Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #601
Antonio...Kwanza kabisa unatakiwa kurudi nyuma kabisa ktk nyakati za mitume na manabii kisha ujifunze kupitia vitabu vya dini ambavyo vinaelezea history ya dunia pamoja na tawala zake vzr kabisa kuliko namna vile mtu awezavyo kuelezea.... Kisha hivo hivo vitabu va imani vinaelezea tumetoka wapi tuko wapi na tunaenda wapi...
Ukishapitia hivyo vitabu uta conclude kua kumbe kanisa kuhozi bunge au serikali ya Tz si tatizo la Tz pekee Bali ni system ya dunia nzima....
Ahsante sana kwa kunielimisha.