahari ya Hindi (Zanzibar), Mombasa,Kenya (tamka Mambasa), Salima, Mozambique, Djibout ama Somaliland ambapo waamini wa dini ya Sheikh Said ni wengi, je maendeleo ya kiuchumi, kisiasa na kijamii pia yanakwamishwa na wananchi wachache wenye imani ya Kikristu?

Kuna wachumi bora kwenye jamii zaidi ya Waislam?

Hebu tazama tu miji yote ya Tanzania na huko ulipopataja ilijengwa na Nani? kwa wingi wake na ni akina nani ni wafanya biashara wa kutukuka, hapo awali hadi leo hii?

Hivi huwa hamuoni au ni ujinga tu uliowajaa?

Mwenyezi Mungu ana shani yake, unapofikiri kuwa ukimnyima mtu elimu kwa hizaya ndiyo utammaliza basi Yeye humfungulia mengine usiyoyafikiria.

Umenyima elimu kampa biashara ambayo huyo asiye na elimu anakuajiri wewe mwenye elimu.

Huyo ndiyo Allah.
 
Citizens of all countries require a visa to visit Saudi Arabia except the citizens of the Gulf Cooperation Council members, Bahrain, Kuwait, Oman, Qatar, and United Arab Emirates.[1] All visitors must hold a passport valid for 6 months.[2] Visitors holding passports containing any Israeli visa or stamp may be refused entry; Israeli passport holders are refused admission and transit.[3][4]

In December 2013 Saudi Arabia announced its intention to begin issuing tourist visas for the first time in its history. Council of Ministers entrusted the Supreme Commission for Tourism and Antiquities with visa issuing on the basis of certain regulations approved by the Ministries of Interior and Foreign Affairs.[5] A limited tourist visa programme was cancelled in March 2014. Visa policy of Saudi Arabia - WikiVisually

Umeacha ya kupekuliwa na kuhojiwa umekuja ya Visa!
 
Back
Top Bottom