Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Kwanza kabisa unatakiwa kurudi nyuma kabisa ktk nyakati za mitume na manabii kisha ujifunze kupitia vitabu vya dini ambavyo vinaelezea history ya dunia pamoja na tawala zake vzr kabisa kuliko namna vile mtu awezavyo kuelezea.... Kisha hivo hivo vitabu va imani vinaelezea tumetoka wapi tuko wapi na tunaenda wapi...

Ukishapitia hivyo vitabu uta conclude kua kumbe kanisa kuhozi bunge au serikali ya Tz si tatizo la Tz pekee Bali ni system ya dunia nzima....
Antonio...
Ahsante sana kwa kunielimisha.
 
Nyendeke,
Wachukulie watu na zungumzanao kwa hali zao.
Hayo ya kutaka rejea ni makubwa mno kwao hawawezi kufika huko.
 
Vitabu vya dini pamoja na vitabu vya history ili kulinganisha kile kinachoongelewa ktk maandiko kua kina match



23 “Thus he said:

‘The fourth beast shall be
A fourth kingdom on earth,
Which shall be different from allother kingdoms,
And shall devour the whole earth,
Trample it and break it in pieces.
24 The ten horns are ten kings
Who shall arise from this kingdom.
And another shall rise after them;
He shall be different from the firstones,
And shall subdue three kings.
25 He shall speak pompous words against the Most High,
Shall persecute the saints of the Most High,
And shall intend to [HASHTAG]#change[/HASHTAG] [HASHTAG]#times[/HASHTAG] and [HASHTAG]#law[/HASHTAG].
Then the saints shall be given into his hand
For a time and times and half a time.

Daniel 7:



[emoji115][emoji115][emoji115]

Hiyo ni moja ya Rejea

Humo kwenye hash tag ndio kuna hoja yangu ya msingi...
Ukiomba nikufafanulie hiyo mistari niambie
 
Vitabu vya dini pamoja na vitabu vya history ili kulinganisha kile kinachoongelewa ktk maandiko kua kina match



23 “Thus he said:

‘The fourth beast shall be
A fourth kingdom on earth,
Which shall be different from allother kingdoms,
And shall devour the whole earth,
Trample it and break it in pieces.
24 The ten horns are ten kings
Who shall arise from this kingdom.
And another shall rise after them;
He shall be different from the firstones,
And shall subdue three kings.
25 He shall speak pompous words against the Most High,
Shall persecute the saints of the Most High,
And shall intend to [HASHTAG]#change[/HASHTAG] [HASHTAG]#times[/HASHTAG] and [HASHTAG]#law[/HASHTAG].
Then the saints shall be given into his hand
For a time and times and half a time.



[emoji115][emoji115][emoji115]

Hiyo ni moja ya Rejea

Humo kwenye hash tag ndio kuna hoja yangu ya msingi...
Ukiomba nikufafanulie hiyo mistari niambie
Antonio,
Tafadhali weka ni kitabu gani na ukurasa upi hivyo ndivyo rejea zinavyowekwa.
Mfano:
M.A. Bienefield, ‘Trade Unions, The Labour Process,’ JMAS Vol. 17 No. 4 December, 1979, pp. 557-558.
 
Mtu wa namna hii hata elimu yake ya chuo kikuu anaidharirisha. Ukiuliza vizuri atakuwa wa ukanda wa pwani au kusini. Kupigania uhuru wapigqne wakishaupata wanaondoshwa kwenye mamlaka hii haingii akikini. Kama ni ukweli basi hawanazo kichwani haiwezekani ulime halafu avune mwingine. Halafu hizi dini za uchochezi na kulazimisha huyo mungu wao aaminiwe kwa upanga zinanipa mashaka kuwa anayeabudiwasio Muumbaji
 
Mtu wa namna hii hata elimu yake ya chuo kikuu anaidharirisha. Ukiuliza vizuri atakuwa wa ukanda wa pwani au kusini. Kupigania uhuru wapigqne wakishaupata wanaondoshwa kwenye mamlaka hii haingii akikini. Kama ni ukweli basi hawanazo kichwani haiwezekani ulime halafu avune mwingine. Halafu hizi dini za uchochezi na kulazimisha huyo mungu wao aaminiwe kwa upanga zinanipa mashaka kuwa anayeabudiwasio Muumbaji
Omulasi,
Waweza kuangalia hapo juu kwenye rangi nyekundu?
 
Antonio,
Tafadhali weka ni kitabu gani na ukurasa upi hivyo ndivyo rejea zinavyowekwa.
Mfano:
M.A. Bienefield, ‘Trade Unions, The Labour Process,’ JMAS Vol. 17 No. 4 December, 1979, pp. 557-558.
Ooooops sorry nalipitiwa kidogo mkuu...
 
Antonio,
Usijitaabishe bure.
Hizo rejea ungekuwa unazo ungeliweka.
 
Antonio,
Usijitaabishe bure.
Hizo rejea ungekuwa unazo ungeliweka.
Moja hiyo nimeweka toka Daniel 7: au hujaiona? Narudia tena nitaweka Rejea kadri mjadala utakavyokua unaenda na ufafanuzi zaidi...

BTW wala sijitaabishi... Km umeelewa au hunajaelewa chochote toka Daniel 7 niambie nikupe fafanuzi
 
Antonio nimekuonyesha namna ya kuweka rejea. Unaanza na jina la mwandishi, jina la kitabu, publisher, mwaka kitabu kilipochapwa pengine na mji na ukurasa wa nukuu ilipo.
 
Antonio nimekuonyesha namna ya kuweka rejea. Unaanza na jina la mwandishi, jina la kitabu, publisher, mwaka kitabu kilipochapwa pengine na mji na ukurasa wa nukuu ilipo.
[quote uid=12431 name="Mohamed Said" post=24857839]<b>Antonio</b>,<br />Tafadhali weka ni kitabu gani na ukurasa upi hivyo ndivyo rejea zinavyowekwa.<br />Mfano:<br />M.A. Bienefield, ‘Trade Unions, The Labour Process,’ <i>JMAS</i> Vol. 17 No. 4 December, 1979, pp. 557-558.[/QUOTE]<br />Ooooops sorry nalipitiwa kidogo mkuu...
 
Antonio nimekuonyesha namna ya kuweka rejea. Unaanza na jina la mwandishi, jina la kitabu, publisher, mwaka kitabu kilipochapwa pengine na mji na ukurasa wa nukuu ilipo.
Mi nafikiri umenielewa vzr hasa niliposema kitabu cha Daniel 7 na hayo mafungu niliyoweka yanajieleza....sasa hayo mengine unayotaka wewe mmmmmmh

Chukua Bible fungua sura ya kitabu cha Daniel 7 kisha soma hayo mafungu kuanzia 24 mpk 25... Mpk hapo hujaelewa?
 
Antonio,
Ahsante.
Huo ni uwanja mwingine ambao singependa kuingia kwa sababu zilizo wazi kabisa.

Naingia Maktaba In Shaa Allah nimepata kutoa mada Chuo Kikuu cha Johannesburg katika maeneo hayo labda utaweza kupata kitu.
 
Mpaka hapo ulipoishia ni kuwa message yako inalenga kwenye udini..! acha udini mkuu na propaganda za chuki dhidi ya muislamu na mkristu.
REJEA.

Nakuapieni nyie msingethubutu kumkamata Mkristo anaetoka Vatican mkutanoni. Lakini kwa kuwa mie ni Muislam sina wa kunitetea. Nchi hii nani atakuuliza kwa kumnyanyasa Muislam?” Walishtuka na wakawa wanyonge sana wakasema si kweli kuwa naponzwa na dini yangu.
lisemwalo lipo kama halipo linakuja
 
Wa kusoma,
Umesoma hiyo tayari ushafunga ubongo wako.
Hapo nazungumza kuhusu dharau.

Labda nikuulize.

Wanaweza maaskofu wakafungwa Tanzania Bara kisha wakatolewa
na kupelekwa Zanzibar kufungwa na huko wakalawitiwa na Waziri
wa Mambo ya ndani kuulizwa akajibu uchunguzi utafanyika lakini
wataangalia kama maaskofu hawakuwa wanafanya vitendo hivyo
kabla?

Majibu haya ndani ya Bunge.

Anaweza kuingia nchini Mkristo na vitabu kutoka Vatican akaulizwa
kwa nini unaingiza vitabu vya Pope nchini?

Yuko mwenye ujasiri huo?

Rejea kwenye maneno yangu upya na jifungue kamba ulizojifunga ili
utazame picha kubwa ya sakata hili lote.

Ipeleke akili yako kwenye, ''kibri,'' na ''kupuuza.''
Ondoka huko kwenye fikra za, ''uonezi.''
Naufuatilia sana huu mjadala, katika majibu yote hapa umejichanganya kweli....unataja "unyanyasaji" unakataa "uonezi"

Akili ikizidi mtu huhamia wehu
 
Back
Top Bottom